passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
- Thread starter
-
- #601
Hajawahi kuwa na facts, ana vimaneno vingi vingi kama wazaramo!Bhasi tumeombs wewe utupe ushahidi unaoweza kujibu hojs yako ila naona blah blah nyingi unatoa..
Siku zote msomi hana blah blah blah zaidi ya kutua authentic Facts..
So umeprove hata wewe ulichokuwa unahoji hukijui
Si umeshajubiwa hapoSasa kwanini ashushe Quran kwa lugha moja tu?
Wakati anajua aliumba wanadamu kwa lugha tofauti tofauti?
HahahahahaHajawahi kuwa na facts, ana vimaneno vingi vingi kama wazaramo!
Yeye anakuambia kila mtu ni muislamu hakuna mjadala.
Kilichobaki ni kuvaa mabomuπHahahahaha
unajua kama mtu anajua ukweli na facts hakuna haja ya blah blah blah na vijimaneno kama mzalamo,Mmatumbi,mkwere au mndengereko...
Sasa unapewa mda zaidi ya Mara kumi kwamba sawa tuko Wrong basi tuonyeshe wewe uko right kwa ushahidi upi...bado unashindwa...
Kuutetea Uongo huwa ni kazi sana kuliko kuutetea ukweli huitaji nguvu
Hakuna shida yoyote, muhimu usalipo paji la uso elekezea kiblaKuna maeneo hua nakubaliana na quran bilashaka
Tunakusanywa kama tuko clinic wakati biblia inatufunza mungu yuko mbinguni na mahali pote ulimwenguni
Nikijisalia nyumbani kunashida gani
Tufanye nimeshindwa.Sasa kama ni jambo ambalo liko wazi maana yake ni rahisi sana kulitolea ushahidi. Maana yake kushindwa kwake ni kuwa hakuna ushahidi.
Mpaka hapa naona jambo hili limekushinda.
hakuna shida kuweka.wewe umeiona shida??Mkuu weka maandiko ili um prove wrong.
Kwani kuna shida gani kuweka?
Ujinga utakuua kiarabu kilikuwa kinaonhelewa na wachache sana mika hiyo uislamu walitengeneza wakatoliki kupinga ukristoNi hivi ALLAH alimchagua Muhammad kuwa ni mtume.Muhammad asili yake ni Uarabu na lugha aliyokuwa akiiongea ni kiarabu hivyo kama ALLAH angeiteremsha Quran kea lugha ya kilatini ama kingereza au kiswahili basi wale baba zenu waliowatangulia katika kukufuru wangedai mbona Quran imeteremshwa kwa lugha ya kigeni ili hali sisi ni waarabu au huyu Muhammad amejifunza lini lugha ya kigeni ilihali amekulia kati yetu....kuondoa hili ALLAH akaamua kuiteremsha kwa lugha fasaha ya kiarabu na hili halikuwazuia wale wasiokuwa waarabu wasijifunze Quran. Maana toka zamani walikuwapo watu waliozungumza lugha zaidi ya moja.
Tusubiri alete ushahidi wake. Ikiwa hatakuwa na uthibitisho wa kutokuwepo kwa Biblia atakuwa mtu wa ajabu sana kutaka uthibitisho wa kuwepo kwake.Jibu Zuri sana maana kama anakataa ushahidi anaopewa bhasi alete ushahidi kuwa hakikuwepo...
Ni kama mahakamani tu ukisema fulani hayuko sahihi bhasi inabidi ulete uthibitisho wa usahihi wako..
Na kama anasema kuwa Kulikuwa na Torati (Torati ni vitabu vitano pentateuch) na Injili kipindi hicho ilikuwa ina vitabu Zaidi ya 7..
Lakini Kumbuka Kuwa Baada ya Torati kulikuwa na Habari za Yoshua Bin Nun...na baadae habari za ufalme...
Sasa ziliandikwa wapi hizo...
Tunasubiri ushahidi kwamba Biblia haikuwepo tutafurahi sana kupata kitu kipya ...Sana snaa mimi
Kisai
Aya pumzika mkuu.hakuna shida kuweka.wewe umeiona shida??
naweza nikakupa andiko,ikiwa tu unaonyesha una nia ya kufahamu jambo.huyu nia yake sio hiyo,na uzuri amesema kabisa amesoma mpaka shahada ya theolojia.si tu kwamba hataelewa andiko,bali hata likiletwa hataliona maana hakuliona wakati akiwa shule aje alionee hapa.
acha ale apana za reja reja hivi hivi.
Ushahidi gani Mimi ambao natakiwa kutoa wakati nimewataia nyinyi mnipe ushahidi unao onyesha ya kuwa hii Biblia yenu ilikuwepo kipindi cha Mtume ?Bhasi tumeombs wewe utupe ushahidi unaoweza kujibu hojs yako ila naona blah blah nyingi unatoa..
Siku zote msomi hana blah blah blah zaidi ya kutua authentic Facts..
So umeprove hata wewe ulichokuwa unahoji hukijui
Swali si kama hilo, sababu kuhusu Biblia haijulikani kwa watu wote kwamba ilikuwepo kipindi cha Mtume, bali wapo ambao hawaamini kitabu hicho kutokana na kutojulilkana kwa waandishi wake.Tufanye nimeshindwa.
Hicho unachokiuliza ni sawa na hii,
Watu wote tunajua hapa tunapoishi ni duniani then utake mtu akuthibitishie kwamba tupo duniani. Ni swali lisilo na mantiki kabisa kuuliza jambo ambalo linajulikana na halinaga mjadala.
Na wewe thibitisha kwamba Biblia haikuwepo wakati wa mudi.
Kwa jinsi ujuavyo wewe kwa sasa Biblia ipo, unahisi imekuwepo tangu lini.Swali si kama hilo, sababu kuhusu Biblia haijulikani kwa watu wote kwamba ilikuwepo kipindi cha Mtume, bali wapo ambao hawaamini kitabu hicho kutokana na kutojulilkana kwa waandishi wake.
Kwahiyo huu mfano hauingii hapa.
msisitize rafiki yako,awe anasoma kuelewa sio kumaliza vitabu.Aya pumzika mkuu.
Amna Mimi nilisubiri umprove wrong huenda ungeniambia kweli nimsisitize.msisitize rafiki yako,awe anasoma kuelewa sio kumaliza vitabu.
π π Mkuu hujatoa andiko na mliambiwa muenende kwa ushuhuda?hakuna shida kuweka.wewe umeiona shida??
naweza nikakupa andiko,ikiwa tu unaonyesha una nia ya kufahamu jambo.huyu nia yake sio hiyo,na uzuri amesema kabisa amesoma mpaka shahada ya theolojia.si tu kwamba hataelewa andiko,bali hata likiletwa hataliona maana hakuliona wakati akiwa shule aje alionee hapa.
acha ale spana za reja reja hivi hivi.
Mkuu Nimeelewa na ndo maana nikawa na uwezo wa kuchangia kukufanya wewe upanic na kushindwa kuniprove wrong kutumia maandiko yako mwenyewe!π€£π€£msisitize rafiki yako,awe anasoma kuelewa sio kumaliza vitabu.
basi uache uvivu fatilia post zangu nikimnukuu,yapo mahitaji yako na maandiko unayohitaji.Amna Mimi nilisubiri umprove wrong huenda ungeniambia kweli nimsisitize.
Ndio maana nikasema wewe pumzika tu.
Na yeye ndo walewaleπ π Mkuu hujatoa andiko na mliambiwa muenende kwa ushuhuda?