Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

Hapo kwenye Kidatu sio kweli, pale panaitwa Ruaha ni wilaya ya Kilosa. Kidatu ni ukivuka daraja linalotenganisha wilaya ya Kilosa na Kilombero. Kidatu ni Kilombero sio Kilosa. Hata viwanda vya sukari pale viko viwili K1 na K2 kimoja kipo Kilosa kingine kipo Kilombero japokuwa vipo pamoja.
Mkuu Hilo linafahamika kabisa,, Ila ukisema nafika KIDATU huwezi kupotea Mzee utafika palepale.
Ule mji unatumika kwa majina matatu
1. KIDATU
2. Ruaha
3. Wengine wanatumia kilombero.. Nimeishi pale miaka 2 mzee, So napaelewa vizuri.

Tazama hata hii picha, hiki ni chuo cha sukari klichopo mkabala na kile kiwanda,,
IMG_20191023_183025.jpg
IMG_20191023_183025.jpg
 
Hapo kwenye Kidatu sio kweli, pale panaitwa Ruaha ni wilaya ya Kilosa. Kidatu ni ukivuka daraja linalotenganisha wilaya ya Kilosa na Kilombero. Kidatu ni Kilombero sio Kilosa. Hata viwanda vya sukari pale viko viwili K1 na K2 kimoja kipo Kilosa kingine kipo Kilombero japokuwa vipo pamoja.
Mkuu Hilo linafahamika kabisa,, Ila ukisema nafika KIDATU huwezi kupotea Mzee utafika palepale.
Ule mji unatumika kwa majina matatu
1. KIDATU
2. Ruaha
3. Wengine wanatumia kilombero.. Nimeishi pale miaka 2 mzee, So napaelewa vizuri.

Tazama hata hii picha, hiki ni chuo cha sukari klichopo mkabala na kile kiwanda,, View attachment 3005537View attachment 3005537
 
Hapo kwenye Kidatu sio kweli, pale panaitwa Ruaha ni wilaya ya Kilosa. Kidatu ni ukivuka daraja linalotenganisha wilaya ya Kilosa na Kilombero. Kidatu ni Kilombero sio Kilosa. Hata viwanda vya sukari pale viko viwili K1 na K2 kimoja kipo Kilosa kingine kipo Kilombero japokuwa vipo pamoja.
Mkuu Hilo linafahamika kabisa,, Ila ukisema nafika KIDATU huwezi kupotea Mzee utafika palepale.
Ule mji unatumika kwa majina matatu
1. KIDATU
2. Ruaha
3. Wengine wanatumia kilombero.. Nimeishi pale miaka 2 mzee, So napaelewa vizuri.

Tazama hata hii picha, hiki ni chuo cha sukari klichopo mkabala na kile kiwanda,, View attachment 3005537View attachment 3005537
 
Jamani msiisahau Namtumbo, ni Wilaya iliyojificha sana na si maarufu,, ipo umbali wa Kilomita 70 kutokea Manispaa ya Songea kuelekea kusini Mashariki..
Sasa hivi hii Wilaya inajenga sana, mara ya mwisho kwenda pale ilikuwa mwezi March 2024.
Kwa Sasa wana Mkuu wa Wilaya Mrembo sana pale namtumbo
 
Wakuu,

Uzi huu ni kwa ajili ya kutaja miji midogomidogo ndani ya nchi yetu ambayo ina vibe kubwa kama miji mikubwa na ina fursa za kibiashara lakini haivumi wala kujulikana sana na watu.

Mimi naanza kama ifuatavyo:

1. MLOWO
Huu ni miongoni mwa miji midogomidogo inayokuwa kwa Kasi, ni Mji Mdogo unaopatikana Mkoa mpya wa Songwe, Wilaya ya Mbozi. Mji huu upo barabara kuu ya kutoka Mbeya Jiji kuelekea Tunduma. Ni Mji unaokua kwa kasi na unafursa ya kibiashara hasa mazao. Mji huu unazungukwa na vijiji vingii ambavyo wakazi wake wanajishughulisha na kilimo cha Mahindi, karanga, Maharagwe Alizeti, parachichi, kahawa n.k

Mji huu wa Mlowo una pacha/njia ya kuelekea miji mingine kama Kamsamba, Momba na Chunya. Pacha hii ndio pacha inayofika hadi kwenye Shamba kubwa la serikali la mahindi ambalo kwa sasa liko chini ya Wakala wa Mbegu wa Taifa(ASA).

