Miili 6 ya familia moja iliyouawa Kigoma inaweza kufukuliwa, mtoto aliyefariki maziko yake yasitishwa

Miili 6 ya familia moja iliyouawa Kigoma inaweza kufukuliwa, mtoto aliyefariki maziko yake yasitishwa

Polisi wajinga sana! Hawachelewi kupindisha ushahidi! Walivyovuruga kesi ya dadangu sina hamu nao kabisa! Yaani ushahidi wa msingi wameuficha ili kumwokoa mharifu aliyewapa rushwa! Hakika Mungu anawaona! Mwisho wa siku mwuaji ameachiwa!
Pole sana. Ilishawahi kunitokea kwa ndugu yangu mmoja hivi. Lakini mtuhumiwa alikaa jela kama theluthi ya muda aliotakiwa kukaa. Ila mimi ilikuwa ni kujeruhi siyo mauaji. Ila kama wana collude kwenye mauaji kwa kweli siyo fair. Tunasema Mungu anawaona lakini Dah!!! Mpaka lini?
 
Polisi wajinga sana! Hawachelewi kupindisha ushahidi! Walivyovuruga kesi ya dadangu sina hamu nao kabisa! Yaani ushahidi wa msingi wameuficha ili kumwokoa mharifu aliyewapa rushwa! Hakika Mungu anawaona! Mwisho wa siku mwuaji ameachiwa!
Unatakiwa kuchukuwa hatua wewe. Kama kulikuwa na kupindisha ushahidi bado unaweza kupaza sauti na ukasikilizwa. Ni ujinga mkubwa kukaa na kusema eti Mungu anawaona. Bila kila binadamu kuchukia uovu na kuchukuwa hatua uhalifu hautaisha. Kwa mfano sasa hivi kuna mitandao ya Internet ambayo unaweza kuitumia kupaza sauti yako na kueleza ilivyokuwa. Pia kuna wanasheria wa kujitolea.
 
Polisi wajinga sana! Hawachelewi kupindisha ushahidi! Walivyovuruga kesi ya dadangu sina hamu nao kabisa! Yaani ushahidi wa msingi wameuficha ili kumwokoa mharifu aliyewapa rushwa! Hakika Mungu anawaona! Mwisho wa siku mwuaji ameachiwa!
Pole Sana
 
hii inayojiitaga kamati ya ulinzi na usalama ilishindwa nini kugungua kitu cha muhimu kama icho!ndio maana tunaonaga wauwaji wengi wanaishiaga kuachiwa na mahakama kila mara kumbe ni uzembe kama huu,unategemea uyo muuaji angeweka wakili msomi kama kina Kibatala siangetokaga tu.
 
Polisi wajinga sana! Hawachelewi kupindisha ushahidi! Walivyovuruga kesi ya dadangu sina hamu nao kabisa! Yaani ushahidi wa msingi wameuficha ili kumwokoa mharifu aliyewapa rushwa! Hakika Mungu anawaona! Mwisho wa siku mwuaji ameachiwa!
Aisee pole sana, watapata adhabu yao kutoka kwa Muumba wa mbingu na nchi.
 
Hii nchi always miracle,
Walipozika waliwaza nini?

Au huyo muuaji kasema jamaa alizaa na mkewe ndo wanajihakikishia.

Mtu mmoja anaua watu saba, yaani hata mmoja hakuweza kupiga kelele au na majirani walimpingia ?
Umewahi ishi kijijini madam?. Nyumba nying zipo scattered. Afu kumbuka watu wazima walikuwa ni wazaz tu.
 
Mtu mmoja kuua watu sita hapana hii haingii akilini kabisa, na wanadai ilikuwa mida ya usiku wa kawaida baada ya kumaliza kula chakula cha jioni. Yaani mume, mke na wazazi wote wamekaa tu wanasubiri Jamaa achinje mmoja aende kwa mwingine hata kukimbia hamna? Na kwa kawaida binadamu siyo wa kukatwa panga moja akafa lazimu purukushani ziwepo, sa najiuliza iliwezekana vipi watu wazima wanne wasubiri kuchinjwa mmoja baada ya mwingine bila hata kupiga kelele? Hpn uyu muuaji hawezi kuwa peke yake lazima walikuwa wengi
 
hii inayojiitaga kamati ya ulinzi na usalama ilishindwa nini kugungua kitu cha muhimu kama icho!ndio maana tunaonaga wauwaji wengi wanaishiaga kuachiwa na mahakama kila mara kumbe ni uzembe kama huu,unategemea uyo muuaji angeweka wakili msomi kama kina Kibatala siangetokaga tu.

Na PGO tayari Polisi imeisahau, PGO ni muongozo wa kanuni za kiutendaji ili kuzuia ushahidi usirukwe au kusahauliwa ili hatimaye haki ipatikane.
 
Back
Top Bottom