Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Uswahilini, Sakina yote hiyo kuanzia Kwa Iddi Hadi kiranyi, shuka na vumbi Hadi Ngaramtoni, Kunja Kona nenda nalo Hadi Kisongo, upandishe nalo Kwa Morombo, ingia nalo Sombetini, tokezea Ngusero, dondokea Engo sheratoni, ingia Unga limited, lifuate vumbi Hadi Daraja mbili, Lemara komaa nalo Hadi Njiro, Kijenge, ukiwa Arusha ndo utajua ulitoka mavumbini
 
Moshi mjini
 
Karibu sana saiv kuna lami uchwara baadhi ya mitaa!!
 
Vumbi kwanza ni sehemu ya maisha kwa Tanzania nzima kwani maeneo mengi haina miti inayozuia upepo unaotimua vumbi pia barabara nyingi ni za vumbi na miji uliyotaja na mengini mengi haina barabara za lami
 
Vumbi kwanza ni sehemu ya maisha kwa Tanzania nzima kwani maeneo mengi haina miti inayozuia upepo unaotimua vumbi pia barabara nyingi ni za vumbi na miji uliyotaja na mengini mengi haina barabara za lami
Umefika Kenya na Zambia? Huko ndo makao makuu ya vumbi. Ukiwa unaenda Nairobi kuna mji unaitwa Kitengela nadhani vumbi la pale ni la mafinga jumlisha Makambako
 
Namba 2 na 3 juzi nimetoka na gari huko utadhani nimelifukua ardhini, ile nafika mjini kuna mhuni nakuta nyuma kwenye kioo kumeandikwa( "msinioshe kuna balidi)[emoji3] nikibaki nacheka hafi nikapeleka car wash
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…