Miguel Angel Gamondi atangazwa kuwa Kocha mpya wa Yanga

Miguel Angel Gamondi atangazwa kuwa Kocha mpya wa Yanga

Mwamba huyu hapaView attachment 2667528
FB_IMG_1687617197029.jpg
 
Hamna kitu na CV mbovu sana. Sijui kwanini viongozi wa Yanga wameamua kurudi nyuma kwa kuchukua kocha kilaza.

Hapa vipigo mwakani vitakuwa vingi.
 
Ni kweli. Tuombe afanye adjustment ili awe na performance kama ya Nabi. Hata Nabi alifanya adjustment kubwa sana kuwa kama alivyo leo kwani mwazoni alikaribia kufukuzwa akaomba sana apewe muda.
Nabi hakufanikiwa sana. Nadhani fedha ya GSM kupitia kwa Eng Hersi ndiyo chanzo cha ushindi wa Yanga kwenye ligi.

Eng Hersi kanunua sana mechi. Ndiyo maana hawakumzuia Nabi alipotaka kutoka kwa sababu wanajua kuwa yeye siyo chanzo cha ushindi
 
Mkuu mbona CV yake imeshiba? Kapita Wydad Casablanca, Esperance, Mamelodi Sundowns, USMA, De Tunis, hivi hizi team huwa zinazowa matakataka kweli?
Yeye ni moja kati ya matakataka ambayo hizo team zimewahi kufanya makosa ya kumsajili, kisha zikamfukuza.
 
Klabu ya Yanga leo imemtangaza Miguel Angel Gamondi (59) Raia wa Argentina kuwa Kocha Mkuu wake mpya.

Miguel Angel Gamondi amewahi kufundisha timu mbalimbali ikiwemo Wydad Casablanca ya Morocco, Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini na CR Belouzdad ya Algeria.

Kocha Miguel Angel hadi anatangazwa Kama Kocha Mkuu wa Yanga alikuwa amefundisha jumla ya vilabu 13 katika maisha yake ya soka na Timu ya Taifa ya Burkinafaso
View attachment 2667388
View attachment 2667390
View attachment 2667389
****

Je ataweza kukabiliana na changamoto zinazoendana na malengo ya Yanga? Hajawahi kufundisha timu kubwa kwa zaidi ya mwaka mmoja. Mkataba wake huwa unavunjwa kutokana na utendaji usioridhisha; inasikitsha lakini tumwombee afanikiwe kuweza kuipa yanga kombe la CAF!
Inabidi asiwe ana lala kuomba Mungu, maana mtangulizi wake kamwachia mtihani mkubwaaaaaa. Ambacho kitakuwa rejea kwa kila kocha
 
Nabi hakufanikiwa sana. Nadhani fedha ya GSM kupitia kwa Eng Hersi ndiyo chanzo cha ushindi wa Yanga kwenye ligi.

Eng Hersi kanunua sana mechi. Ndiyo maana hawakumzuia Nabi alipotaka kutoka kwa sababu wanajua kuwa yeye siyo chanzo cha ushindi
Ndio maana wakabakia na hela kiduuchuu Toka kwenye mapato
Maana pesa ya kuinunua Simba simbilisi,Azam lamba lamba,
Bado pesa ya kuinunua Tp Mazembe,us monastir na USM alger sio mchezo
Ndio maana kule ukoloni Mo hawezi huo ujinga wa kununua timu pinzani
 
Nabi hakufanikiwa sana. Nadhani fedha ya GSM kupitia kwa Eng Hersi ndiyo chanzo cha ushindi wa Yanga kwenye ligi.

Eng Hersi kanunua sana mechi. Ndiyo maana hawakumzuia Nabi alipotaka kutoka kwa sababu wanajua kuwa yeye siyo chanzo cha ushindi
Baadae ukitoka hapa unaenda kulalamika Simba inasajiri wachezaji wabovu
 
Back
Top Bottom