2. MPEMBA
Huu pia ni Mji unaokua kwa kasi, upo mkoani Songwe Wilaya ya Tunduma, kilometers 10 kutoka Tunduma mji. Mji huu una fursa za kibiashara na Kilimo.

3. VWAWA
Hapa ndipo Makao makuu ya Mkoa wa Songwe ambapo kwa sasa Mkuu wa Mkoa huu ni Daniel Chongolo. Ni Mji unaokua kwa kasi kutokana na kusimikwa kwa huduma nyingi za kijamii zenye hadhi ya mkoa. Miaka michache Mji huu utaungana na Mji wa Mlowo kutokana na ukaribu bila kusahau mijengo mikali inayoendelea kuporomoshwa ndani ya Mji huu.
Karibu Vwawa.

4. NYANGAO
Ni Mji unaopatikana Kusini Mashariki mwa Tanzania ndani ya Mkoa wa Lindi, Wilaya ya Lindi DC. Mji huu mkongwe ambao wajerumani waliweka ngome yao hapa na kufanikiwa kujenga kanisa kubwa na Mission yao. Mbali na hilo wajerumani walijenga hospital kubwa sana ndani ya Mji huu(St Walburgus referral Hospital Nyangao).

Wakazi wengi wa Mji huu ni wakulima wa mazao kama Mahindi, mpunga, Alizeti, karanga na mazao ya biashara Kam Ufuta na Korosho, bila kusahau biashara za samaki/dagaa.. ambapo Mji huu umekuwa kama center ya biashara hii ambapo samaki/dagaa wengi wanaotoka bahari ya Kilwa na kuja Nyangao. Watu mbalimbali kutoka katika vijiji vilivyo karibu na Mji wa Nyangao wanakuja kujumua samaki/dagaa hapa.

Kitu lingine Cha kufahamu ni kuwa Mji huu upo mpakani kati ya Mkoa wa Lindi na Mtwara kutokea Masasi Town, Pia ni sehemu ambapo Mbunge wa Mtama na Waziri mwenye dhamana ya habari, masiliano na Teknolojia(Nape Nnaye) huwa anapategemea sana kuchukuwa/kupigiwa kura za kutosha katika chaguzi zinazofanyika, hii ni kutokana na idadi ya watu waliopo Mji huu ambao ni wanachama wa Chama Mapinduzi.

Nyangao kuna shule za level ya juu (High) kama MAHIWA HIGH SCHOOL na NYANGAO HIGH SCHOOL ambayo inasemekana inamilikiwa na Waziri mkuu(Mh : Kassim M Kassim). Ukitaka kufahamu shule hii kwa undani basi fuatilia Zamaradi TV. Pia kuna chuo cha kati cha Afya kilichopo karibu na Hospital ya Nyangao na vyuo vingine vya ufundi.

KIDATU
Mji huu upo ndani Wilaya ya Kilosa japo watu wengi wanachanganya kwa kufahamu kuwa upo wilayani kilombero. Mji huu unakuwa kwa Kasi sana, hii inachagizwa na uwepo wa kiwanda kikubwa Cha sukari almaarufu kama Kilombero Sugar Company. Wakazi wengi wa mji huu ni wakulima hasa Kilimo cha miwa ambapo soko lake kuu la miwa linapatikana katika kiwanda hicho cha sukari. Mji huu una fursa za kibiashara hasa kutokana na wageni wanaokuja kununua sukari kiwandani hapo bila kusahau Crew kubwa ya wataalam kutoka kiwandani hapo.

Kuna chuo kimoja kikongwe sana kinachofahamika kama NATIONAL SUGAR INSTITUTE. Chuo hiki kinatoa kozi mbalimbali za Stashahada ya uhandizi Umeme, Kilimo na Sukari n.k

Pia Mji unahuduma za kibenki na sehemu nyingi za starehe bila kusahau Mji huu umepitiwa na barabara kuu ya kuelekea Mji wa Ifakara.

Karibu Kidatu.

ITAENDELEA...
Ni ujinga na utoto kutenganisha Tunduma na Mpemba,sijui mtoa mada zimetengana wapi ikiwa hapo Mpemba ni kata ya Tunduma na Mji umeungana wote.

