Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

Zitakuwa Manispaa zikiunganishwa sio kusimama kama Mji unaojitegenea.Ndio maana Makao Makuu ya Mkoa yakajengwa pale katikati kurahisisha Hilo zoezi.
 
Igawa imepata bahati ya kupitiwa na ile barabara yenye hadhi ya juu iliyoanzia pale Igawa mpaka Iringa,, kwa kifupi Igawa imependezeshwa na yale mataa ya barabarani bila kusahau ule upanuzi wa barabara kwa ajili ya kuegeshea malori. All in All Igawa ni kituo ya ku-park Malori tu nyakati za usiku..
Siku Igawa ikija kuungana vizuri hadi kule Ubaruku basi Mji utakuwa mkubwa sana,, But fursa kule ni Kilimo cha Mpunga tu😁
Mtwango Njombe
Kilyamatundu,Ilemba Rukwa
Majimoto,Katavi
Katoro Geita
Igawa,Ubaruku Mbarali
Igwachanya,Wanging'ombe
Makongolosi ,Chunya
 
Nanyamba sio Mji mdogo,Ni Halmashauri ya Mji wa Nanyamba TC
 
Upo sahihi Nanganga pale bado labda Lami ya Ruangwa ikamilike...ila Ikwiriri pamechangamka japo mafuriko mwaka huu yaliwanyoosha
 
igawa kuna vitunguu pia
 
Igawa na Rujewa zimeshaungana so is like Mji mmja na itafika huko Ubaruku.

Lakini Igawa Ina viwanda vikubwa vya nataka hasa kukoboa na kupaki Michele.
 
Nakubaliana na wewe Kuna Nanyamba ni Town Council ili kuwa TC sio shida.. Hivi unajua kuwa pale Mtama Jimboni kwa Nape Nnauye ni District Council Ila bado pamepoa sana. Pale Mtama hata hospital ya Wilaya/Halmashauri hawana nasikia Kuna kituo cha Afya kidogo kimejengwa pale Maumbika kama sio Kiwalala[QUOTE="The Sunk Cost Fallacy 2, post: 50387495, member: 689752"PP
Nanyamba sio Mji mdogo,Ni Halmashauri ya Mji wa Nanyamba TC
[/QUOTE]
 
Sehemu yeyote Barabara za lami zikifika tayari inaanza kukua.

Namtumbo Kuna ufuta sana huko ila sijasikia mtu akitaja Tunduru
 
Mafuriko yamekuja kuharibu hadi ukuaji wa Wilaya ya Kibiti, Yale maeneo yote ambayo yalikuwa yanaporomoshwa mijengo, sasa hivi serikali imeamuru watu wahame,, kwa mantiki hiyo Mji hauwezi kukua
Upo sahihi Nanganga pale bado labda Lami ya Ruangwa ikamilike...ila Ikwiriri pamechangamka japo mafuriko mwaka huu yaliwanyoosha
 
[/QUOTE]
Elewa hizo classification,Ili sehemu iwe TC lazima iwe imekidhi idadi Fulani ya watu tofauti na DC ambapo wanaweza chagu kimji au Kijiji chochote wakaweka Makao Makuu eg Usevye kule Mpimbwe ni Kijiji tuu lakini Mji mkubwa wa biashara Wilaya ni Majimoto.

So Nanyamba TC ni Mji mkubwa Kwa vigezo vya Mji kabisa unless utaje Mji ambao haujapata hiyo status ya TC ila umezidi Nanyamba
 
Huo mji wa Kidatu jina lake halisi ni Ruaha. Patamu sana hapo.
 
Sehemu yeyote Barabara za lami zikifika tayari inaanza kukua.

Namtumbo Kuna ufuta sana huko ila sijasikia mtu akitaja Tunduru
Tunduru na Masasi ni Wilaya ambazo zinakaribiana japo ziko ndani ya Mikoa miwili tofauti ila Masasi inazidi kukua zaidi, Sasa hivi Masasi wanamiliki Council mbili ambazo ni Masasi District Council & Masasi Town Council.
Mara ya mwisho kupita Masasi ni May 2023.. Duuh Masasi ya sasa ina barabara za lami mitaani, Ile Hospital ya Wilaya Mkomaindo na vyuo ya Afya(Masasi- COTC) vyote vimeboreshwa. Pale sokoni Kaumu Maghorofa yanajengwa. Stand kuu inahamishwa ili kutanua Mji, stand ya kisasa itaanza kujengwa soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…