jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,024
- 1,466
Geita na Dodoma...Naomba mwenye kujua miji miwili iliyolaaniwa zaidi na Mungu Tanzania anitajie tafadhali
Amen!!
AiseeNaomba mwenye kujua miji miwili iliyolaaniwa zaidi na Mungu Tanzania anitajie tafadhali
sasa kama moshi mbona wenyeji wote wamekimbilia mikoa mingine kutafuta baraka mkuu?si wangebaki tu hapo.........NB unaongea na mchaga wa Rombo mashati.Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
2. Mji wa Arusha...
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
Dar karaha jotoIla moshi arusha kutam sana!!! Unaweza dhani haupo tz!!! Tuseme tu kama nchi tumebarikiwa shida ni uongozi wa nchi. Ila TZ iko raha sana especially Dar,Arusha, Moshi!!!! Acha kabisaaaa!!!!!
wakulima wa bangi arusha nï wanyiramba from singidaUpuuuzi mtupu....vipi zao la bangi aka cha arusha mmeshaacha kulima au.?
Ha ha ha hawakulima wa bangi arusha nï wanyiramba from singida
type amen acha povuUpuuuzi mtupu....vipi zao la bangi aka cha arusha mmeshaacha kulima au.?
Shinyanga na Geita iko Rwanda siyo?Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
2. Mji wa Arusha...
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
hayo mapori nayo miji?Shinyanga na Geita iko Rwanda siyo?
Wahaya walishaacha baada ya kisemwa sana wanaoongoza kwa sifa wachuga, wachaga Na wanyakyusaEEEEEH NILIDHANI HII MISIFA IPO KWA WAHAYA TU KUMBE HATA NYIE
Hawa jamaa wanafeel special kama umewahi pia kusoma nao. Nawachukia