Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Ninachotaka unipe connection ya Jina

Pele joez el gibbor abi ad sar shalom​

Au.
פֶּלֶא יוֹעֵץ אֵל גִּבּוֹר אֲבִיעַד שַׂר־שָׁלוֹם

ambalo ndo limetajwa kwenye Hilo fungu lako na Uhusiano na Yesu..
naweza kukwambia hakuna uhusiano wowote ktk jina,uhusiano upo katika wasifu profile,na ndio msingi wa mada yangu tokea mwanzo.
mtoto anayekuja kuzaliwa baadae ndiye huyu mwenye sifa zilizotajwa hapo,au ndio tunarudi juzi kwamba,mfalme wa amani sio Yesu ni melkizedeki???😂😂😂

Machumi ni Nani? Ndo yule jamaa anayezurura Dar na Spika na Mic Pale mbezi anaitwa mashimo sio machumi..
Nikisema wewe umekariri kwa sababu huwezi kuyaelezea ntakuwa nakusea?
huyu ndio moja ya wachungaji aina yako sasa,yule unawezakuta ana degree ya theolojia kama wewe.
Wewe Ni dhehebu gani Maana Madhehebu Yote Yaliyotoka Roma na yaliyomeguka kutoka Eastern Orthodox,South na north ...Asilimia 80% wote walimsifu huyo Jamaa wa Baptist (William miller) mpaka wakaunda movements imaitwa Millerites..
binafsi nimezaliwa RC,nimekulia Lutheran,na kwa sasa sijafungwa na dhehebu lolote.

kwahiyo ni kusema kwa wepesi waprotestant wote 80% ni waumini wa william miller?

Jamaa alikuwa Nabii akitabiri kurudi kwa yesu Kutatokea mwaka 1843 hakukutokea na akatabiri tena itakuwa 1844 watu wa dini zote wakawa na hofu lakini mwisho wa siku watu walisubiri Holaa ...
ndio sababu nikasisitiza ni vyema kuisoma bible yenyewe kuliko kusikiliza kila miruzi ya mwenye uwezo wa kuongea au kuandika,watu wana matatizo yao na malengo yao kwenye kila jambo.
So ndo maana ikaitwa Great Dissapointment in Religion of all time (Unaweza ukagoogle pia siku hizi si ndo elimu zenu)

Na hapo ndo kulitokea makanisa ya kilokole na WASABATO Na Mashahidi wa yehova na makanisa mengine mengi...
kwahiyo ndugu yetu miller,nayeye hana nofauti na kibwetere.
 
We jamaa hauko serious kabisa😂 sasa hujui na unaambiwa unakataa. Inaonekana unacho unachojua.
Sasa nataka kujua nabishana na mtu wa kiwango gani cha fikra kwa kuona vile unaeleza unavyoelewa kuhusu hii aya ya kitabu chenu cha quran,
33:56.
Baada ya kuridhika na maelezo yako tutaendelea na mada yetu, nje na hapo nenda kalale tu maana hamna kitu kichwani humo.
Lengo la wewe kuweka hii aya hapa ni nini ?

Lakini swali langu liko specific sana, nataka ushahidi kipindi cha Mtume. Kwa maana kwa kipindi cha Mtume ninajua haikuwepo .
 
Kwani BIBILIA nini mkuu?

Ina maana Wayahudi wa enzi za Mudi hawakuwa na scriptures zao ambazo ndio Agano la kale?

Na Wakristo enzi za Mudi hawakuwa na maandiko na simulizi zao ambazo ndio Agano Jipya?

Labda Mimi sijaelewa hoja yako ni ipi haswa?..... Kwamba enzi za Mudi hakukuwa na vitabu vya Agano la kale na Agano jipya?
Wewe ukiambiwa Biblia ni nini utasemaje ?

Unamjua Waraqah bin Nawfal ? Walikuwa na kumbukumbua au mabaki ya vitabu vya kale kwa maana ya Injili na Taurati, na wale walio amini kisawa sawa walikuwa wanatumia maandiko hayo, ndio maana alipokuja Mtume akaaminiwa hasa Waraqah sababu alikuwa na ujuzi wa maandiko ya kale.
 
naweza kukwambia hakuna uhusiano wowote ktk jina,uhusiano upo katika wasifu profile,na ndio msingi wa mada yangu tokea mwanzo.
mtoto anayekuja kuzaliwa baadae ndiye huyu mwenye sifa zilizotajwa hapo,au ndio tunarudi juzi kwamba,mfalme wa amani sio Yesu ni melkizedeki???😂😂😂
Good Start;

