Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.

1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Malila uiache uyole yetu🤒
 
Kuna maeneo yana vumbi ila kwa kuwa ina miti mingi ya kukinga nimeona niiache. Kule Buhigwe kuna poda ya ukweli ila kwa kuwa kuna miti mingi huwa haitajwi sana. Kusingekuwa na mazingira kama yale basi ingekuwa balaa. Hata Moshi kuna udongo kama wa Karatu ila kutokana na uoto wa asili maeneo mengi yanaonekana hayana vumbi.
... nimefuatilia huu uzi kwa umakini sana. It seems maeneo yenye vumbi kali ndio yanayolisha hii nchi; ndiko kilimo kiliko kuanzia nafaka, jamii za kunde, mboga mboga, viazi ulaya, matunda, ndizi, etc. Cha muhimu ni serikali kuboresha miundombinu ya barabara kwa kuweka lami ila mashambani libarikiwe vumbi linalotupa chakula.
 
Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.

1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kakonko imefikiwa!
Mara ya kwanza kupita Nyakanazi hadi Kasulu ilikuwa 2014 nilikua naenda harusini. Hiyo njia yote ilikuwa sio poa vumbi lake.... hadi leo huwa najiuliza watu wa Kigoma walifanyaga kosa gani kwa serikali hadi maendeleo kutopelekwa mikoa hiyo? Kwa mfano kwenye umeme wameunganishwa na gridi ya taifa majuzi tu Makamba akiwa waziri. Barabara ya Nyakanazi - Kasulu ndo inajengwa.
 
Nadhani kwa matokeo ya jumla hadi sasa mkoa wa Arusha unaongoza kwa maeneo yenye vumbi. Kutoka Arusha mjini hadi Namanga ni vumbi tupu nje ya lami. Arusha hadi Orkesmet nako ni mavumbini. Mto wa mbu hadi Loliondo kwa babu nako mavumbini. Wilaya ya Karatu ndo haina mpinzani kwa Afrika Mashariki, kati na kusini.
 
Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.

1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Mbeya mjini kuna lile powder la Johnson
 
Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.

1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Karatu kuna vumbi la kufa mtu,hakuna mabati meupe huko
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28] sipati picha
Cha kuchekesha wakati tunaenda Kanisani tukakutana na shoe shine tukajifanya kupolish....... asilimia kubwa tukiwa wageni,njia ya Kanisani sasa daah......baada ya kuuliza nikaambiwa nikwasababu eneo lile ni mkondo wa njia ya Tanzanite Arusha,na kipindi cha mvua kunakuwa kama Lami
 
Back
Top Bottom