Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Amen Amen anaebish bas hajafik hiyo mij mm sio wahuko lakn nimebaatik kuish hiyo mij nimixur San hew nzur watu wahuko wazur ardh nxur yan kila kitu kizur
 
Wewe nenda Moro Maji yatiririka yenyewe ukitupa mbegu hata bila ya kulima unavuna,
 
Mkoa wa Kilimanjaro mwaka 2016 imeongoza kwa ulawiti, ubakaji, n.k, kwa kifupi {unyanyasaji wa kijinsia} Tanzania nzima.....iyo ndo baraka yenyewe??? Mababa wa familia zenu wanalala hadi na watoto wao wa kiume,, SHAME ON YOU !!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anaebisha nakupa data...!!...
 
So proud kwa wazaz wote mmoja moshi,mmoja arusha,,ukiwa std 5 moshi ni saw na form 4 iringa,kigoma,ruvuma,ddma singida shinyanga n.k

Ukimaiza frm six moshi sawa na mastarz dar,mbeya,mwanza,Lind ,mtwara tanga,pwani,na Moro.
Ukizaliwa moshi na ukasoma mpka ngaz ya degree duh unatakiwa ukaishi huko botswana ,Swaziland,nabia maana kama form six anamiliki chama kikuu cha upinzani Tanzania je angekua na degree moja tu ingekuaje...

BARIKI MOSHI NA ARUSHA NAWE UBARIKIWE
Hizi ni baadh za setbacks za chadema kupewa nchi labda baada ya miaka 1000 ijayo.
Mimi ni ukawa damu lakn ..,kutoaminika kwa watu wa huko ndo Kunako tugharimu ...sasa nyie endeleeni na upumbafu huu.
Watu tunajitahidi kuwaeleza watanzania watuelewe kuwa sisi hatuna ukanda, udini,siyo wezi kama dhana ambayo imejijenga ktk fikra za watanzania ,wapumbafu kama wewe unakuja kwenye mitandao unapost vitu vya kipuuzi vinavyozidi kutuondolea credibility ktk jamii.
Pumbafu kabisaaaa
 
Hizi ni baadh za setbacks za chadema kupewa nchi labda baada ya miaka 1000 ijayo.
Mimi ni ukawa damu lakn ..,kutoaminika kwa watu wa huko ndo Kunako tugharimu ...sasa nyie endeleeni na upumbafu huu.
Watu tunajitahidi kuwaeleza watanzania watuelewe kuwa sisi hatuna ukanda, udini,siyo wezi kama dhana ambayo imejijenga ktk fikra za watanzania ,wapumbafu kama wewe unakuja kwenye mitandao unapost vitu vya kipuuzi vinavyozidi kutuondolea credibility ktk jamii.
Pumbafu kabisaaaa
Ha ha punguza povu,,,Mimi ni ccm kindakindaki na naukubali balaaa upinzani Ila nasifia kwetu na napakubali mpaka naumwa,,, kwan nan kaongelea ukawa hapo???/tiliza mshono we msafa
 
Ha ha punguza povu,,,Mimi ni ccm kindakindaki na naukubali balaaa upinzani Ila nasifia kwetu na napakubali mpaka naumwa,,, kwan nan kaongelea ukawa hapo???/tiliza mshono we msafa
Kumbe wewe ni ccm kindakinda!
Anyway endelea kuupromote ukanda labda ni technique nyingine ya kuiondolea chadema credibility... Who knows.. ..
 
Ingawa nimetembea na kuishi miji tofauti Tanzania..Kuanzia Dar nilipozaliwa, Morogoro nilipokulia na kusomea elimu ya msingi, Pwani Kibaha niliposomea elimu ya Sec. ,Moshi niliposomea Elimu ya Juu, Arusha na Tanga kwa matembezi sana, Mbeya kwa shughuli za kiofisi.

Nisiwe mnafiki hamna mkoa niliotokea kuupenda kama Moshi. Aisee ni kwa vile tu ni pagumu kutafuta riziki na jamaa hawauzi ardhi kizembe ila ukizingatia karaha za Dar es salaam hakuna mkoa nimeupenda kuishi kama Moshi. Hamna foleni, Mji msafi na umetulia sana na maeneo yenye uswahili yanahesabika. The rest of the places ni amani tu Shant town, Soweto, T.P.C, Pasua, Mabogini n.k
 
Ingawa nimetembea na kuishi miji tofauti Tanzania..Kuanzia Dar nilipozaliwa, Morogoro nilipokulia na kusomea elimu ya msingi, Pwani Kibaha niliposomea elimu ya Sec. ,Moshi niliposomea Elimu ya Juu, Arusha na Tanga kwa matembezi sana, Mbeya kwa shughuli za kiofisi.

Nisiwe mnafiki hamna mkoa niliotokea kuupenda kama Moshi. Aisee ni kwa vile tu ni pagumu kutafuta riziki na jamaa hawauzi ardhi kizembe ila ukizingatia karaha za Dar es salaam hakuna mkoa nimeupenda kuishi kama Moshi. Hamna foleni, Mji msafi na umetulia sana na maeneo yenye uswahili yanahesabika. The rest of the places ni amani tu Shant town, Soweto, T.P.C, Pasua, Mabogini n.k
Hakuna MKOA kama Moshi? Serious? Shule ulizozitaja inaonekana ulikua mkali lakini umetuangusha sana.
 
Hakuna MKOA kama Moshi? Serious? Shule ulizozitaja inaonekana ulikua mkali lakini umetuangusha sana.

Sio kwamba hamna mkoa mkali zaidi ya Moshi ila tu nimemapenda Moshi dhidi ya mikoa yote niliyowahi ishi/tembea mkuu. Huu ni mtazamo wangu tu wala sio lazima iwe sawa na kila mtu!
 
Wewe jamaa uko sober kweli? Hata Mungu alipowaahidi wana wa Israel makazi mapya, hakusema anawapeleka kwenye nchi ya milima mirefu, bali nchi ya maziwa na asali!
Kwani moshi na arusha hakuna asalali niambie ni mkoa gani unaoingizia dola nyingi taifa ukiachilia mbali moshi na arusha
 
Back
Top Bottom