The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Kaka huko kusafi sana hujatembea .cheki chini mziki wa kasuluKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka huko kusafi sana hujatembea .cheki chini mziki wa kasuluKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
kijenge pale nadhani wameweka lami sahivi ilikuaga balaaKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
MbeyaHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. BOMANG'OMBE, Hai
4. SONGEA
5 TUNDUMA
6. ORKESMET, Simanjiro.
7. DODOMA
8. MERERANI
9. KIBONDO
10. MTO WA MBU
Kasulu ipo namba 2 nyuma ya KaratuKaka huko kusafi sana hujatembea .cheki chini mziki wa kasulu
Mkuu maeneo yote niliyotaja nimefikaWewe hujatembea kabisa yaan
Mlitaka vumbi liende wapi kwa mfano!Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. BOMANG'OMBE, Hai
4. SONGEA
5 TUNDUMA
6. ORKESMET, Simanjiro.
7. DODOMA
8. MERERANI
9. KIBONDO
10. MTO WA MBU
😂😂😂Kibondo na Kasulu, ukitembea sana unaanza kucheua vumbi.....
Orodha hii bila Makambako ni batili
Na ikinyesha Hilo tope sio la Sayari hiiKibondo na Kasulu, ukitembea sana unaanza kucheua vumbi.....
Mto wa mbu monduli umedanganya wasiopajuaHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. BOMANG'OMBE, Hai
4. SONGEA
5 TUNDUMA
6. ORKESMET, Simanjiro.
7. DODOMA
8. MERERANI
9. KIBONDO
10. MTO WA MBU
Ondoa Dodoma,huko kwengine kote sawa,hiyo Dodoma unayojua wewe ya mwaka gani...,?Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. BOMANG'OMBE, Hai
4. SONGEA
5 TUNDUMA
6. ORKESMET, Simanjiro.
7. DODOMA
8. MERERANI
9. KIBONDO
10. MTO WA MBU