David Goliath
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 949
- 1,878
Moshi mjiniHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Tutajie barabara yoyote ya vumbi ndani ya Dodoma CBDDodoma kuna utajiri wa vumbi jingi sijui kama ndo sifa ya kuwa mji mkuu wa Tanzania
Karibu sana saiv kuna lami uchwara baadhi ya mitaa!!Karatu msimu wa Mvua Kuna kuwa na tope la Hatari sana, Unashindwa kunyanyua mguu kutoka chini, Haswa hayo maeneo ya CCM , uwanja Mboe Hadi kupandisha Maeneo ya Jublate Mnyenye, NMB, Kwa Lekashu, Kadtuli Hadi Peter Ombay , Crater Rim, upande police na TRA shuka mitaa ya NBC kote ni tope ama Vumbi
Watu lain karb wote huku vumbi lishazoeleka na watu wako smart huwez aminNa sura zao je hazijakaa kivumbivumbi?
Gar likipita humuon mtu wa ng' ambo ya barabara! Yaan vumbi linatimka balaahiyo sehemu ni hatari sana, hiyo barabara ya kutoka nyakanazi to kasulu
[emoji23][emoji23][emoji23],Huo ni Uongo bhana.Orodha hii bila Makambako ni batili
Wilaya mpya ya Kakonko-Mkoa wa Kigoma.Sijui wapi huku,ila uoto unaonyesha kuna neema! Ukiwa na njaa huku umependa tu
Avatar ya moto hyo khaaHayo maeneo yaachwe hivyo hivyo tuwe tunafanya utalii wa mavumbi.
Umefika Kenya na Zambia? Huko ndo makao makuu ya vumbi. Ukiwa unaenda Nairobi kuna mji unaitwa Kitengela nadhani vumbi la pale ni la mafinga jumlisha MakambakoVumbi kwanza ni sehemu ya maisha kwa Tanzania nzima kwani maeneo mengi haina miti inayozuia upepo unaotimua vumbi pia barabara nyingi ni za vumbi na miji uliyotaja na mengini mengi haina barabara za lami
Hajatembea huyuOrodha hii bila Makambako ni batili
Mtu anaongelea vumbi ww unaleta mambo ya barabara[emoji16]Imetajwa miji sio mikoa....hakuna mji wowote Tanzania unaofikia Dodoma kwenye ubora wa mipangomiji na mtandao mpana wa barabara za lami
Namba 2 na 3 juzi nimetoka na gari huko utadhani nimelifukua ardhini, ile nafika mjini kuna mhuni nakuta nyuma kwenye kioo kumeandikwa( "msinioshe kuna balidi)[emoji3] nikibaki nacheka hafi nikapeleka car washHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU