Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Swali si kama hilo, sababu kuhusu Biblia haijulikani kwa watu wote kwamba ilikuwepo kipindi cha Mtume, bali wapo ambao hawaamini kitabu hicho kutokana na kutojulilkana kwa waandishi wake.

Kwahiyo huu mfano hauingii hapa.
Mkuu Kubali umeshindwa kuthibitisha hoja zako maana nachokiona sasa ni kurusha maneno tu!

Kuna watu wanakufatilia na wanapenda uchangiaji wako wa utetezi wa Dini na mimi pia naupenda (Nikiri hivyo maana hakuna muislamu Jf ambaye anatetea Uislamu kwa facts kama wewe)
Lakini kwa sasa unachofanya hicho kitawafanya wanaokufatilia waanze kutia shaka na point yako ya kipindi cha mtume (S.a.W) hakukuwa na biblia...

hautakufa endapo utaprove kwamba haikuwepo
 
unataka andiko la nini msomi wa theolojia kiwango cha degree usiyejua wasifu ya Yesu🤣🤣🤣
Mkuu Nikuulize kitu hebu nipe wasifu wa masihi kwa Agano la kale...(Aliyetabiriwa kuja)

Halafu nipe Wasifu wa agano jipya aliyekuja..

Ndo maana mwanzoni nilikuuliza unajua the Great disapointment Of christian religion of all the Time..
Ile ya kina William miller Millerites..
Nafikiri ungekuwa unaijua tungeanzia hpa
 
Mkuu Nimeelewa na ndo maana nikawa na uwezo wa kuchangia kukufanya wewe upanic na kushindwa kuniprove wrong kutumia maandiko yako mwenyewe!🤣🤣
eti nimepanick😂😂😂

mimi siko hapa kukuprove wrong,niko hapa kuhakiki degree yako ya theolojia.
 
Mkuu Nikuulize kitu hebu nipe wasifu wa masihi kwa Agano la kale...(Aliyetabiriwa kuja)
soma isaya 9:6
tuone huyu ni nani alikuwa anatabiriwa hapa.
Halafu nipe Wasifu wa agano jipya aliyekuja.
YESU,Mungu mwenye nguvu,mfalme wa amani,hakimu wa haki,mkombozi, nk
Ndo maana mwanzoni nilikuuliza unajua the Great disapointment Of christian religion of all the Time..
Ile ya kina William miller Millerites..
william millerites ni nabii gani?
Nafikiri ungekuwa unaijua tungeanzia hpa
hiyo siifahamu,msomi embu ilete.
 
Swali si kama hilo, sababu kuhusu Biblia haijulikani kwa watu wote kwamba ilikuwepo kipindi cha Mtume, bali wapo ambao hawaamini kitabu hicho kutokana na kutojulilkana kwa waandishi wake.

Kwahiyo huu mfano hauingii hapa.

Kwani BIBILIA nini mkuu?

Ina maana Wayahudi wa enzi za Mudi hawakuwa na scriptures zao ambazo ndio Agano la kale?

Na Wakristo enzi za Mudi hawakuwa na maandiko na simulizi zao ambazo ndio Agano Jipya?

Labda Mimi sijaelewa hoja yako ni ipi haswa?..... Kwamba enzi za Mudi hakukuwa na vitabu vya Agano la kale na Agano jipya?
 
Firstly its has to stick on what is written not opinion...

Tuanze na MAZAZI YA YESU....(Tuanze na vitu vidogo kwanza simple starter)

TUanze na jina la babu yake yesu!

Baba yake ya Yoseph (Yusuph) katika Luka 3:23 alikuwa Eli

Ila baba yake yoseph (yusuph) katika Mathayo 1:16 inasema aliitwa Yakobo...

So ukiulizwa who was the father of Joseph utasema nani?..
Utatumia Refference ya Mathayo au luka na kwanini?
Mzazi wa Yesu kwa Mujibu wa tamaduni za Kiyahudi bado hapo hakuna contradictions.
Ukisoma kwa mtazamo wa Biblia hoina contradictions hautapata shida.