Wasifu:- wa Isaih 9:5-6
  • Government should be in His shoulder(Means The political Ruling will be His)
    • kabla hujajibu tambua kwamba Kingdom and government ni vitu viwili tofauti......Kingdom can be in Mind but goverment can not be in mind.....
    • Yaani kingdom can be used in metaphorical sense often relates to spiritual or symbolic realms, kama mnavyosema "ufalme wako uje" .....while "government" is more commonly associated with political formal structures of authority in the physical and political world. Na huwezi kumsikia mtu anasema ana serkali ya kiroho...
  • His Givernment Shall increase Peace..
  • Atakuwa mfalme kama Daudi baba yake..
Sasa niambie kati ya Hivyo ni kipi Hasa Yesu alikitimiza

huyu ndio moja ya wachungaji aina yako sasa,yule unawezakuta ana degree ya theolojia kama wewe.
Aitoe wapi Elimu ya Theolojia unafikiri Theolojia Ni kama Laini ya Simu unaweza kuisajili tu...

binafsi nimezaliwa RC,nimekulia Lutheran,na kwa sasa sijafungwa na dhehebu lolote.
safi niliamini walutheri wangeleta mapinduzi ya Kidini mpaka mwaka 2003 walipoanza kuleta ibada ya Kilokole kanisani ambazo kabla hazikuwepo
kwahiyo ni kusema kwa wepesi waprotestant wote 80% ni waumini wa william miller?


ndio sababu nikasisitiza ni vyema kuisoma bible yenyewe kuliko kusikiliza kila miruzi ya mwenye uwezo wa kuongea au kuandika,watu wana matatizo yao na malengo yao kwenye kila jambo.



kwahiyo ndugu yetu miller,nayeye hana nofauti na kibwetere.
Sasa umeanza kunielewa Vizuri sana..
Miller hana tofauti na kibwetere na hata watabiri wengine baada yake kila James White,Ellen white na wengine Kina Joseph smith .....
Na dini ya Mormons
 
Good Start;

Wasifu:- wa Isaih 9:5-6
  • Government should be in His shoulder(Means The political Ruling will be His)
    • kabla hujajibu tambua kwamba Kingdom and government ni vitu viwili tofauti......Kingdom can be in Mind but goverment can not be in mind.....
    • Yaani kingdom can be used in metaphorical sense often relates to spiritual or symbolic realms, kama mnavyosema "ufalme wako uje" .....while "government" is more commonly associated with political formal structures of authority in the physical and political world. Na huwezi kumsikia mtu anasema ana serkali ya kiroho...
  • His Givernment Shall increase Peace..
  • Atakuwa mfalme kama Daudi baba yake..
Sasa niambie kati ya Hivyo ni kipi Hasa Yesu alikitimiza
unless ulitaka aapishwe na kukabidhiwa crown pamoja na jeshi la utawala wa wakati huo.
lakini hata baada ya kuzaliwa tayari iliishaonekana threat kwa utawala wa wakati husika.rejea maagizo ya kuawa kwa watoto wote wa kiume.

vyema umesema,utawala wa mtu unaanzia akilini mwa watawaliwa,leo hii huyu mtu ana watu 2bilion wanamuamini,na.wengine 1.9bilion wanajinasibisha naye,unahoji kuhusu serikali anayoiongoza???kuna serikali ipi ulimwenguni ina watumwa wengi namna hiyo,halafu bila hata bunduki wala askari!!!
Aitoe wapi Elimu ya Theolojia unafikiri Theolojia Ni kama Laini ya Simu unaweza kuisajili tu...
mkuu si hata wewe unayo??
safi niliamini walutheri wangeleta mapinduzi ya Kidini mpaka mwaka 2003 walipoanza kuleta ibada ya Kilokole kanisani ambazo kabla hazikuwepo
asili ya hii ni uvuvio wa pentekoste,bado tunaamini roho mtakatifu yuko na watu,tutawahukumu kwa matunda yao tunayoyaona.
Sasa umeanza kunielewa Vizuri sana..
Miller hana tofauti na kibwetere na hata watabiri wengine baada yake kila James White,Ellen white na wengine Kina Joseph smith .....
Na dini ya Mormons
 
Ni kitabu cha Wakristo kilicho jumuisha agano la kale na jipya. Ukiambiwa wewe leo hii tunaomba Biblia utatuletwa Biblia gani ?
Ok sasa hapa ndo nimegundua Tatizo liko wapi!

