Miji ifuatayo iandaliwe kuwa Majiji

Miji ifuatayo iandaliwe kuwa Majiji

Nimesema atilist miji miwili kila kanda,ukichagua miji miwili kanda ya nyanda za juu kusin,au kanda ya kati,huwezi kuiacha iringa.kwaiyo iringa nayo iandaliwe kua city.
Mji hauna hata mvuto sijui na alishuri mji ujengwe mlimani
 
DTB Huwa haiwekezi maeneo maskini yasiyo na mzunguko wa pesa ..na ndio maana huwezi wakuta wana mikopo ya wajasiriamali wadogo ,sijui account zisizo na charges ...,,ni benk ya matajiri na wafanya biashara wakubwa...ukiikuta tunduma niite mbwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe mjinga,Songwe ni namba 6 Kwa mapato ya TRA Tanzania na 90% hizo pesa zinatooa Tunduma.

Tunduma TC inafuata baada ya Majiji Kwa mapato ,huo umaskini kama wa Kahama unatoka wapi?
 
Sasa wewe mjinga,Songwe ni namba 6 Kwa mapato ya TRA Tanzania na 90% hizo pesa zinatooa Tunduma.

Tunduma TC inafuata baada ya Majiji Kwa mapato ,huo umaskini kama wa Kahama unatoka wapi?
Utajiri unapimwa Kwa mapato ya TRA [emoji15].. you're dumb if not pathetic......mbeya inakusanya bilioni 70 .songwe inakusanya bilioni 117 ,,Kwa hyo tunduma ni mji Tajiri kuzidi mbeya [emoji849]..use your common sense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchiyetu ni kubwa sana na ina miji mingi, lakini miji yenye huduma za hadhi ya jiji ni michache kulinganisha na idad ya watu waliopo.

Mfano Kanda ya Ziwa nikubwa na ina watu wengi lakini jiji ni moja tu Mwanza, inabidi Bukoba iandaliwe kuwa jiji kwa selikali kupeleka huduma za hali ya juu kama vyuo vikuu, viwanda, hospital, na kupima na kupanga mji mpya wa kisasa kama inavyofanyika Magufuli City Dodoma, ilituwe na miji ya kisasa inayovutia na kukidhi mahitaji ya wananchi.

Halikadhalika yafanyike miji ya Morogoro, Mtwara, Songea, Kigoma, Moshi, Sumbawanga na Kahama, pamoja na miji yenye idadi kubwa ya watu. Miji ipangwe na ijengwe kisasa atilist kila kanda tuwe na majiji walau mawili.

Hii itasaidia sana kueneza maendeleo makubwa katika pembe zote za nchi, na itapunguza watu kukimbilia Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma na Arusha. Hivyo selikali itahudumia watu kirahisi wakiwa hukohuko kwenye miji yao.
Nionavyo mimi; majiji yaliyopo yaongezewe miundo mbinu inayofaa na bora. Kila jiji lilipo sasa- Tanga, Mbeya, Mwanza, Dodoma, na iongezwe Tabora kwa upande w Magharibi.
. Hospitali zote ziwe na hadhi ya huduma zote muhimu na vitendea kazi vyake; miundo mbinu ya barabara za mitaa iboreshwe; miradi mipya ianzishwe au kujengwa- viwanda vya aina mbali wekezaji wapelekwe huko.
Watu wahimizwe kujengwa majumba marefu ya kisasa. nk. Itasaidia kupunguza kidogo msongamano wa Dar.
Nashukuru pia kuhamishia makao makuu Dododma; kwa namna fulani itasaidia kupunguza msongamano.
Ingawa Dar itaendelea kupanuka zaidi na zaidi.
 
halafu usifananishe mikoa ya ajabu(porini) na Moshi ..
tembea ujue mkoa ulivyo ndo uje na hitimisho .. sio upo huko sitimbi unaandika tu kua kua upo mbele ya keyboard
 
Ukiangalia kwa Sasa hata kimiradi mbalimbali utaona Kila kanda Kuna baadhi ya mikoa itatoa majiji kwa maandalizi ya Kanda ya ziwa MKOA WA SHINYANGA,nyanda za juu kusini MKOA WA NJOMBE, Kanda ya Kati SINGIDA, magharibi KIGOMA ,kaskazini KILIMANJARO, mashariki MOROGORO kusini MTWARA ukitembelea mikoa hii utagundua kitu
 
Mkuu kuna mji wa nduguti upo sindida wilaya ya Mkalama Ni aibu na fedhea hakuna stendi hakuna mipango mjini hakuna hata huduma hata ya kufanya paitwe mji mdogo unazidiwa hata na mji mdogo wa bomang'ombe huko hai mkoa wa Kilimanjaro yani nilifika nikasikitika kukuta mjini huna hata lami yenye urefu wa 2KM
 
