Miji ifuatayo iandaliwe kuwa Majiji

Miji ifuatayo iandaliwe kuwa Majiji

Maana unakomaza shingo huijui Nini kinafanyika njombe 1 ujenzi wa bandari kavu ,2 ujenzi mantank ya mafuta kwaajili ya mikoa ya kusini, ujenzi wa soko la kimataifa la mazao ,ujenzi wa vyuo vikuu viwili , swala la miundo mbinu ya Barabara za lami na uwekaji taa huo umeshatandikwa Kila Kona inasubiliwa Barabara nne njombe to makambako masoko ya kisasa stendi zipo na zingine zinaendelea ko subiri utakujasikia kwanini tunakwambia ni moja ya mkoa unaoandaliwa na ardhi imepimwa ya kutosha na plan yake inafanana na dodoma Ina division nne ambazo kwa njombe saiz ni halmashauri kamili angalia hapo sio unabisha tu kumbe huijui lolote View attachment 2540594View attachment 2541443View attachment 2541445
Acha kutuletea raman zako uchwara hapa..jiji sio Raman,,na jiji sio sifa za mkoa..jiji ni mji mkubwa wenye sifa zifuatazo .
1 : population watu laki 5 + (njombe mjini hata laki na nusu hawafiki)
2: mapato independent asilimia 95
3 : asilimia 95 ya wakazi hawategemei kilimo
4: miundombinu ya kisasa, viwanda, recreation center,nk
.................
Kwa hyo kuzeni kwanza hako ka mji walau mfikie manispaa ndio muanze city dream


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutuletea raman zako uchwara hapa..jiji sio Raman,,na jiji sio sifa za mkoa..jiji ni mji mkubwa wenye sifa zifuatazo .
1 : population watu laki 5 + (njombe mjini hata laki na nusu hawafiki)
2: mapato independent asilimia 95
3 : asilimia 95 ya wakazi hawategemei kilimo
4: miundombinu ya kisasa, viwanda, recreation center,nk
.................
Kwa hyo kuzeni kwanza hako ka mji walau mfikie manispaa ndio muanze city dream


Sent using Jamii Forums mobile app
Watu lak tano si mchezo
 
Nchiyetu ni kubwa sana na ina miji mingi, lakini miji yenye huduma za hadhi ya jiji ni michache kulinganisha na idad ya watu waliopo.

Mfano Kanda ya Ziwa nikubwa na ina watu wengi lakini jiji ni moja tu Mwanza, inabidi Bukoba iandaliwe kuwa jiji kwa selikali kupeleka huduma za hali ya juu kama vyuo vikuu, viwanda, hospital, na kupima na kupanga mji mpya wa kisasa kama inavyofanyika Magufuli City Dodoma, ilituwe na miji ya kisasa inayovutia na kukidhi mahitaji ya wananchi.

Halikadhalika yafanyike miji ya Morogoro, Mtwara, Songea, Kigoma, Moshi, Sumbawanga na Kahama, pamoja na miji yenye idadi kubwa ya watu. Miji ipangwe na ijengwe kisasa atilist kila kanda tuwe na majiji walau mawili.

Hii itasaidia sana kueneza maendeleo makubwa katika pembe zote za nchi, na itapunguza watu kukimbilia Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma na Arusha. Hivyo selikali itahudumia watu kirahisi wakiwa hukohuko kwenye miji yao.
Comment zinazotolewa hazioneshi uwezo wa watu kujua ni kwa nini wanahitani Miji yao kuwa Majiji!

Ningetarajia watu tuanze kuchambua maeneo yenye kufanyia kazi ili Uchumi wa Mji huo ukue...

Jiji maana yake ni UWEZO WA KIFEDHA....

SIYO ZA KULETWA TU NA SERIKALI BALI UWEZO WA WATU KTK KUKUZA UCHUMI...
 
Natokea kilimanjaro ila bado sana moshi kuwa jiji kuna kazi kubwa ifanyike tuwe wakweli. Naipenda sana moshi yetu ila dah hapana kuna namna ifanyike kwanza hata na wilaya zinazoizunguka moshi zichangamke kidogo ndio pawe jiji
 
Bado sijaelewa mantiki ya hoja.
Nini vigezo vya mji kufikia vigezo vya kuitwa jiji?
Nini kinaongezeka katika maisha ya watu automatically kwa mji kupewa hadhi ya jiji?

