Alaf pia Unatakiwa kujua kutifautisha kiswahili Cha Biblia na kiswahili Cha kibantuu
PILI
Sijakubali kwamba Biblia ina Contradiction kama ulivyo sema
Kusoma kwenu Biblia mkizitegemea akilizenu wenyewe ndo kuna sababisha kuona kwamba Kuna Contradiction
Tena nyie sio watu wa Kwanza kuona kwamba Biblia ina Contradiction nimesha kutolea mfano wa Yesu
Kilichotokea na wanafunzi wake
TATU
IMANI nimekuandikia ni kua na Hakika.....ni bayana ya mambo yasio onekana
Cja kuelewa una niambia msingi wa Imani ni kutokua na uhakika
Ukitaka dfn soma waebrania 12:1
NNE
Imani na Sayansi nimesha kuandikia ni vitu viwilitofauti
Mtu anaye ingiza DINI kwenye Sayansi hasa matibabu ataishia vibaya
Na hivyo hivyo mtu anaye changanya sayansi ya evidence na DINI hawezi kuelewa chochote
Jua kutifautisha kati ya DINI na Imani
Maana nakuona Bado unachanganya sayansi na IMANI
TANO
Kuponywa na Mungu Kuna depends na many factors kama sio mtu wa DINI huwezi kuelewa utaishia kubisha vitu usivyo jua tuuuu
Namaswali kama haya yanasibitisha ni kiasigani Biblia hujui kabisaaa
Miongoni mwa factors ni kiwango chaimani ya mtuuu binafsi
Kw mfano mtu Kama ww ukiombewa huwezi kuponaa ng'oooo
SITA
Ett una ulizaa
Mungu anatafutwa kwani hanekani?
Nimecheka sannaaa Yann ina onesha jinsi gani Biblia huijuiiii....
Unajua kumtafuta Mungu kwa Tochiii Auuu[emoji1][emoji1]
We bado sanaaa kwenye bible hujui ata jinsi ya kumtafuta Mungu alaf una sema Mungu. Hayupo
Yan mfano mtu hajui kufanya swali la Logarithms yupo darasa la saba alaf anakwambi swali Hilo halifanyikii
Mtakesha apooo
Sina maana kwamba weee ni darasa la saba mfanoo tuuuu rafiki
Mfano mwengine
Waislam Wana sema ss tuna kufuru tunaposema yesu ni mwana wa Mungu
Wana dai Mungu hazai
Wakati ss tunaposema mwana wa Mungu hatuu maanishi Mungu anapata Mimba na ana zaa
##SHIDA KUBWA WEWE HUJUI KUTOFAUTISHA MISAMIATI YA KIBIBLIA NA KUIWEKA KATIKA MAAANA ##
Anaposema kutafuta katika bible hamaanishi mtu kapoteaaa
Jua Kwanza MISAMIATI ya KIBIBLIA vizur friend
Jiulize kwann Kuna makanisa mengi kwasababu watu wenginhawajui kuisoma Biblia....
Me sio mtumiaji mzoefu Sana ndomana nimeshindwa kuweka picha zaaswali.yako
Natumaini umeelewa It
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app