Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Sure,kama uwezo huo upo na itakupunguzia machungu fanyeni tu.
dodge
 

Unamsifia sana kama vile ndiwe yeye
Wife beater ni wife beater hata kama angekuwaje duniani ni viongozi wa dunia ana doa la kuwa mpiga wanawake kinyama. Mbele ya their kids ni unyama.

Shame on him as alikuwa anamlipa Mange kumchafua mkewe then, now Mange kamfichua. Mange na wife wake used to be close buddies, walipogombana akaona chance nzuri kumchafua.
 
Na vitu kama hivi hutovisikia. Ushaambiwa ni mtu safi aliyekuwa provoked na umalaya wa mke. Wanaume hawanaga huruma kwenye vitu kama hivi mpaka anayepigwa awe mwanaye au dada yake na awe amepigwa hadi kukutwa na umauti.
Mkuu Zurie, Natamani tukubaliane kwamba huyo mwanamke kwa muoekano wake tu, anastahili kipigo, kwa sababu masikio yake naamini yameziba, mwanamke msikivu hapigwi, sisemi wanawake wote wapigwe.
 
Nilijifunza kitu kimoja. Sitakuja piga mwanamke tena maisha yangu yote. Najua wana maudhi watu hawa wakati mwingine... lakini beating a defenseless woman like that? Not again in my life. I did it once and never shall it happen again.

Mwanamke humpigi kwa hoja kua ni defenseless

Then unageuka unapiga mtoto,ambae ni even defenseless than anybody

Mkuu kuna emotions zinakupeleka sio bure!

Mwanamke anafinywa akae sawa

Oa then uje utoe mrejesho hapa
 
Unaona sasa mawazo yako yalivyo, yaani kwa mfano mimi ndio mumeo nimekukosea, eti unikodishie watu waje kuni attack !!, ukae umejiandaa, nikipona ujiandae kwa shuruba
 

Eti issue ni “kumpiga mwanamke” na sio “kumpiga mtoto” au “kumpiga mwanaume”

Wengine wote sio issue bali issue ni “mwanamke”?

Yall are delusional mongooses!
 
Siku zote wanaume huwa tu wagumu sana wa kulia na kulalamika hadharani. Tunatunza sumu nyiiingi moyoni siku tukielemewa linakuja tukio moja tu ambalo linafuta mabaya yote ya upande wa pili na hukumu inakuja hapo hapo; wakatili, wanyanyasaji, wanyama, hawana huruma nk. Ila kiuhalisia hakuna kiumbe mvumilivu na mwenye subira kama mwanaume na hii hutuponza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume hujawah kua mjinga wa kupiga bila sababu.



Kwa video ya 2015 kuonekana sasa..


Niwazi kua Demu alikosea..NA kwasababu uwajibishaji unatofautina...


BASI NICHUKUE NAFASI HII KUUNGANA NA MIHAYO !!!!! .......Broooo wanajaribu kukushusha, NEVER GIVE UP ...... USICHEKE NA MBWA !!!
 
Ukiona hivyo Sahv ashapigika kiuchumi
Sahv anatafuta huruma

Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaumwa wewe

upigaji huu afu anaenda kusema alisurvive toxic relationship?..wkt he seems to be the toxic one here
 
Hivi Mungu alipokupa utashi wa kung'amua mambo alikuwa hana akili? Kama hutaki shughulisha akili yako unategemea utofautishwe na ng'ombe kwa kusimama kwa miguu miwili pekee?

Haya ni mara ya kwanza kupigwa! Turudi kwenye mada...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…