Nini kinazuia mji kuwa na maendeleo kwa kuwa sio jiji?

Hivi unajua Dar sio jiji, jiji ni Ilala, nini kimepungua kimaisha kwa wakazi wa Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kigamboni kukosa fursa ya kuitwa jiji?


Note
Kuhusu Moshi, hiyo ni manispaa ndani ya wilaya ya Moshi (ambayo inajumuisha manispaa ya Moshi, Halmashauri ya Moshi na Mamlaka ya mji mdogo Himo). Ili Manispaa ya Moshi ipate kihalali hadhi ya kuitwa jiji, inabidi vigezo vitatu vifikiwe (idadi ya watu wakutosha, Mapato yao ya ndani yawe ya kutosha na Eneo la ardhi la kutosha), vigezo viwili (watu na mapato) vilishafikiwa muda mrefu sana, tatizo liko kwa ardhi, ni ndogo. Na kufanikisha hilo itabidi kumega maeneo mengine yanayoizunguka Manispaa ya Moshi (kama Halmashauri ya Moshi na halmashauri ya Hai) au kuziua/kuzimeza mojawapo ya hizo halmashauri jambo ambalo halina faida kubwa kimaendeleo.

Lakini pia halina hasara pia kwa maendeleo
 
A' ukute nabishana na mtu wa Kamsamba huko yeye kasimuliwa na shemeji yake aliifika Tunduma tu! Ninapoteza mdaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Utake usitake Kahama ni next level!

Hiyo Tunduma linganisha na Singida au Makambako hukooo[emoji3][emoji3].

Hili la Tunduma na Kahama linahitaji a thorough analysis. Binafsi nimeshafika huko kote na kila sehemu iko busy. Nafikiri, Tunduma inaweza kuwa juu kibiashara kuliko Kahama. Ki mpangilio Kahama inaizidi Tunduma, ila kwa mambo ya forex, Tunduma inaizidi miji yote Tanzania labda DSM pekee, na jamaa wako updated sana na kila bei ya fedha za kigeni
 
Mkoa Gani hauna fursa[emoji28][emoji12][emoji12].... mtwara wana gas lakin wako wapi[emoji12][emoji28][emoji28].we unadhani kuwa jiji ni suala la kuamka na kupewa [emoji28][emoji28][emoji28]

Kasi ambayo ilikuja nayo Mtwara, hakuna mji hata mmoja uliweza kuifikia. Tatizo likaja baada ya kubadili policy, kila kitu kikapotelea hapo, na kwa mtu aliyefika Mtwara ataona kuwa kuna kitu kikubwa kilikuwepo na kipo
 
wahaya banana...juz mama tibaijuka Kasema bukoba ni kma Rio de jenario Brazil
 
Nchiyetu ni kubwa sana na ina miji mingi, lakini miji yenye huduma za hadhi ya jiji ni michache kulinganisha na idad ya watu waliopo.

Mfano Kanda ya Ziwa nikubwa na ina watu wengi lakini jiji ni moja tu Mwanza, inabidi Bukoba iandaliwe kuwa jiji kwa selikali kupeleka huduma za hali ya juu kama vyuo vikuu, viwanda, hospital, na kupima na kupanga mji mpya wa kisasa kama inavyofanyika Magufuli City Dodoma, ilituwe na miji ya kisasa inayovutia na kukidhi mahitaji ya wananchi.

Halikadhalika yafanyike miji ya Morogoro, Mtwara, Songea, Kigoma, Moshi, Sumbawanga na Kahama, pamoja na miji yenye idadi kubwa ya watu. Miji ipangwe na ijengwe kisasa atilist kila kanda tuwe na majiji walau mawili.

Hii itasaidia sana kueneza maendeleo makubwa katika pembe zote za nchi, na itapunguza watu kukimbilia Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma na Arusha. Hivyo selikali itahudumia watu kirahisi wakiwa hukohuko kwenye miji yao.
Mbeya ni jiji na Minessota ni jiji,
Dar es Salaam ni jiji na Dallas ni jiji.
Arusha ni jiji na Alabama ni jiji.
Mwanza ni jiji na Munich ni jiji.
Kwa Ivo ondoa shaka tutalifanyia kazi
 
Back
Top Bottom