Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Niliposema Biblia ulielewa nini ? Maana naona bado unazunguka zunguka tu.

Swali langu liko pale pale, thibitisheni ya kuwa kipindi cha Mtume Biblia ilikuwepo.

Qur'an ilikuwa kwenye karatasi, Naam bila shaka kabisa.
Hakukuwa na Karatasi Enzi hizo mkuu sasa hapa unaanza uongo!

Mapinduzi ya karatasi yameanza mwka 700s (Karne ya 8th) sasa wewe unasemaje quran ilikuwa kwenye karatasi.?

Tumekwambia Tumenyoosha mikono kwamba tumeshindwa haya wewe thibitisha kuwa haikuwepo (Hii ni mara ya 31 nakuambia hili)

Na inavyoonekana kutokana na kushindwa kuthibitisha kwako wewe ni mpiga porojo usiye na elimu na unachosema..Kwahyo jitahidi upate elimu ya kutosha kabla ya kuingia kwenye mjadala
 
Ujinga utakuua kiarabu kilikuwa kinaonhelewa na wachache sana mika hiyo uislamu walitengeneza wakatoliki kupinga ukristo
Kitovu cha ustaarabu wa kale chotekilikuwa kikizungumza lugha ya kiarabu. Iraq,Sham,Urdun,Filistin,Yaman,Bahrain,Oman,Masri. Leo hii wewe mpuuzi unasema ilikuwa ni lugha iliyoongelewa na wachache
 
Kitovu cha ustaarabu wa kale chotekilikuwa kikizungumza lugha ya kiarabu. Iraq,Sham,Urdun,Filistin,Yaman,Bahrain,Oman,Masri. Leo hii wewe mpuuzi unasema ilikuwa ni lugha iliyoongelewa na wachache
Hata wewe umeleta hadithi, tulipaswa kuona katika sehemu hizo ulizozitaja zilikuwa zina make % ngapi in universe ya lugha zinazozungumzwa?

Ungempinga kwa fact na si maneno.
 
Hata wewe umeleta hadithi, tulipaswa kuona katika sehemu hizo ulizozitaja zilikuwa zina make % ngapi in universe ya lugha zinazozungumzwa?

Ungempinga kwa fact na si maneno.
Kama ww una facts ziweke hapa kuonesha kuwa kiarabu kilikuwa kikizungumzwa na watu wachache
 
ok kumbe issue ni ya wayahudi,naye Yesu alisema neno gani baada ya kugundua hawa watu wamekataa neema iliyo wajilia!!!

hao watu wasikuchanganye walimsumbua sana Mussa,hata Mungu mwenyewe kwa ubishi tu.

wewe acha waendelee kusubiri dagaa,msikilize Yesu mwenyewe.

bible iko wazi kwa kila jambo,ukitaka mtu akusomee na kukuelekeza jambo kuihusu,mwisho wake huwa ni hivyo.
Lengo la kukupa mfano huo ni kwamba hata Yesu naye alifail kulingana na utabiri

HOJA MEZANI KAMA UTAWEZA KUZIJIBU KARIBU


 
Kama ww una facts ziweke hapa kuonesha kuwa kiarabu kilikuwa kikizungumzwa na watu wachache
A burden of proof.
Wewe umedai yeye ni mpumbavu kwa kusema kilitumika sehemu chache, Ulipaswa uthibitishe kwa facts kwamba sehemu hizo nilizozitaja zilikuwa zina make 90% ya ulimwengu mzima

Mfano kwa sasa
English users 1.45 billion
Mandarini chinese 1.12 billion
Hindi 602 million
Spanish 548 million na kuendelea

Umeelewa lakini hoja?
 
Kitovu cha ustaarabu wa kale chotekilikuwa kikizungumza lugha ya kiarabu. Iraq,Sham,Urdun,Filistin,Yaman,Bahrain,Oman,Masri. Leo hii wewe mpuuzi unasema ilikuwa ni lugha iliyoongelewa na wachache
Misri walikuwa Hawaongei Kiarabu (Point of Correction)
Na ustaarabu wa kale ukikuwa Roma ,Roma ndo nchi pekee iliyotawala kwa muda mrefu dunia..
Pengine hakuna nchi nyingine iliyotawala hivyo,,, kwahyo kitovu kilikuwa Roma..Lugha iliyozungumzwa sana ni kilatin na kiyunani...

nA urdu sio kiarabu,shamu hawakuzungunza kiarabu..

na nchi zilixokuwa na maendeleo zaman china huwezi kuiacha...

Na hata Herufi tunazotumia sasa hivi kuandikiana Habari ni herufi za kilatin
 
Misri walikuwa Hawaongei Kiarabu (Pount of Correction)
Na ustaarabu wa kale ukikuwa Roma Roma ndo nchi pekee iliyotawala kwa muda mrefu dunia..
Pengine haluna nchi nyingine kwahyo kitobu kilikuwa Roma..Lugha iliyoxungumzwa sana ni kilatin na kiyunani...

nA urdu sio kiarabu,shamu hawakuzungunza kiarabu..
na nchi zilixokuwa na maendeleo zaman china huwezi kuiacha
Shukrani mkuu.

