Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

Jengeni stendi Kwa sababu ya mahitaji sio kutanua Mji.Mji haukui Kufuata stendi huo ni ujinga wa watu wa Serikali,Mbeya walikataa huo upuuzi wanajenga Old Airport na Mji unaendelea kukua.

Sumbawanga,Iringa nk hakuna mtu anajenga Kufuata stendi matokeo yake stendi hazitumiki hata baada ya kulazimsha watu Kwa sababu wamejemga maporini huko Kwa akili hizo hizo za kukariri eti kutanua Mji.
 
Kwa Tanzania hii miji iliyopangiliwa ni michache sana tena inawezekana nisiijue,, hata Jiji la Dar maeneo mengi ya Mji/Jiji yako shaghalabaghala kimpangilio
Binafsi napenda Miji iliyopangiliwa vizuri na yenye mandhari kuliko mnayoita imechangamka ,in most cases Huwa kama magulio,madampo ni hovyo no order but Kwa wafanyabiashara ndio maeneo wanapenda.
 
K Husitake kwa 100% Ila kwa kiasi inasaidia,,
 
Masasi pamechangamka kuliko Lindi Municipal
 
Kama kuna miji ya kipuuzi isiyoeleweka basi ni Mbeya, hilo jiji sijui lilipangwa vipi tu.
 
Hongera sana ndugu Kwa kujaribu kututajia baadhi ya Miji inavyokua Kwa haraka.....naomba nikueleweshe kitu kuhusu KIDATU......katika wilaya ya Kilosa ambayo mimi ni Mzaliwa wa hapo hakuna Mji unaoitwa KIDATU....Bali KIDATU hipo wilaya ya KILOMBERO na si KILOSA....Mji unaousema wewe unaitwa Mji wa RUAHA....huu ni Mji uliopo katika wilaya ya Kilosa na ni mpakani mwa Wilaya ya Kilosa na Kilombero....Mji huu hupo upande wa Wilaya ya Kilosa na Mwi sho wa Mji huu ni KWENYE daraja la Ruaha ambapo pembeni yake upande wa pili wa Wilaya ya KILOMBERO Kuna bwawa kubwa la umeme...( Bwawa la Kidatu)...
Hivyo Mji ambao umeulenga wewe ni Mji wa RUAHA wenye chuo Cha Sukari,,Kiwanda kikubwa Cha Sukari maarufu kama K2,,Kiwanda Cha kutengeneza Sprit,,,na Kiwanda Cha kutengeneza....Mji wa RUAHA maarufu kama Kilombero una Mashamba Makubwa sana ya Miwa...na ni Mji ambao umechangamka saaana....nyumbani Kwao Mecky Maxime kocha wa Hiefu...nyumbani Kwao kabila la Wavidunda....Ruaha ni Kijiji kikubwa sana na chenye uwezo wa kufananishwa ata na Miji baadhi mikubwa
 
Yaani Katoro ije kuipiku Geita? Acha stori za kutunga ,Geita TC ni Kati ya Miji mikubwa 10 ,Kwa Tanzania kwa

Seems Moro Ina Vimiji vidogo vinavyoibukia vingi sana
idadi ya watu.
Yeah Moro ni funga kazi Ina miji midogo mingi yenye mzunguko mkubwa wa hela kuliko baadhi ya mikoa.
Mfano.
Dumila
Mikumi
Ifakara
Mikese
Dakawa
Gairo etc

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Umekuja kutukana au kueleza fursa ?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kagongwa ndiyo kata yenye idadi kubwa ya watu kuliko kata zote za Kahama MC pana harakati nyingi sana pale na barabara ya Kagongwa-Nzega ikitiwa lami maana yake magari Nzega-Kahama hayapita tena Tinde maana ni short cut.

Nkinga-Igunga DC napo pamechangamshwa na uwepo wa ile Hospital.

Didia-Shinyanga DC napo si haba.
 
Sasa kama Iko ndani ya Kahama MC haiqualify kuwa independent town
 
Mku Asante mkuu.
Hili la KIDATU nilishaliweka wazi kuwa ule mji unatumia majina yote mawili japo sijui kwa nini. Mimi Nimeishi pale 2 yrs, So naelewa vizuri. Hata hicho chuo Cha Sukari Cha Taifa kwenye profile zake kinaonesha kuwa kipo KIDATU, yaan ni namna tu watu wanaona inafaa kuita na inaeleweka.
Nakutumia picha hapa ya pale chuoni utaona neno Kidatu kwenye Address
yao na College Joining instructions utakuta hivyo, halikadharika kile kiwa Cha Sukari K2 pia K1, taarifa zao zinazohusu location ya kiwanda huwa wanataja Kidatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…