Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

mpo vizur nyie hana kwenye meno ndo maana huwa mnabandika gold
 
Nyie watu wa arusha sijui mtaacha masifa lini?
Kila mahali pamebarikiwa kulingana na mahitaji ya eneo husika
Mkishiba mbege basi mnajiona booora
Mtu anajisifia lakini mfukoni hana hata Mia na anakaa nyumbani. Chakula cha kugombea na wazazi. Ni shidaaaa
 
Punguza uchizi wewe, apa Dar es salaam, wazazi wetu baada ya kufika awo ndugu zako wazaramo wamekimbilia maporini wameogopa changamoto. Ivi wewe unaijua Dar es salaam unasema sema kama kapuku, unajua kuna waindi tumezaliwa nao umu umu kwenye National housing na awajui Kiswahili. Unaelewa kwa nn? Awajui Kiswahili
Kwa iyo ujinga ulio nao Jaribu kuficha. Dar es salaam aina wenyewe wewe, ndio jiji tunaloishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…