Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Hii list bila Mbeya ni batili
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Inatoa aibu sana serikali yetu inayodai kazi iendelee haifanyi lolote kuondoa haya...

Watakusikia wenzako, urudi ndani ya Mwezi Moja utuambie vumbi sio tatizo tena hayo maeneo umetaja na mengineyo
Utakamatwa wewe ung'olewew kucha bila ganzi, shauri yako, unasema ukweli ambao serikali hautaki?
 
Kibondo aisee, nilikosa basi nikapandishwa nyuma kwenye boot ya probox aisee kufika nyakanazi ilibidi tu nisitishe safari Kwanza nichukue guest niende kununua pamba mpya kwanza
Pole, Kibondo wenyewe wanasema hawataki maendeleo kwani siku zote walikuwa wanaishije? Waha kwa ubishi kwa kweli hawajambo, yaani wanawazidi wanyamwezi na waluguru kwa ubishi wa kijinga, Muha haoni hasara kutembea kilomita 100 na kulisusa basi kisa limechelewa kufika kituoni muda uliokadiriwa.
 
Bila Mvumi na Kongwa hii orodha Nina mashaka nayo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…