Zambia naweza kukubali mwaka jana nilikua Nakonde vumbi lipo japo sijajua huko mbele.Umefika Kenya na Zambia? Huko ndo makao makuu ya vumbi. Ukiwa unaenda Nairobi kuna mji unaitwa Kitengela nadhani vumbi la pale ni la mafinga jumlisha Makambako
Huko mbele ndo balaa sasa... kuna sehemu inaitwa Mpika ni hatari ya kifo kwa vumbi. Hata Lusaka kwenyewe vumbi la kutosha.. hii picha ni Lusaka nje kdg ya mji kama vile Mbezi ya Kimara.Zambia naweza kukubali mwaka jana nilikua Nakonde vumbi lipo japo sijajua huko mbele.
ManyoniHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
KabweHuko mbele ndo balaa sasa... kuna sehemu inaitwa Mpika ni hatari ya kifo kwa vumbi. Hata Lusaka kwenyewe vumbi la kutosha.. hii picha ni Lusaka nje kdg ya mji kama vile Mbezi ya Kimara.
Kote huko balaa. Kasama kuna vumbi kama la KasuluKabwe
Kasama
Kwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
Ni kweli kabisa, hata kutembea unatakiwa kuinyenyekea ardhiKote huko balaa. Kasama kuna vumbi kama la Kasulu
Ongeza KyelaMbeya pale Sai, Nanenane, na Makambako ziwemo.
Mwenyeji wetu Arusha alitupeleka Morombo kula nyama kipindi cha mvua,sina hamu kabisa na nyama za huko,nikapata na tumbo la kuhara huko.Hivi ile barabara kuelekea hotel inayomilikiwa na VETA ilishawekwa rami. Maana ilikua inatoa vumbi sio mchezo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kibondo na Kasulu, ukitembea sana unaanza kucheua vumbi.....
Zote ni ngome za ccmHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimetembea karibu nchi zote za SADC na EAC bado mpinzani wa Karatu hajapatikana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]Aloo sio mchezo karatu baba lao. Nilienda msibani kurudi wife anauliza kwani walikugeuza maksai nn maana nguo zinachafuka vumbi la maana. Lile vumbi la karatu unaweza ombea hata mkopo bank.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28] sipati pichaHai tulienda msibani,yaani vumbi unatumbukia kama tope,kule hakufai kabisa
Dar hamna vumbi,Bila Dar kwenye hii orodha ni batili.