Hawa watu ukifanya nao debate upo naye karibu anaweza kukutoa shingo😂

Yaani anamwambia mwenzake mpumbavu ila yeye kashindwa kuonyesha upumbavu wa mwenzake kaenda na yeye kuongeza upumbavu.
 
A burden of proof.
Wewe umedai yeye ni mpumbavu kwa kusema kilitumika sehemu chache, Ulipaswa uthibitishe kwa facts kwamba sehemu hizo nilizozitaja zilikuwa zina make 90% ya ulimwengu mzima

Mfano kwa sasa
English users 1.45 billion
Mandarini chinese 1.12 billion
Hindi 602 million
Spanish 548 million na kuendelea

Umeelewa lakini hoja?
The burden of proof is usually on the person who brings a claim in a dispute.

Wewe umekuja na hoja kuwa kiarabu hakikuwa kinazungumzwa na watu wengi...sasa lete ushahidi
 
Halafu suala la lugha kuzungumzwa na wengi ama wachache sio ishu! Ishu ni kuwa Mungu hapangiwi wapi kwa kushusha ujumbe wake. Ndio maana licha ya watu wa farao kuwa ni wengi sana bado aliamua ujumbe wake aushushe kwa mwana wa israel ,yaani Mussa licha ya kuwa wana wa israel walikuwa ni wachache kuliko watu wa kabila la farao.
 
Hakukuwa na Karatasi Enzi hizo mkuu sasa hapa unaanza uongo!

Mapinduzi ya karatasi yameanza mwka 700s (Karne ya 8th) sasa wewe unasemaje quran ilikuwa kwenye karatasi.?

Tumekwambia Tumenyoosha mikono kwamba tumeshindwa haya wewe thibitisha kuwa haikuwepo (Hii ni mara ya 31 nakuambia hili)

Na inavyoonekana kutokana na kushindwa kuthibitisha kwako wewe ni mpiga porojo usiye na elimu na unachosema..Kwahyo jitahidi upate elimu ya kutosha kabla ya kuingia kwenye mjadala
Vipi jamaa ameshakupa uthibitisho wa kutokuwepo kwa Biblia wakati wa mtume wao?
 
hoja ni nyingi mno,hata wanaoamini hakuna Mungu wana hoja nyingi sana tena zenye mashiko pia.

ndio maana tunajikita katika kumsoma Yesu mwenyewe,ili watu kama akina miller wasitutumie.
Wewe umeambiwa yesu mwenyew hana uhalali wa kujiita masihi wewe unatakiwa uthibitishe hilo mkuu ukishindwa bhasi utakuwa blind Follower
 
Vipi jamaa ameshakupa uthibitisho wa kutokuwepo kwa Biblia wakati wa mtume wao?
Hana uwezo huo kwa sababu hana Huo uthibitisho..Watu wengi wana ugonjwa wa kuogopa ukweli...

Ugonjwa huu kipsycholojia Unaitwa alethophobia..
Kamwe hawezi kukupa Jibu ya hilo swali kwa sababu anauogopa ukweli
 
The burden of proof is usually on the person who brings a claim in a dispute.

Wewe umekuja na hoja kuwa kiarabu hakikuwa kinazungumzwa na watu wengi...sasa lete ushahidi
Kabla ya karne ya 6 na 7, Kiarabu kilikuwa kinaxungumzwa eneo la Peninsula ya Arabia tu.
hasa katika jumuiya za Bedouin na maeneo ya karibu. na ilikuwa ni lugha ya kikanda tu.

Usambazaji mkubwa wa lugha ya Kiarabu na kuingia kwake kwenye maeneo mengine ulitokea wakati wa kuenea kwa Uislamu, ambao ulianzia karne ya 7 na kuendelea...

CC: passion_amo1
 
Wewe umeambiwa yesu mwenyew hana uhalali wa kujiita masihi wewe unatakiwa uthibitishe hilo mkuu ukishindwa bhasi utakuwa blind Follower
mimi nithibitishe umasihi wa Yesu!!!😆😆😆.

wayahudi wenyewe wanaendelea kumsubiri masihi huku wanazidi kupungua kwa idadi,atawakuta wamechoka sana.
 
The burden of proof is usually on the person who brings a claim in a dispute.

Wewe umekuja na hoja kuwa kiarabu hakikuwa kinazungumzwa na watu wengi...sasa lete ushahidi
Mimi ndo nilikuja na hoja? Au ulikuwa unaongea na mtu mwingine? Kashindwa kuthibitisha na wewe ukaleta hadithi unapata wapi haki ya kumuita mpumbavu wakati mnafanana?
 
Hakukuwa na Karatasi Enzi hizo mkuu sasa hapa unaanza uongo!

Mapinduzi ya karatasi yameanza mwka 700s (Karne ya 8th) sasa wewe unasemaje quran ilikuwa kwenye karatasi.?

Tumekwambia Tumenyoosha mikono kwamba tumeshindwa haya wewe thibitisha kuwa haikuwepo (Hii ni mara ya 31 nakuambia hili)

Na inavyoonekana kutokana na kushindwa kuthibitisha kwako wewe ni mpiga porojo usiye na elimu na unachosema..Kwahyo jitahidi upate elimu ya kutosha kabla ya kuingia kwenye mjadala
Nithibitishe mara ngapi kwamba Biblia haikuwepo ?
 
Back
Top Bottom