CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥"wai" ni jina la mbuzi wanaorandaranda ofisi za Yanga pale Jangwani wakisaka mlo.
hawa hapa👇
View attachment 2667422
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥"wai" ni jina la mbuzi wanaorandaranda ofisi za Yanga pale Jangwani wakisaka mlo.
hawa hapa👇
View attachment 2667422
Nabi hakufanikiwa sana. Nadhani fedha ya GSM kupitia kwa Eng Hersi ndiyo chanzo cha ushindi wa Yanga kwenye ligi.Ni kweli. Tuombe afanye adjustment ili awe na performance kama ya Nabi. Hata Nabi alifanya adjustment kubwa sana kuwa kama alivyo leo kwani mwazoni alikaribia kufukuzwa akaomba sana apewe muda.
Hata Eymael hakuwahi kukaa na team muda mrefu, vipi aliwafaa?Hata Nabi hakuwahi kukaa na timu kwa muda mrefu
Yeye ni moja kati ya matakataka ambayo hizo team zimewahi kufanya makosa ya kumsajili, kisha zikamfukuza.Mkuu mbona CV yake imeshiba? Kapita Wydad Casablanca, Esperance, Mamelodi Sundowns, USMA, De Tunis, hivi hizi team huwa zinazowa matakataka kweli?
Inabidi asiwe ana lala kuomba Mungu, maana mtangulizi wake kamwachia mtihani mkubwaaaaaa. Ambacho kitakuwa rejea kwa kila kochaKlabu ya Yanga leo imemtangaza Miguel Angel Gamondi (59) Raia wa Argentina kuwa Kocha Mkuu wake mpya.
Miguel Angel Gamondi amewahi kufundisha timu mbalimbali ikiwemo Wydad Casablanca ya Morocco, Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini na CR Belouzdad ya Algeria.
Kocha Miguel Angel hadi anatangazwa Kama Kocha Mkuu wa Yanga alikuwa amefundisha jumla ya vilabu 13 katika maisha yake ya soka na Timu ya Taifa ya Burkinafaso
View attachment 2667388
View attachment 2667390
View attachment 2667389
****
Je ataweza kukabiliana na changamoto zinazoendana na malengo ya Yanga? Hajawahi kufundisha timu kubwa kwa zaidi ya mwaka mmoja. Mkataba wake huwa unavunjwa kutokana na utendaji usioridhisha; inasikitsha lakini tumwombee afanikiwe kuweza kuipa yanga kombe la CAF!
Amna= hamnamhhh,dah!,amna kocha apo,hii nchi tunapigwa mpaka kwenye makocha!
Ndio maana wakabakia na hela kiduuchuu Toka kwenye mapatoNabi hakufanikiwa sana. Nadhani fedha ya GSM kupitia kwa Eng Hersi ndiyo chanzo cha ushindi wa Yanga kwenye ligi.
Eng Hersi kanunua sana mechi. Ndiyo maana hawakumzuia Nabi alipotaka kutoka kwa sababu wanajua kuwa yeye siyo chanzo cha ushindi
mimi sina phd.Amna= hamna
Apo= hapo
Kuna coach hapa bongo ana CV ya kulingana na nae?Hamna kitu na CV mbovu sana. Sijui kwanini viongozi wa Yanga wameamua kurudi nyuma kwa kuchukua kocha kilaza.
Hapa vipigo mwakani vitakuwa vingi.
Baadae ukitoka hapa unaenda kulalamika Simba inasajiri wachezaji wabovuNabi hakufanikiwa sana. Nadhani fedha ya GSM kupitia kwa Eng Hersi ndiyo chanzo cha ushindi wa Yanga kwenye ligi.
Eng Hersi kanunua sana mechi. Ndiyo maana hawakumzuia Nabi alipotaka kutoka kwa sababu wanajua kuwa yeye siyo chanzo cha ushindi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"wai" ni jina la mbuzi wanaorandaranda ofisi za Yanga pale Jangwani wakisaka mlo.
hawa hapa[emoji116]
View attachment 2667422
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kikuu app wahuni sana,watu wameagiza waletewe kocha Mosemane wao wakamleta Dimondi wa Argentina.