Biblia ni neno la kigiriki mkuu linaitwa (τὰ βιβλία, tà biblía, ) Linalomaanisha Mkusanyiko wa Vitabu lakini pia unaweza ukaita Scrolls badala ya kuita Biblia/bible!

Biblia sio kitabu cha Dini tu kuna the Cook's Bible (hiki kimejaa Recipes za kila aina humo ndani) na fikiri wanaosoma mapishi wanakijua...

Sasa kwanini nimekupa mindset hiyo Kwa sababu watu wengi wanaamini Biblia ni lile lijitabu na ndo maana kuna wengine hata akishika Agano jipya anaita biblia (Agano jipya haijaqualify kuitwa biblia) ila Agano la kale imequalify kuitwa biblia..

Tukirudi katika context ya kidini Nikurekebisha kidogo Biblia sio kitabu cha Wakristo peke yake..
Wayahudi (Jews) wanabiblia ambayo ndiyo Agano la kale kwa Wakristo ambayo ni biblia yao itaitwa TANAKH (Torah,Neviem, Ketuvim) kama ambavyo biblia ya kikristo ina agano la kale na jipya..

Sasa zamani biblia zilitunzwa kwa mtindo wa Scrolls..Yale Magombo ya ngozi ya mkunjo yakiwa na vitabu vyote pamoja.. kuna vihifadhio vya maandiko vilikuwa vikitumika kama vile parchments (Ngozi za wanyama) ,papyrus (Karatasi Ngumu iliyotokana na papyrus Tree) au vellum (Ngozi) (calfskin)...

Katika Historia Matumizi ya karatasi Laini isiyo Papyrus Yalianza Kuvuma yakitokea nchini china mpaka karne ya 8th...ambapo kwa upande wa islamic world ndo Yalianza kutumika matumizi hayo ya karatasi...

Probably ilikuwa kwenye khulafa ya Ibn Ummayya au Khulafa ya Ibn Abbasi...

Kwa maelezo hayo hata Quran Haikuwa katika Karatasi kama ilivyo leo..
Na khulafaaa zote 4 kubwa Hazikuwa na karatasi ya Quran
 
unless ulitaka aapishwe na kukabidhiwa crown pamoja na jeshi la utawala wa wakati huo.
lakini hata baada ya kuzaliwa tayari iliishaonekana threat kwa utawala wa wakati husika.rejea maagizo ya kuawa kwa watoto wote wa kiume.

vyema umesema,utawala wa mtu unaanzia akilini mwa watawaliwa,leo hii huyu mtu ana watu 2bilion wanamuamini,na.wengine 1.9bilion wanajinasibisha naye,unahoji kuhusu serikali anayoiongoza???kuna serikali ipi ulimwenguni ina watumwa wengi namna hiyo,halafu bila hata bunduki wala askari!!!
Mkuu hakuna sehemu nimesema hivyo rudi kasome nilichooandika Biblia yako imeandila Government...
Wewe unachonielezea ni Kingdom hivi ni viti viwili tofauri..

Government ina watu,Jeshi,Ardhi na hata UTAWALA PIA hicho unachoelezea hakikidhi kuitwa government ila Kingdom ambayo ndo inaweza kutumika Metaphorically..
But Government can not be used in Spiritual metaphoriclly mind you that..

Kingine usinilishe maneno sijasema utawala wa mtu unaanzia akilini soma tena kama tatizo ni kingereza ntakutafasiria 🤣🤣

mkuu si hata wewe unayo??

asili ya hii ni uvuvio wa pentekoste,bado tunaamini roho mtakatifu yuko na watu,tutawahukumu kwa matunda yao tunayoyaona.
Hii tuiache mkuu Maana haikuwepo mpaka miaka ya 2003 na kuendelea unataka kuniambia tangu miaka ya 1700s haikuonekana kupaswa kuwepo
 
Mkuu hakuna sehemu nimesema hivyo rudi kasome nilichooandika Biblia yako imeandila Government...
Wewe unachonielezea ni Kingdom hivi ni viti viwili tofauri..
kwahiyo kwa sababu hii aliyekuwa anazungumzwa hapa hapa hakuwa Yesu!!!sababu hakuwahi kuwa na serikali yake.
Government ina watu,Jeshi,Ardhi na hata UTAWALA PIA hicho unachoelezea hakikidhi kuitwa government ila Kingdom ambayo ndo inaweza kutumika Metaphorically..
But Government can not be used in Spiritual metaphoriclly mind you that..
rejea swali pale juu.
Hii tuiache mkuu Maana haikuwepo mpaka miaka ya 2003 na kuendelea unataka kuniambia tangu miaka ya 1700s haikuonekana kupaswa kuwepo
unafikiri huyu miller ni zao la ibada za aina ipi??kama.baadae alikuwa kusababisha madhehebu yenye tabia hizo za kilokole??
 
kwahiyo kwa sababu hii aliyekuwa anazungumzwa hapa hapa hakuwa Yesu!!!sababu hakuwahi kuwa na serikali yake.

rejea swali pale juu.
Mkuu!