1: Virabu viwili vineandikqa na watu wawili kwa uongozi wa Roho mtakatifu kila mmoja akitaka kutoa ukoo wa Yesu kwa kusudi tofauti.

Mathayo anaonyesha Uzao wa kifalme wa Yesu kwa Yusuph. Pia Luka anaonyesha uzao wa Yesu kupitia Mariam. Hiyo kiyahudi hakuna neno Baba mkwe, ni Baba tu. Hivyo huyo Eli atakuwa ni Baba yake Mariam ambaye ni baba mkwe wa Yusuph. Ambaye Bado ataitwa Baba.
 
soma isaya 9:6
tuone huyu ni nani alikuwa anatabiriwa hapa.

YESU,Mungu mwenye nguvu,mfalme wa amani,hakimu wa haki,mkombozi, nk

As far as TANAKH it may Concern the ulischosema nisome ni hiki hapa..
Screenshot_20231211_111225_Adobe Acrobat.jpg


Sasa naomba uniambue kuwa Ulikuwa unamaana ipi kuniambia nisome hilo fungu au ulihisi linahusu yesu...
Kama ndyo bhasi Umedanganywa na Textual Manipulation waliofanya kwenye Tafsiri ..
Hilo ni Jina na kama lilivyoandikwa hapo kwenye bi lia..
Ni kama majina mengine...
Unajua kuwa hata Gabriel maana yake ni Nguvu ya Mungu..
so wangetafsiri Jina ingekuwaje leo kuwa "Nguvu ya Mungu akamtokea Maria"
now you sound Ridiculous...
hilo ni moja ya Mafungu yaliyokuwa twisted go and umuulize mchungaji wako..
william millerites ni nabii gani?

hiyo siifahamu,msomi embu ilete.
Dah bhasi kama hata Great disappointment huijui...na william miller humjui it means that hata dini unafata kama mkumbo mkuu
 
As far as TANAKH it may Concern the ulischosema nisome ni hiki hapa..
View attachment 2839317

Sasa naomba uniambue kuwa Ulikuwa unamaana ipi kuniambia nisome hilo fungu au ulihisi linahusu yesu...
Kama ndyo bhasi Umedanganywa na Textual Manipulation waliofanya kwenye Tafsiri ..
ahaaa mkuu,kwahiyo ili ukubali ulitarajia uone jina Yesu likitajwa hapo moja kwa moja!!!
Hilo ni Jina na kama lilivyoandikwa hapo kwenye bi lia..
Ni kama majina mengine...
mkuu ni wasifu tunazungumzia sio majina.
Unajua kuwa hata Gabriel maana yake ni Nguvu ya Mungu..
so wangetafsiri Jina ingekuwaje leo kuwa "Nguvu ya Mungu akamtokea Maria"
sawa.
now you sound Ridiculous...
hilo ni moja ya Mafungu yaliyokuwa twisted go and umuulize mchungaji wako..
mchungaji hata wewe unadai uliwahi kuwa,na machumu pia ni mchungaji,mmekariri maandiko sio kuelewa.
Dah bhasi kama hata Great disappointment huijui...na william miller humjui it means that hata dini unafata kama mkumbo mkuu
😆😆,mkuu,miller ni mtu tu kama wewe,anawezakuwa alikuwa mlevi,anavuta bangi,au alipata ajali ya kichwa.
usimpe nafasi kubwa kiasi hicho.
 
Mzazi wa Yesu kwa Mujibu wa tamaduni za Kiyahudi bado hapo hakuna contradictions.
Ukisoma kwa mtazamo wa Biblia hoina contradictions hautapata shida.

1: Virabu viwili vineandikqa na watu wawili kwa uongozi wa Roho mtakatifu kila mmoja akitaka kutoa ukoo wa Yesu kwa kusudi tofauti.

Mathayo anaonyesha Uzao wa kifalme wa Yesu kwa Yusuph. Pia Luka anaonyesha uzao wa Yesu kupitia Mariam. Hiyo kiyahudi hakuna neno Baba mkwe, ni Baba tu. Hivyo huyo Eli atakuwa ni Baba yake Mariam ambaye ni baba mkwe wa Yusuph. Ambaye Bado ataitwa Baba.
NIlitegemea hili jibu mkuu amini usiamini ndo maana mwanzo nikasema "No Opinion" just stick to the book...