Ukiangalia kwa Sasa hata kimiradi mbalimbali utaona Kila kanda Kuna baadhi ya mikoa itatoa majiji kwa maandalizi ya Kanda ya ziwa MKOA WA SHINYANGA,nyanda za juu kusini MKOA WA NJOMBE, Kanda ya Kati SINGIDA, magharibi KIGOMA ,kaskazini KILIMANJARO, mashariki MOROGORO kusini MTWARA ukitembelea mikoa hii utagundua kitu
Toa uongo wako ..Hadi upate wajukuu ndo njombe iwe jiji
 
Toa uongo wako ..Hadi upate wajukuu ndo njombe iwe jiji
Naona jamaa njombe inakufanya mbaya na itaendelea kufanya mbaya mkoa una fursa lukuki ule subiri liganga na mchuchu waanze ndo utasaga meno mzee
tanzania-fuel.jpg
 
Naona jamaa njombe inakufanya mbaya na itaendelea kufanya mbaya mkoa una fursa lukuki ule subiri liganga na mchuchu waanze ndo utasaga meno mzeeView attachment 2540418
Mkoa Gani hauna fursa[emoji28][emoji12][emoji12].... mtwara wana gas lakin wako wapi[emoji12][emoji28][emoji28].we unadhani kuwa jiji ni suala la kuamka na kupewa [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mkoa Gani hauna fursa[emoji28][emoji12][emoji12].... mtwara wana gas lakin wako wapi[emoji12][emoji28][emoji28].we unadhani kuwa jiji ni suala la kuamka na kupewa [emoji28][emoji28][emoji28]
Elewa mada lisikuchanganye Neno njombe maana inaonekana unaumia Sana na maendeleo ya mkoa wa njombe na bado utazidi kuwaletea moto Fursa zilizopo ndo Zinachochea mzee no other wise njombe go go pia serika inawekeza miundombinu ya kutosha ni mkoa ulio Anza jilan ila umeiacha mikoa mikongwe ya kutosha ni mwamko wa watu wa eneo husika na fursa zilizopo
 
Haina faida yoyote kwa mwananchi
 
Mkoa Gani hauna fursa[emoji28][emoji12][emoji12].... mtwara wana gas lakin wako wapi[emoji12][emoji28][emoji28].we unadhani kuwa jiji ni suala la kuamka na kupewa [emoji28][emoji28][emoji28]
Maana unakomaza shingo huijui Nini kinafanyika njombe 1 ujenzi wa bandari kavu ,2 ujenzi mantank ya mafuta kwaajili ya mikoa ya kusini, ujenzi wa soko la kimataifa la mazao ,ujenzi wa vyuo vikuu viwili , swala la miundo mbinu ya Barabara za lami na uwekaji taa huo umeshatandikwa Kila Kona inasubiliwa Barabara nne njombe to makambako masoko ya kisasa stendi zipo na zingine zinaendelea ko subiri utakujasikia kwanini tunakwambia ni moja ya mkoa unaoandaliwa na ardhi imepimwa ya kutosha na plan yake inafanana na dodoma Ina division nne ambazo kwa njombe saiz ni halmashauri kamili angalia hapo sio unabisha tu kumbe huijui lolote
Spatial-map-of-the-Southern-Highlands-with-significant-pig-related-and-ASF-locations.jpg
Map-showing-administrative-boundaries-of-Dodoma-municipal-urban-district(0).jpg
A-map-showing-the-study-districts-and-their-respective-wards-in-Njombe-region-Tanzania~3.jpg
 
Maana unakomaza shingo huijui Nini kinafanyika njombe 1 ujenzi wa bandari kavu ,2 ujenzi mantank ya mafuta kwaajili ya mikoa ya kusini, ujenzi wa soko la kimataifa la mazao ,ujenzi wa vyuo vikuu viwili , swala la miundo mbinu ya Barabara za lami na uwekaji taa huo umeshatandikwa Kila Kona inasubiliwa Barabara nne njombe to makambako masoko ya kisasa stendi zipo na zingine zinaendelea ko subiri utakujasikia kwanini tunakwambia ni moja ya mkoa unaoandaliwa na ardhi imepimwa ya kutosha na plan yake inafanana na dodoma Ina division nne ambazo kwa njombe saiz ni halmashauri kamili angalia hapo sio unabisha tu kumbe huijui lolote View attachment 2540594View attachment 2541443View attachment 2541445
Njombe inabahati sana ilipata kaupendeleo kama leo 2022 mkoa una watu lak8.ilikuaje ikatangazwa kua mkoa 2012.
 
Back
Top Bottom