Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

Katoro ni mji unaopatikana ndani ya mkoa wa geita mji huu unatisha ki biashara na Kila kitu nenda kawekeze katoro hutojuta
 
Mkwajuni unaweza paelezea kidogo, kuhusu fursq zake na jamii husika kiujumla, vipi mzunguko unategeme nn zaid?
 
Kwetu Kagera.
Kuna
Benako.
Mtukula.
Nkwenda
Hapo Kuna vijana ni matajiri wanapiga pesa ndefu hata Dar hawapajui
 
nataka niione iyo miji ya morogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…