Hii miji midogo kama una interest ya kulima na biashara ya Mazao kama Mimi unatoboa chap na haraka,,
Sema Mimi sijatulia tu.. hebu nitulie kwanza niende zangu Mangaka nikalime karame Karanga na ufuta
Naunga mkono hoja.Ilula napo sio Mchezo bila kusahau Ruahambuyuni. Nikipitaga huko naona kumechangamka.
Naunga mkono hojaKuna Mikese Morogoro, Himo Moshi, Dumila na Dakawa Morogoro, Mlela na Doma Morogoro pia, Kiwangwa Pwani ya Bagamoyo, Kifanya Njombe, Ikungi Singida, Kinguluwira Morogoro,.
Huko ni shida mkuu
Kuna miji umeandika hapo ni balaa sana1. Kakola
2. Nyamongo
3. Kahama town
4. Kerende
5. Nyabichune
6. Mugumu
7. Runzewe
8. Kagongwa
9. Nyakanazi
mlimba hapana aseee wachawi wmejaa hukoHii miji midogomidogo mingine hebu niitaje tu ili wadau wengine waweze kuifahamu na kama wanahitaji kutafuta/kufuata fursa huko basi wafuate.
• Kibaigwa
• Nanyamba
• Mahuta
• Chimala
• Ikwiriri
• Mangaka
• Nagaga
• Nangurukuru
• Ilula
• Kalenga
• Mlimba
Ikwiriri unakuwa Kwa Kasi na fursa zipo na mafuriko hayawezi gusa ikwiriri mjini yanagusa mashamba ya bondeni
Kwetu Kagera.
Kuna
Benako.
Mtukula.
Nkwenda
Hapo Kuna vijana ni matajiri wanapiga pesa ndefu hata Dar hawapajui
Nimejaribu kuwaza ruaha ya kilosa inakuwaje na ilhali wananchi hawana viwanja vya kujenga nyumba mpaka sasa. Juu ni milima wanakaa wavidunda na chini ni mashamba ya miwa ya kiwanda. Watu wana mashamba ya muwa pia kitete na ruhembe huko ambako ni nje ya Ruaha yenyewe. Kuna muda utafika pale patakuwa stagnant. Labda kidatu kuelekea mkamba hadi mang'ulaHapo kwenye Kidatu sio kweli, pale panaitwa Ruaha ni wilaya ya Kilosa. Kidatu ni ukivuka daraja linalotenganisha wilaya ya Kilosa na Kilombero. Kidatu ni Kilombero sio Kilosa. Hata viwanda vya sukari pale viko viwili K1 na K2 kimoja kipo Kilosa kingine kipo Kilombero japokuwa vipo pamoja.
Sasa hivi nalima mkuu.Kwasasa unafanya inshu za kununua mazao?
Wachawi kila mahala wapo, Unapajua Sumbawanga wewe Ila bado Mji unakuwa na maendeleo yanaonekana.mlimba hapana aseee wachawi wmejaa huko
Geita TC bado sana,sijui ilikuwaje ukawa mkoa ghorofa ziko tano tu Otonde na nyingine nne,ule mji bado sana ,japo katoro haina mitaa haijapimwa ila kibiashara inaikimbiza GeitaYaani Katoro ije kuipiku Geita? Acha stori za kutunga ,Geita TC ni Kati ya Miji mikubwa 10 ,Kwa Tanzania kwa
Seems Moro Ina Vimiji vidogo vinavyoibukia vingi sana
idadi ya watu.
Acha uongoGeita TC bado sana,sijui ilikuwaje ukawa mkoa ghorofa ziko tano tu Otonde na nyingine nne,ule mji bado sana ,japo katoro haina mitaa haijapimwa ila kibiashara inaikimbiza Geita
Kuwa makini,wanyambo siku hizi wanatumia ndagu sana usiwaige au kuwaonea wivu,ni uchawi uchawi tu kama wakingaKwetu Kagera.
Kuna
Benako.
Mtukula.
Nkwenda
Hapo Kuna vijana ni matajiri wanapiga pesa ndefu hata Dar hawapajui
Kuna pilika pilika za kibiashara sanaKivipi mkuu?