On top of that Vwawa-Mlowo Zimeungana so sio sawa kutenganisha na inatakiwa kuitwa Manispaa ya Mbozi.
 
Wakuu,

Uzi huu ni kwa ajili ya kutaja miji midogomidogo ndani ya nchi yetu ambayo ina vibe kubwa kama miji mikubwa na ina fursa za kibiashara lakini haivumi wala kujulikana sana na watu.

Mimi naanza kama ifuatavyo:

1. MLOWO
Huu ni miongoni mwa miji midogomidogo inayokuwa kwa Kasi, ni Mji Mdogo unaopatikana Mkoa mpya wa Songwe, Wilaya ya Mbozi. Mji huu upo barabara kuu ya kutoka Mbeya Jiji kuelekea Tunduma. Ni Mji unaokua kwa kasi na unafursa ya kibiashara hasa mazao. Mji huu unazungukwa na vijiji vingii ambavyo wakazi wake wanajishughulisha na kilimo cha Mahindi, karanga, Maharagwe Alizeti, parachichi, kahawa n.k

Mji huu wa Mlowo una pacha/njia ya kuelekea miji mingine kama Kamsamba, Momba na Chunya. Pacha hii ndio pacha inayofika hadi kwenye Shamba kubwa la serikali la mahindi ambalo kwa sasa liko chini ya Wakala wa Mbegu wa Taifa(ASA).

2. MPEMBA
Huu pia ni Mji unaokua kwa kasi, upo mkoani Songwe Wilaya ya Tunduma, kilometers 10 kutoka Tunduma mji. Mji huu una fursa za kibiashara na Kilimo.

3. VWAWA
Hapa ndipo Makao makuu ya Mkoa wa Songwe ambapo kwa sasa Mkuu wa Mkoa huu ni Daniel Chongolo. Ni Mji unaokua kwa kasi kutokana na kusimikwa kwa huduma nyingi za kijamii zenye hadhi ya mkoa. Miaka michache Mji huu utaungana na Mji wa Mlowo kutokana na ukaribu bila kusahau mijengo mikali inayoendelea kuporomoshwa ndani ya Mji huu.
Karibu Vwawa.

4. NYANGAO
Ni Mji unaopatikana Kusini Mashariki mwa Tanzania ndani ya Mkoa wa Lindi, Wilaya ya Lindi DC. Mji huu mkongwe ambao wajerumani waliweka ngome yao hapa na kufanikiwa kujenga kanisa kubwa na Mission yao. Mbali na hilo wajerumani walijenga hospital kubwa sana ndani ya Mji huu(St Walburgus referral Hospital Nyangao).

Wakazi wengi wa Mji huu ni wakulima wa mazao kama Mahindi, mpunga, Alizeti, karanga na mazao ya biashara Kam Ufuta na Korosho, bila kusahau biashara za samaki/dagaa.. ambapo Mji huu umekuwa kama center ya biashara hii ambapo samaki/dagaa wengi wanaotoka bahari ya Kilwa na kuja Nyangao. Watu mbalimbali kutoka katika vijiji vilivyo karibu na Mji wa Nyangao wanakuja kujumua samaki/dagaa hapa.

Kitu lingine Cha kufahamu ni kuwa Mji huu upo mpakani kati ya Mkoa wa Lindi na Mtwara kutokea Masasi Town, Pia ni sehemu ambapo Mbunge wa Mtama na Waziri mwenye dhamana ya habari, masiliano na Teknolojia(Nape Nnaye) huwa anapategemea sana kuchukuwa/kupigiwa kura za kutosha katika chaguzi zinazofanyika, hii ni kutokana na idadi ya watu waliopo Mji huu ambao ni wanachama wa Chama Mapinduzi.

Nyangao kuna shule za level ya juu (High) kama MAHIWA HIGH SCHOOL na NYANGAO HIGH SCHOOL ambayo inasemekana inamilikiwa na Waziri mkuu(Mh : Kassim M Kassim). Ukitaka kufahamu shule hii kwa undani basi fuatilia Zamaradi TV. Pia kuna chuo cha kati cha Afya kilichopo karibu na Hospital ya Nyangao na vyuo vingine vya ufundi.