Kwa mfano nikakuambia kwamba "Kesho nakutumia Mzigo fulani utaletwa na Jamaa mmoja ukitokea Kusini Atakuwa amepakia kwenye gari lake aina ya kluger na atakuwa mrefu kiasi na mweusi Atakuwa na Rangi za blue" usimpe pesa wala usipokee mzigo tofauti na huyo

Kesho kwenda ukakuta kuna mwanamke mweupe ana gari aina ya Prado Vxr...
Utafanyaje au utanionaje...
Au cha kwanza kufanya ni nini


natamani nikupe sifa nyingi za Masihi wa Agano la kale na masihi wa Agano jipya ila kuna kijivideo cha Rabbi mmoja wa kiyahudi natamani nikutumie ili uone tifauti kama utaridhia
unafikiri huyu miller ni zao la ibada za aina ipi??kama.baadae alikuwa kusababisha madhehebu yenye tabia hizo za kilokole??
Mkuu nikimzungumzia miller ntkuwa naanza kuzungumzia Madheehebu ya wtu kama wasbato ,Walokole ,Pentecoste mashahidi na kama nikiM-outsmart yeye nafikir makanisa yote haya yatakosa na uhalali na sitaki kukashifu mtu mkuu..

Ila ukipata muda unaweza ukasoma Great Disappointemts of religion from william miler..
Viko vitabu vingi sana na utapata nachokisema
 
Mkuu!

Kwa mfano nikakuambia kwamba "Kesho nakutumia Mzigo fulani utaletwa na Jamaa mmoja ukitokea Kusini Atakuwa amepakia kwenye gari lake aina ya kluger na atakuwa mrefu kiasi na mweusi Atakuwa na Rangi za blue" usimpe oesa wala usipokee mzigo tofauti na huyo

Kesho kwenda ukakuta kuna mwanamke mweupe ana gari aina ya Prado Vxr...
Utafanyaje au utanionaje...
Au cha kwanza kufanya ni nini
cha kwanza kufanya ni kujiridhisha kama mzigo tajwa ndio huu umewasili,kuukataa kabisa,ni kukataa lengo na kazi ya mzigo husika.utachina ukisubiri mzigo wa kwenye cluger.
Mkuu nikimzungumzia miller ntkuwa naanza kuzungumzia Madheehebu ya wtu kama wasbato ,Walokole ,Pentecoste mashahidi na kama nikiM-outsmart yeye nafikir makanisa yote haya yatakosa na uhalali na sitaki kukashifu mtu mkuu..
wewe huna sababu ya kusita,sababu toka mwanzo uliishakosa imani na ukristo mzima,achia mbali vijisehemu.
Ila ukipata muda unaweza ukasoma Great Disappointemts of religion from william miler..
Viko vitabu vingi sana na utapata nachokisema
vitabu vingi sana,vyote habari ni moja au alindika vingi kwa kadri alivyopata nafasi???
 
cha kwanza kufanya ni kujiridhisha kama mzigo tajwa ndio huu umewasili,kuukataa kabisa,ni kukataa lengo na kazi ya mzigo husika.utachina ukisubiri mzigo wa kwenye cluger.
Safi kabisa na kuuridhia mzigo ni mpaka uone package uliambia itafika imefika..
Kama uliambiwa kutakuwa na maembe ukakuta Ni Dagaa mkuu utapokea?
wewe huna sababu ya kusita,sababu toka mwanzo uliishakosa imani na ukristo mzima,achia mbali vijisehemu.
Hahaha
vitabu vingi sana,vyote habari ni moja au alindika vingi kwa kadri alivyopata nafasi???
Yeye Hakuandika Ila watu wameandika vitabu kuelezea Hiyo Kitu maana ilichukua Sura mpya Dunia Nzima ilikuwa kimya Ikisubiri Huyo Yesu akirudi maana jamaa alikuwa akiaminika sana..

