Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Unataka kuniambia kipindi Mungu/Allah anakuumba alikuwa hajui kama utakuja kutenda dhambi???

Yaani amekuja kujua umetenda dhambi baada ya wewe kutenda???

Kwa hiyo Mungu/Allah Hana uwezo wa kujua kiumbe chake alichokiumba kama kitakuja kumsaliti au kutenda dhambi na kitaenda motoni, basi Mungu/Allah huyu anatofauti gani na binadamu wa kawaida?
Msicho kujua Mungu jamlazimishi Mtu kutenda jambo lolote lile

Lakin kwenye KUTOKA Kuna sehemu anasema Tazama nimekuekea mbeleyako njia mbili kulia na kushoto ...
Kwahiyo ni Kaz ya Mtu kuchagua jema au baya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sijaumbwa.

Hakuna binadamu aliye umbwa.

Binadamu wote tumezaliwa kupitia baba na mama zetu.

Binadamu na Dunia hatuna mwanzo wala mwisho.

Si lazima kila kilichopo kiwe kimeumbwa.

Kama ulazima huo upo, Hata Mungu huyo lazima awe ameumbwa na muumbaji wa Mungu awe na muumbaji wake hivyo hivyo mpaka waumbaji wasio na mwisho (Endless).
Kama binadamu hatuna mwanzo wala mwisho wanaokufa je?HUO SIO MWISHO?
 
Hapo sasa kuna nuance kubwa kati ya kupinga uwepo wa dini/imani na kusema dini/imani zinapotosha ukweli.

Ukisema unapinga uwepo wa dini na imani, ni kama unataka kupiga marufuku imani/dini.

Dini ukiipiga marufuku, ndiyo unaipaisha umuhimu wake. Watu watakuita mpinga dini uliyetabiriwa, watasema huo ni utabiri unatimia. Matokeo yake utazidisha wafuasi wa hiyo dini.

Dini inapingwa kwa kuonesha isivyo kwenye ukweli, kuachiwa iwe huru, lakini kuelimisha watu kuhusu ukweli. Elimu ndiyo itawaongoza watu kujua mapungufu ya dini.

Kimsingi, uhuru wa kuabudu kwa dini/imani yoyote ni upande mmoja wa shilingi ambayo kwa upande mwingine ina uhuru wa kutoamini. Hata kwenye katiba nyingi na Universal Declaration if Human Rights, uhuru wa kuabudu unajumuishwa na uhuru wa kutoabudu.

Kwa hivyo, ukiruhusu dini zipigwe marufuku, kwa sababu zinalemaza uwezo wa watu kufikiri, kimsingi utakuwa pia umefungua mlango wa watu wasioamini kulazimishwa waamini, uhuru wa kuamini na kutoamini ni uhuru mmoja huo huo, kifalsafa, huwezi ku promote kuzipiga marufuku dini bila ya wewe usiyeamini kuhatarisha uhuru wako wa kutoamini dini.

Kwa falsafa hii, mimi napenda sana watu wawe na uhuru wa kuamini mpaka wao wenyewe wagundue kuwa imani hizi ni kamba tu. Na hata wasipogundua, ni sawa tu, ni haki zao za kikatiba na za kibinadamu.

Sitaki kumuondoa mtu kwenye imani yake kwa lazima, kwa sababu tu mimi nafikiri dini zinalemaza watu, au hata kama kweli dini zinalemaza watu, wakiamua kulemaa, ni haki yao.

After all, watu wana haki ya kuchagua maisha ya kulemaa akili, kama hicho ndicho kitu muhimu kwao.

Unajua kuwa kuna watu wanapenda uongo mtamu, kuliko ukweli mchungu.

Sasa, watu kama hao, wakichagua kuamini uongo mtamu wa dini, wewe ukawalazimisha waondoke kwenye uongo mtamu ukawapa ukweli mchungu kinyume na wanavyotaka wao, utakuwa umewakosea, umewaingikia kwenye uhuru wao.
Dini ina upande mmoja wa kulazimisha kwamba ,amini mungu yupo na anatenda unless jehanamu inakuhusu. By creating this fear people become psychological submissive and ignore their intelligence. Kuhusu elimu ya kumwonyesha mtu kwamba hizo ni kamba, e.g bible contradication hiyo elimu haiwezi kumwingia cause mtu huyo anakuwa tayari ni mateka wa akili na hisia kwaio amepoteza concrete thinking kwenye eneo hilo.kuhusu kukatazwa kwamba itapaisha imuhimu sioni kwa sababu kuna mambo mengi yamekatazwa katika baadhi ya maeneo dunia hii na yamefanikiwa kwa asilimia kubwa, mfano madawa ya kulevya, pombe n. K, why not religion?
 
Hapo sasa kuna nuance kubwa kati ya kupinga uwepo wa dini/imani na kusema dini/imani zinapotosha ukweli.

Ukisema unapinga uwepo wa dini na imani, ni kama unataka kupiga marufuku imani/dini.

