Kalesaa mweneeMkuu [emoji106] [emoji106] good
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalesaa mweneeMkuu [emoji106] [emoji106] good
Dawa ya mbio[emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda kwa kula kale kamnyama.
Mwene wa kwi sachii[emoji23] [emoji23]Kalesaa mwenee
Kwa sehemu ambayo ni tamu kwa mazingira na hali ya hewa tukuyu hiko juu kwa Tanzania nzima!Uje na TUKUYU huku mbeya ushangae shangae kidogo
Sikusoma chekechea.Hili swali au taarifa? Ebu! Tuoneshe kwanza vyeti vyako vya chekechea!
Sawasawa namasataaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwene wa kwi sachii[emoji23] [emoji23]
Unaliingizia Taifa kiasi gani cha fedha kwa mwaka/mwezi?Mlima Rungwe
Kama upo labda ufaransa vijijini vile kwa mji was lushotoSehemu nyingine nzuri hapa Tanzania ni lushoto Tanga aisee panapendeza sana.
Factor yangu ni zaidi ya hali ya hewa...Moshi ilikuwa zamani sasa hivi joto kama Sudan
Ukibarikiwa viongozi hawana nafasi ya kukuharibu...Nafikiri Mtwara ndiyo mji uliobarikiwa zaidi japo viongozi wa awamu zilizopita walitaka kuudimimiza lakini bado umesimama.
View attachment 476916
Ni karibu na Kilimanjaro... Baraka ziliwamwagikia.Sehemu nyingine nzuri hapa Tanzania ni lushoto Tanga aisee panapendeza sana.
Comment Amen! Na wewe ubarikiwe acha maneno yakoUkapimwe akili mleta maada
Hapana, haya ni matunda ya baraka za Mungu tu.Ni kweli Moshi na Arusha pamebarikiwa, hayo ni matunda ya ILANI ya chama cha mapinduzi CCM
Lushoto wanepata baraka kwa kuwa ni majiraniDah... Operesheni ya madawa ya kulevya... hasa viroba, bangi na mirungi ikafanikiwa katika miji hiyo... Mleta uzi afanye matembezi Tukuyu na Lushoto kisha aje kucomment kwenye uzi wake[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Haaah bado badoKama upo labda ufaransa vijijini vile kwa mji was lushoto