Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chunguza mkuuMijusi hawana hiyo tabia.
Navyofahamu mijusi hawana tabia ya kuishi karibu na mwanadamu au sehemu ambapo anahisi atakuwa anafikika kiurahisi. Ndio maana wanaishi kwenye cracks tena juu na kwenye dari. Huwezi kumkuta kabatini au kwenye begi kama Mende.Chunguza mkuu
Navyofahamu mijusi hawana tabia ya kuishi karibu na mwanadamu au sehemu ambapo anahisi atakuwa anafikika kiurahisi. Ndio maana wanaishi kwenye cracks tena juu na kwenye dari. Huwezi kumkuta kabatini au kwenye begi kama Mende.
Mkuu unaona kazi hizo ukutaniNavyofahamu mijusi hawana tabia ya kuishi karibu na mwanadamu au sehemu ambapo anahisi atakuwa anafikika kiurahisi. Ndio maana wanaishi kwenye cracks tena juu na kwenye dari. Huwezi kumkuta kabatini au kwenye begi kama Mende.
Chunguza mkuuMijusi hawana hiyo tabia.
Faida ya mijusi kula vidudu...Ila hasara inatumika kwenye nguvu za Giza..mwagia maji ya baraka nyumbani kwako.
Kivipi mambo ya giza??Faida ya mijusi kula vidudu...Ila hasara inatumika kwenye nguvu za Giza..mwagia maji ya baraka nyumbani kwako.
Mkuu mbona hawanaga shida na mtu, mimi huwa Sina shida nao kabisa maana Wana Mambo yao, sema huku siku hizi siwaoni sijui wamekimbia coronaWakuu habari ya uzima?
Kama mada inavyojieleza, ningependa kujua kutoka kwa yeyote anayefahamu dawa za hawa mijusi wanao zurura ndani ya nyumba naomba anijuze tafadhari.
Mkuu HV hii ya nguvu za Giza ni kweli, maana Nina Dada yangu kaokoka uwa anapambana nao anawaua Yani akimwona ndani kwake bas kifo Mimi uwa naona Kama anawaonea ukizingatia Mimi bado mchanga Sana kiimaniFaida ya mijusi kula vidudu...Ila hasara inatumika kwenye nguvu za Giza..mwagia maji ya baraka nyumbani kwako.
😁hii kachumbari hapana 🙌... 😂Angalia rate yako ya Luigi’s malaria has jamaa wanakula sana mbu biological controll unzip wanaolete mavi Kwa vyombo cocroach nk
Ukirudi wanaambizana malkia amerudiMimi kwangu Kuna mijusi mingi chakushangaza nikisafiri na mijusi hupotea siku nikirudi tu ndani ya nusu saa wamerudi, Hadi hushangaa sijawahigi kuwaza kuwaua maana Wana umuhimu wao.
Sijawahigi kukutana na hyo experienceMkuu wasilale kiza hao mijusi SIO utahisi kuchomwa know na sindano ndo umeumwa hivyo
[emoji1][emoji1][emoji1] kwa kweli Hadi nikamuuliza my sister akanambia wanakula wadudu nikawa na amaniUkirudi wanaambizana malkia amerudi
Huwajui mijusi weweee, hata upige gypsum wanatembea kama kawa tuu...Kama nyumba haijapigwa plasta inawafanya wanakuwa wepesi kushika ukuta na hawatelezi,ila kama imepigwa plasta wanateleza.
Ngoja wataalam wa mijusi waje.