Sasa nisikilize mkuu Napojaribu kusema kitu..

kwanza kabisa sijui mnaposema Roho mtakatifu huwa mnamaanisha nini? maana hata personal Research pia mnaita ni Roho mtakatifu,,
maana hiyo ilikuwa ni Tafiti ya Dr Luka mwenyewe Juu ya maisha ya Yesu no Spirit intact..

Luka 1:1-4

"Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo, nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu, upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa. "

How can this be Holy spirit haya ni matumizi mabaya ya neno Roho mtakatifu....


Haya tuendeleee

Mkuu kwanza kabisa mi nilidhani tunafanya utaletezi wa facts bila kuingiza uongo..

Hakuna Mila wala Tamaduni ya kiyahudi inayogawa ubaba kwa mtu mwingine asiyehusika na ubaba na ndo maana hakuna sehemu unapoweza kukuta baba mkwe akiitwa baba kwenye maandiko yoyote..
Ninaufahamu kidogo wa mila za kiyahudi lakini hii si katika mojawapo...
turudi kwenye mafungu huenda utayaona vizuri nikiyaweka na tafsiri za kingereza..
Mathayo 1:16
"Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo. "
"And Jacob begat Joseph the husband of Mary, of whom was born Jesus, who is called Christ."


Luka 3:23

"Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa amepata umri wake kama miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli, "

"And Jesus himself began to be about thirty years of age, being the son of Joseph, which was the son of Heli,"



so Mkuu Being a son Of Joseph which was the son of Heli kwako unaichukulia kama ni baba mkwe?
 
Mkuu Kubali umeshindwa kuthibitisha hoja zako maana nachokiona sasa ni kurusha maneno tu!

Kuna watu wanakufatilia na wanapenda uchangiaji wako wa utetezi wa Dini na mimi pia naupenda (Nikiri hivyo maana hakuna muislamu Jf ambaye anatetea Uislamu kwa facts kama wewe)
Lakini kwa sasa unachofanya hicho kitawafanya wanaokufatilia waanze kutia shaka na point yako ya kipindi cha mtume (S.a.W) hakukuwa na biblia...

hautakufa endapo utaprove kwamba haikuwepo
Hatuangalii watu wataonaje au watasemaje hili sio lengo letu. Bali tuna angalia ukweli wa mambo.

Swali langu liko wazi sana. Biblia kama ingekuwepo ingeelezewa sababu zama za Mtume walikuwepo watu wakitumia maandiko ya zamani kama vile kina Waraqah bin Naufal, na kwa elimu zao ndio akawa mwanaume wa kwanza kumkubali Mtume. Lakini hakuna sehemu iliyo nukuliwa ya kuwa hiyo ilikuwa Biblia sababu Biblia inajulikana.
 
ahaaa mkuu,kwahiyo ili ukubali ulitarajia uone jina Yesu likitajwa hapo moja kwa moja!!!

mkuu ni wasifu tunazungumzia sio majina.
Ninachotaka unipe connection ya Jina

Pele joez el gibbor abi ad sar shalom​

Au.
פֶּלֶא יוֹעֵץ אֵל גִּבּוֹר אֲבִיעַד שַׂר־שָׁלוֹם

ambalo ndo limetajwa kwenye Hilo fungu lako na Uhusiano na Yesu..
sawa.

mchungaji hata wewe unadai uliwahi kuwa,na machumu pia ni mchungaji,mmekariri maandiko sio kuelewa.
Machumi ni Nani? Ndo yule jamaa anayezurura Dar na Spika na Mic Pale mbezi anaitwa mashimo sio machumi..
Nikisema wewe umekariri kwa sababu huwezi kuyaelezea ntakuwa nakusea?
😆😆,mkuu,miller ni mtu tu kama wewe,anawezakuwa alikuwa mlevi,anavuta bangi,au alipata ajali ya kichwa.
usimpe nafasi kubwa kiasi hicho.
Wewe Ni dhehebu gani Maana Madhehebu Yote Yaliyotoka Roma na yaliyomeguka kutoka Eastern Orthodox,South na north ...Asilimia 80% wote walimsifu huyo Jamaa wa Baptist (William miller) mpaka wakaunda movements imaitwa Millerites..