KIDATU
Mji huu upo ndani Wilaya ya Kilosa japo watu wengi wanachanganya kwa kufahamu kuwa upo wilayani kilombero. Mji huu unakuwa kwa Kasi sana, hii inachagizwa na uwepo wa kiwanda kikubwa Cha sukari almaarufu kama Kilombero Sugar Company. Wakazi wengi wa mji huu ni wakulima hasa Kilimo cha miwa ambapo soko lake kuu la miwa linapatikana katika kiwanda hicho cha sukari. Mji huu una fursa za kibiashara hasa kutokana na wageni wanaokuja kununua sukari kiwandani hapo bila kusahau Crew kubwa ya wataalam kutoka kiwandani hapo.

Kuna chuo kimoja kikongwe sana kinachofahamika kama NATIONAL SUGAR INSTITUTE. Chuo hiki kinatoa kozi mbalimbali za Stashahada ya uhandizi Umeme, Kilimo na Sukari n.k

Pia Mji unahuduma za kibenki na sehemu nyingi za starehe bila kusahau Mji huu umepitiwa na barabara kuu ya kuelekea Mji wa Ifakara.

Karibu Kidatu.

ITAENDELEA...
Mtwango Njombe
Kilyamatundu,Ilemba Rukwa
Majimoto,Katavi
Katoro Geita
Igawa,Ubaruku Mbarali
Igwachanya,Wanging'ombe
Makongolosi ,Chunya
 
Katoro-Geita

Kwa kanda ya ziwa baada Mwanza na Kahama, Katoro inafuata

Kama Kahama ilivyoipiku Shinyanga (mkoa) ndivyo Katoro inavyoipiku Geita. Katoro kuna soko linaitwa kariakoo.
Yaani Katoro ije kuipiku Geita? Acha stori za kutunga ,Geita TC ni Kati ya Miji mikubwa 10 ,Kwa Tanzania kwa idadi ya watu.
 
Katoro-Geita

Kwa kanda ya ziwa baada Mwanza na Kahama, Katoro inafuata

Kama Kahama ilivyoipiku Shinyanga (mkoa) ndivyo Katoro inavyoipiku Geita. Katoro kuna soko linaitwa kariakoo.
Yaani Katoro ije kuipiku Geita? Acha stori za kutunga ,Geita TC ni Kati ya Miji mikubwa 10 ,Kwa Tanzania kwa
Kuna Mikese Morogoro, Himo Moshi, Dumila na Dakawa Morogoro, Mlela na Doma Morogoro pia, Kiwangwa Pwani ya Bagamoyo, Kifanya Njombe, Ikungi Singida, Kinguluwira Morogoro,.
Seems Moro Ina Vimiji vidogo vinavyoibukia vingi sana
idadi ya watu.
 
Ni ujinga na utoto kutenganisha Tunduma na Mpemba,sijui mtoa mada zimetengana wapi ikiwa hapo Mpemba ni kata ya Tunduma na Mji umeungana wote.

On top of that Vwawa-Mlowo Zimeungana so sio sawa kutenganisha na inatakiwa kuitwa Manispaa ya Mbozi.
MPEMBA na Tunduma nakubali,, Ila Mlowo-Vwawa bado kuungana kihivyo, Pia kuwa na hadhi ya Manispaa bado sana,, wakazi na serikali inabidi kuzidi kuboresha miji hii zaidi Hadi ifikie huko.
Kwa mantiki hiyo kama Mlowo/Vwawa zikiwa Manispaa basi Moshi, Morogoro Mtwara, Iringa inabidi yawe Majiji😃
 
1. Ndanda
2. Matai
3. Lyanzumbi
4. Rungwa
5. Inyonga
6. Lupa Tinga Tinga
7. Dumila
8.Laela
9. Mangaka
10. Madaba
11. Makambako
12. Tinde
13. Ikwiriri
14. Tura

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acha ujinga basi..Makambako sio Mji mdogo ni Mji mkubwa na una Halmashauri kabisa.

Lyazumbi,Ndanda,Matai,Lupa,Tinde,Tura hivyo ni Vijijini na Wala havijachangamka Kwa lolote na hakuna vibe.

Laela,Mataifa na Lyazumbi kuna vibe gani hapo? Kwanza hata Inyonga pamepoa watu wanakoboa mipunga tuu,Ungekuwa na akili ungetaja hata Majimoto
 
Back
Top Bottom