ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji2957][emoji2957][emoji2957]I cant wait to be the first Mayor of Ifakara City Council.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji2957][emoji2957][emoji2957]I cant wait to be the first Mayor of Ifakara City Council.
Kwa hiyo hujui kwamba Uwanja wa ndege wa Musoma unaendelea na ujenzi as we speak?Kwan musoma kuna uwanja wa ndege? Kuna uwanja wa mpira wa nyasi bandia na wenye taa za usiku kama kaitaba, musoma kuna bandari yoyote inayofunction kama zile mbili za bukoba na kemondo, Angalia idadi ya majengo kati ya musoma na bukoba...musoma wanafeli wapi...musoma kuna chuo kikuu chochote kinachojengwa?
Maendeleo ni hatua na vipaumbele...kila mji una vipaumbele vyake..hats kuweka hayo mataa ya kuongoza magari sehemu zaidi ya tano mjini bukoba haikuwa lazima kiviile japo inasaidia kuongeza organisation ya mji....
Hakuna maajabu ila Kuna vigezo vya msingi Iko Juu ya Kahama.Hiyoo Tunduma inamaajabu ganii sasaa,leta data nimwage data pia.......nakusubili.
Kwamba hajui stendi ya bukoba inajengwa as we speak?Kwa hiyo hujui kwamba Uwanja wa ndege wa Musoma unaendelea na ujenzi as we speak?
Percentage sio quantity,kwanza Waziri wa Sasa ameacha kutoa hizo
Percentage sio quantity,kwanza Waziri wa Sasa ameacha kutoa hizo maujinga
Percentage sio quantity,kwanza Waziri wa Sasa ameacha kutoa hizo
Percentage sio quantity,kwanza Waziri wa Sasa ameacha kutoa hizo maujinga
TofautishaMwananchi wa kawaida wa Dar ni sawa na mwananchi wa kawaida wa Dodoma kwa mtazamo wako?
Tunduma ndio mtaa gani ?Hiyo Kahama yenu mnayoioigia chapuo zaidi ya kuwa na watu wengi kwingine kote ni hovyo..
Sasa Kahama na Tunduma wapi mjini? Kwa hiyo iandaliwe kuwa Jiji?
Bukoba hii hii ya Kashai, Hamghembe na Migera😅 iwe bojoooooNchiyetu ni kubwa sana na ina miji mingi, lakini miji yenye huduma za hadhi ya jiji ni michache kulinganisha na idad ya watu waliopo.
Mfano Kanda ya Ziwa nikubwa na ina watu wengi lakini jiji ni moja tu Mwanza, inabidi Bukoba iandaliwe kuwa jiji kwa selikali kupeleka huduma za hali ya juu kama vyuo vikuu, viwanda, hospital, na kupima na kupanga mji mpya wa kisasa kama inavyofanyika Magufuli City Dodoma, ilituwe na miji ya kisasa inayovutia na kukidhi mahitaji ya wananchi.
Halikadhalika yafanyike miji ya Morogoro, Mtwara, Songea, Kigoma, Moshi, Sumbawanga na Kahama, pamoja na miji yenye idadi kubwa ya watu. Miji ipangwe na ijengwe kisasa atilist kila kanda tuwe na majiji walau mawili.
Hii itasaidia sana kueneza maendeleo makubwa katika pembe zote za nchi, na itapunguza watu kukimbilia Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma na Arusha. Hivyo selikali itahudumia watu kirahisi wakiwa hukohuko kwenye miji yao.
Ondoa moshi na bukoba huko kumejaa vumbi nyekundu na ukabila dar iko ni mkoa ila iko ndani ya jiji la ilala
dar ni mkoa ila uko ndani ya jiji la ilalaNimesema atilist miji miwili kila kanda,ukichagua miji miwili kanda ya nyanda za juu kusin,au kanda ya kati,huwezi kuiacha iringa.kwaiyo iringa nayo iandaliwe kua city.
Niletee branch ya KCB ,DTB,na Bank of Africa tunduma [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...nileft JFMkeka upi wa mapato Mzee,acha vichekesho,hakuna mapato yoyoye ambayo Kahama inazidi Tunduma kuanzia mapato ya Halmashauri Hadi TRA..
Kahama ni kelele tuu,kama unabisha leta ushahidi,uko nyuma sana ya mda Mzee Kila benki iliyoko Kahama ipo na Tunduma pia.
Labda DTB ndio sijawahi kujiona ila hizo zingine zipo kama zote.DTB huenda nayo ipo ila sijajua Iko wapi maana Mimi sio mkazi wa Tunduma japo ni nyumbaniNiletee branch ya KCB ,DTB,na Bank of Africa tunduma [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...nileft JF
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushoga kwa sasa unanuka kila mahali hakuna mahali Kuna afadhali ,hii tabia imesambaa tokea tanga ,mtwara,geita,morogoro mpaka huko sumbawangaMoshi kwasasa ni chimbo la mashoga hata organization nyingi za mashoga zipo huko... Wanawake wa moshi wanalalamika wanaume wa moshi hawana nguvu za kiume inabidi kutafuta wanaume wa mikoa jirani. Ndio maana moshi ina migogoro mingi ya kifamilia kwasabab 90% ya watoto waliozaliwa moshi baba zao nikutoka nje ya ndoa...
Kwetu Rukwa na Katavi hakuna hizo mambo zenu za ushenziUshoga kwa sasa unanuka kila mahali hakuna mahali Kuna afadhali ,hii tabia imesambaa tokea tanga ,mtwara,geita,morogoro mpaka huko sumbawanga
Mtaa wa nizakaleTunduma ndio mtaa gani ?
Kinachokushushua hapo ni kujenga jengo la Halmashauri au? Mbona hata Tunduma jengo lao Halmashauri ya Mji wamejenga wenyewe Kwa mapato ya Ndani?
Acha story leta ushahidiLabda DTB ndio sijawahi kujiona ila hizo zingine zipo kama zote.DTB huenda nayo ipo ila sijajua Iko wapi maana Mimi sio mkazi wa Tunduma japo ni nyumbani
Unaifahamu Tunduma nikuelekeze zilipo za KCB na BOA?
DTB Huwa haiwekezi maeneo maskini yasiyo na mzunguko wa pesa ..na ndio maana huwezi wakuta wana mikopo ya wajasiriamali wadogo ,sijui account zisizo na charges ...,,ni benk ya matajiri na wafanya biashara wakubwa...ukiikuta tunduma niite mbwaLabda DTB ndio sijawahi kujiona ila hizo zingine zipo kama zote.DTB huenda nayo ipo ila sijajua Iko wapi maana Mimi sio mkazi wa Tunduma japo ni nyumbani
Unaifahamu Tunduma nikuelekeze zilipo za KCB na BOA?
BOA Iko Sumbawanga road mkono wa kulia mbele kidogo ya Mjini Kati wanaitwa kisimani.