Na ndo maana inaitwa The Great Disappointment in Religion from Miller
 
Safi kabisa na kuuridhia mzigo ni mpaka uone package uliambia itafika imefika..
Kama uliambiwa kutakuwa na maembe ukakuta Ni Dagaa mkuu utapokea?
huwezi kuopokea maembe.
na utauufunga na kuendelea kusubiri gari yako ya dagaa.
Hahaha

Yeye Hakuandika Ila watu wameandika vitabu kuelezea Hiyo Kitu maana ilichukua Sura mpya Dunia Nzima ilikuwa kimya Ikisubiri Huyo Yesu akirudi maana jamaa alikuwa akiaminika sana..
watu waliandika,vitabu ni vingi kabisa.
Na ndo maana inaitwa The Great Disappointment in Religion from Miller
sasa kama waliamua kumfata jamaa tu anayejua kuongea vyema,shida ilikuwa kwao au kwa jamaa???
 
huwezi kuopokea maembe.
na utauufunga na kuendelea kusubiri gari yako ya dagaa.
Safi! Sasa bhasi ndo maana bado wayahudi wanasuburi Dagaa kwa sababu wameletewa maembe badala ya dagaaa
watu waliandika,vitabu ni vingi kabisa.

sasa kama waliamua kumfata jamaa tu anayejua kuongea vyema,shida ilikuwa kwao au kwa jamaa???
Shida ilikuwa kwa jamaa aliowadanganya na walidanganyika wengi
 
Safi! Sasa bhasi ndo maana bado wayahudi wanasuburi Dagaa kwa sababu wameletewa maembe badala ya dagaaa
ok kumbe issue ni ya wayahudi,naye Yesu alisema neno gani baada ya kugundua hawa watu wamekataa neema iliyo wajilia!!!

hao watu wasikuchanganye walimsumbua sana Mussa,hata Mungu mwenyewe kwa ubishi tu.

wewe acha waendelee kusubiri dagaa,msikilize Yesu mwenyewe.
Shida ilikuwa kwa jamaa aliowadanganya na walidanganyika wengi
bible iko wazi kwa kila jambo,ukitaka mtu akusomee na kukuelekeza jambo kuihusu,mwisho wake huwa ni hivyo.
 
Ok sasa hapa ndo nimegundua Tatizo liko wapi!

Biblia ni neno la kigiriki mkuu linaitwa (τὰ βιβλία, tà biblía, ) Linalomaanisha Mkusanyiko wa Vitabu lakini pia unaweza ukaita Scrolls badala ya kuita Biblia/bible!

Biblia sio kitabu cha Dini tu kuna the Cook's Bible (hiki kimejaa Recipes za kila aina humo ndani) na fikiri wanaosoma mapishi wanakijua...

Sasa kwanini nimekupa mindset hiyo Kwa sababu watu wengi wanaamini Biblia ni lile lijitabu na ndo maana kuna wengine hata akishika Agano jipya anaita biblia (Agano jipya haijaqualify kuitwa biblia) ila Agano la kale imequalify kuitwa biblia..

Tukirudi katika context ya kidini Nikurekebisha kidogo Biblia sio kitabu cha Wakristo peke yake..
Wayahudi (Jews) wanabiblia ambayo ndiyo Agano la kale kwa Wakristo ambayo ni biblia yao itaitwa TANAKH (Torah,Neviem, Ketuvim) kama ambavyo biblia ya kikristo ina agano la kale na jipya..

Sasa zamani biblia zilitunzwa kwa mtindo wa Scrolls..Yale Magombo ya ngozi ya mkunjo yakiwa na vitabu vyote pamoja.. kuna vihifadhio vya maandiko vilikuwa vikitumika kama vile parchments (Ngozi za wanyama) ,papyrus (Karatasi Ngumu iliyotokana na papyrus Tree) au vellum (Ngozi) (calfskin)...

Katika Historia Matumizi ya karatasi Laini isiyo Papyrus Yalianza Kuvuma yakitokea nchini china mpaka karne ya 8th...ambapo kwa upande wa islamic world ndo Yalianza kutumika matumizi hayo ya karatasi...

Probably ilikuwa kwenye khulafa ya Ibn Ummayya au Khulafa ya Ibn Abbasi...

Kwa maelezo hayo hata Quran Haikuwa katika Karatasi kama ilivyo leo..
Na khulafaaa zote 4 kubwa Hazikuwa na karatasi ya Quran
Niliposema Biblia ulielewa nini ? Maana naona bado unazunguka zunguka tu.

Swali langu liko pale pale, thibitisheni ya kuwa kipindi cha Mtume Biblia ilikuwepo.

Qur'an ilikuwa kwenye karatasi, Naam bila shaka kabisa.
 
Back
Top Bottom