jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 623
wenyeji wa dar hWawez kujivunia kwakuwa dar 95% waliojenga n wageniVijana wa mikoani mnapenda kujipendekeza ili muonekane wa mjini. Dar na Pwani ndio mikoa iliyobarikiwa ndio maana mnaona wivu ikitajwa wenyeji wa Dar/Pwani wazaramo/wandengereko. Mkimbizi wa Burundi kamwe hawezi kuwa raia wa TZ.
Soon mtasema na Mwanza kwa wasukuma kwenu. BTW Wazee/wenyeji wa Dar wapo wengi haichukui hata masaa ku-notice ingawa hawapigi kilugha kama watu wa vijijini.
Kubalini na mjivunie kwenu.
hahha mwambie a type amen Apache ubishBy the way we're special!!
Keep it in your skull!!
hadi rahaMy mama land!!
kipi cha uongo?Wahaya walishaacha baada ya kisemwa sana wanaoongoza kwa sifa wachuga, wachaga Na wanyakyusa
kipi cha uongo?Wahaya walishaacha baada ya kisemwa sana wanaoongoza kwa sifa wachuga, wachaga Na wanyakyusa
endelea kuchunga ngombe huko porini kwenu meatu mzeeUjinga mwingine huu hapa.
si ulitakiwa u type Amen?Moja kati ya maajabu saba ya dunia utapata Arusha wazungu na mbwembwe zao zao zote lazima watue chugamaica wapi joseverest mmoja kati ya macomrade kutoka chugah.
Amen!Ujinga mwingine huu hapa.
Wangewaibia ama??Juzi nimepanda ki hiace (dar wanaita daladala) Kutoka pale stend kwenda maeneo ya Uru (kwa wanaojua maeneo ya mbole)
Wakati narudi wakapanda wazungu kama Wanne wakakaa kale ka siti ka wanafunzi ambacho kanatazamana na abiria.
Basi watu wote wakawa kimya, wanaskika wao tu wanaongea sjui kihispania kile maana skuambulia hata neno moja la kingereza .
Konda akadai nauli, mmoja akatoa, konda akamrudishia mia saba, ile miatano ya noti hakuwa na shida nayo nafkiri anaijua, tatizo likaja kwenye mia mbili.... Ajaikaguaaa ...mara akakunja sura na kuongea na wenzake, mara wote wakacharuka......
Konda kuona hivyo akawaongezea buku..... Mara nikaskia mmoja kamnyooshea kidole konda akamwambia "wewe ". Basi abiria walicheka.... Wazungu nao walichekaa... Dah nikasema kweli watu wa moshi wakarimu sana...
Spati picha wangekutana na wale wazee wa sato
Mada umeielewa lakini?au unajiharishia tu..kubarikiwa ni kufanyaje?mburula wewehayo mapori nayo miji?
Ndio maana mnatahiri hata watoto wa kike bila hata chembe ya huruma halafu mtegemee BARAKA!Iringa ipi? wekeni utaratibu wa tohara vizuri kwanza...
Mungu hawezi kubariki kisichotahiriwa.
Bangi wanalimaga wajanja tu.Upuuuzi mtupu....vipi zao la bangi aka cha arusha mmeshaacha kulima au.?
Sisi ndio sisi juu juu juu zaidi.hata Sizonje anatujua.Nyie watu wa arusha sijui mtaacha masifa lini?
Kila mahali pamebarikiwa kulingana na mahitaji ya eneo husika
Mkishiba mbege basi mnajiona booora
Ngoja waje wazee wa darisalama
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Hasa hasa wale wa pale lumumba
hahaJuzi nimepanda ki hiace (dar wanaita daladala) Kutoka pale stend kwenda maeneo ya Uru (kwa wanaojua maeneo ya mbole)
Wakati narudi wakapanda wazungu kama Wanne wakakaa kale ka siti ka wanafunzi ambacho kanatazamana na abiria.
Basi watu wote wakawa kimya, wanaskika wao tu wanaongea sjui kihispania kile maana skuambulia hata neno moja la kingereza .
Konda akadai nauli, mmoja akatoa, konda akamrudishia mia saba, ile miatano ya noti hakuwa na shida nayo nafkiri anaijua, tatizo likaja kwenye mia mbili.... Ajaikaguaaa ...mara akakunja sura na kuongea na wenzake, mara wote wakacharuka......
Konda kuona hivyo akawaongezea buku..... Mara nikaskia mmoja kamnyooshea kidole konda akamwambia "wewe ". Basi abiria walicheka.... Wazungu nao walichekaa... Dah nikasema kweli watu wa moshi wakarimu sana...
Spati picha wangekutana na wale wazee wa sato
kubarikiwa nMada umeielewa lakini?au unajiharishia tu..kubarikiwa ni kufanyaje?mburula wewe
kilima jaro hawakeketi wanawake usiongee usilolijua ww mla mbwa wa kidamaliNdio maana mnatahiri hata watoto wa kike bila hata chembe ya huruma halafu mtegemee BARAKA!