Jamaa alikuwa Nabii akitabiri kurudi kwa yesu Kutatokea mwaka 1843 hakukutokea na akatabiri tena itakuwa 1844 watu wa dini zote wakawa na hofu lakini mwisho wa siku watu walisubiri Holaa ...

So ndo maana ikaitwa Great Dissapointment in Religion of all time (Unaweza ukagoogle pia siku hizi si ndo elimu zenu)
Na hapo ndo kulitokea makanisa ya kilokole na WASABATO Na Mashahidi wa yehova na makanisa mengine mengi...
 
Hatuangalii watu wataonaje au watasemaje hili sio lengo letu. Bali tuna angalia ukweli wa mambo.

Swali langu liko wazi sana. Biblia kama ingekuwepo ingeelezewa sababu zama za Mtume walikuwepo watu wakitumia maandiko ya zamani kama vile kina Waraqah bin Naufal, na kwa elimu zao ndio akawa mwanaume wa kwanza kumkubali Mtume. Lakini hakuna sehemu iliyo nukuliwa ya kuwa hiyo ilikuwa Biblia sababu Biblia inajulikana.
Mkuu Nini maana ya biblia nianze hapo kwanza..
Pengine ndyo kuna tatizo...
 
Ndg zangu wakati mwingine napata contradiction kuhusu nguvu na mamlaka ya Mungu hapa duniani ila tu niwaambie kweli Mungu mkuu mtakatifu na mwenye uwezo wa kila kitu yupo, pia ana kusudi kufanya yote haijalishi ya kheri au shari, yeye ndiye mwenye Siri kuu ya Dunia na ulimwengu.[emoji120][emoji1666]


Yeye ndiye Alfa na Omega
Yeye ndiye mwenye huruma
Yeye ndiye mwenye umiliki na mamlaka yote
Yeye ndiye hukiriwa na falme zote za kuzimu kwa uwezo wake wa ajabu[emoji120][emoji3578][emoji3578][emoji3578]


Mungu hachunguziki
Mungu nayemzungumzia hapa haeleweki
Mungu nayemsema hapa ndiye mwenye kusema iwe na ikawa, ndiye mwenye kukubali nakukataa kata kata

Mungu huyu ndiye mwenye kusudi kuu la kila jambo litokealo hapa Duniani


Pamoja na makosa yake shetani na falme zake zote za giza bado wanamkiri kwenye vinywa na nafsi zao kuye Yeye ndiye Bwana wa majeshi, yanayoendelea Duniani ni Ishara kuwa ndiye muweza wa yote, ndiye huwezi ukamtafakari ukammaliza, hachunguziki, haeleweki na haelezeki.

TABAKIA KUWA MUNGU TU. SIO MUNGU WAKUFIKIRIKA NI MUNGU ALIYE DHAHIRI NA KUNA SIKU WOTE TUTAPATA KUONA UKUU WAKE BILA KIFICHO. [emoji115]


Haelezeki naomba niishie hapa... [emoji870]


Ombi langu rudi kwake fanya toba, ni msikivu atakusikia atakusamehe atakupa bega lake uegemee, atakufuta machozi haijalishi ulimkosea kiasi gani, usione shida zinaendelea hapa dunia, mf vita, umasikini magonjwa ukasema sio Mungu wa huruma, hapana[emoji2960][emoji2958]


Huyu ndiye mwingi wa huruma. [emoji4]
 
Sijui.

Lakini haikuwepo kipindi cha Mtume.
We jamaa hauko serious kabisa😂 sasa hujui na unaambiwa unakataa. Inaonekana unacho unachojua.
Sasa nataka kujua nabishana na mtu wa kiwango gani cha fikra kwa kuona vile unaeleza unavyoelewa kuhusu hii aya ya kitabu chenu cha quran,
33:56.
Baada ya kuridhika na maelezo yako tutaendelea na mada yetu, nje na hapo nenda kalale tu maana hamna kitu kichwani humo.
 
Back
Top Bottom