Dini ukiipiga marufuku, ndiyo unaipaisha umuhimu wake. Watu watakuita mpinga dini uliyetabiriwa, watasema huo ni utabiri unatimia. Matokeo yake utazidisha wafuasi wa hiyo dini.

Dini inapingwa kwa kuonesha isivyo kwenye ukweli, kuachiwa iwe huru, lakini kuelimisha watu kuhusu ukweli. Elimu ndiyo itawaongoza watu kujua mapungufu ya dini.

Kimsingi, uhuru wa kuabudu kwa dini/imani yoyote ni upande mmoja wa shilingi ambayo kwa upande mwingine ina uhuru wa kutoamini. Hata kwenye katiba nyingi na Universal Declaration if Human Rights, uhuru wa kuabudu unajumuishwa na uhuru wa kutoabudu.

Kwa hivyo, ukiruhusu dini zipigwe marufuku, kwa sababu zinalemaza uwezo wa watu kufikiri, kimsingi utakuwa pia umefungua mlango wa watu wasioamini kulazimishwa waamini, uhuru wa kuamini na kutoamini ni uhuru mmoja huo huo, kifalsafa, huwezi ku promote kuzipiga marufuku dini bila ya wewe usiyeamini kuhatarisha uhuru wako wa kutoamini dini.

Kwa falsafa hii, mimi napenda sana watu wawe na uhuru wa kuamini mpaka wao wenyewe wagundue kuwa imani hizi ni kamba tu. Na hata wasipogundua, ni sawa tu, ni haki zao za kikatiba na za kibinadamu.

Sitaki kumuondoa mtu kwenye imani yake kwa lazima, kwa sababu tu mimi nafikiri dini zinalemaza watu, au hata kama kweli dini zinalemaza watu, wakiamua kulemaa, ni haki yao.

After all, watu wana haki ya kuchagua maisha ya kulemaa akili, kama hicho ndicho kitu muhimu kwao.

Unajua kuwa kuna watu wanapenda uongo mtamu, kuliko ukweli mchungu.

Sasa, watu kama hao, wakichagua kuamini uongo mtamu wa dini, wewe ukawalazimisha waondoke kwenye uongo mtamu ukawapa ukweli mchungu kinyume na wanavyotaka wao, utakuwa umewakosea, umewaingikia kwenye uhuru wao.
Kwanini tuheshimu uhuru unaodidimiza maendeleo ya watu? Kwanini iwe kwenye dini tu ndo kuwe kunakuingilia uhuru na si maeneo mengine?
 
Roho ni nini?

Ulitambuaje una roho?
Kumbe hata maana ya Roho ujui
Alaf una bishaa tuuu

Ilo swali la PILI Sasa

Ndo nazidi kujua kua unabisha usivyo vijua unavisikia tuuu

Yani Mtu Ana kwambia asali tamu
We unataka mtu akuelezee utamu wa asali una pewa ulambe hautakii

Haya zamu Yangu Sasa

Naomba uniaminishe kwanini Mungu hayupo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe hata maana ya Roho ujui
Alaf una bishaa tuuu

Ilo swali la PILI Sasa

Ndo nazidi kujua kua unabisha usivyo vijua unavisikia tuuu

Yani Mtu Ana kwambia asali tamu
We unataka mtu akuelezee utamu wa asali una pewa ulambe hautakii

Haya zamu Yangu Sasa

Naomba uniaminishe kwanini Mungu hayupo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hujibu unachoulizwa Unajibu usivyo ulizwa.

Naku uliza hivi, Roho ni nini?

Thibitisha unayo roho.

Mungu hayupo kwa sababu hajawahi kuwepo na mpaka sasa hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Thibitisha kama yupo.

Au mwambie Mungu huyo aje hapa ajidhihirishe yupo.
 
We
MASWALI MAZURI, NAOMBA NIJARIBU KUJIBU.
Intro
Biblia sio kitabu, ni muunganiko wa vitabu. Havijaandikwa na Mungu personally bali vimeandakwa na wanadamu kwa maagizo na msaa wa Roho wa Mungu.
Kama kuna makosa yeyote ni makosa ya kiuandishi ya kibinadamu sio ya kimaana.
1. Kitabu cha mwanzo hakijaandikwa kwa kufauata mfululizo wa mfuatano wa matukio.
Kiliandikwa kwa mfumo wa flashback.
Ndio maana tukio la kuumbwa mwanga limezungumzima mara mbili, mara ya pili ameongezea kile ambacho alikuwa hajaandika.
Vile vile na swala la kuubwa kwa mimea limeandikwa kwa flashback, ndio maana imekuchanganya.
2. Mfumo wa Mungu ni kufanya kazi na wanadamu, ameumba wanadamu wawe washilika wake.
Sio kwamba Mungu hawezi kufanya vyote bali kuna sehemu anamuachia mwanadamu naye awe mshiliki katika kazi. Aliwaagiza wana Israel wapake damu kwenye milango sio kwa sababu hawezi kuona Bali nao washiliki katika ukombozi wao na alituma malaika kufanya hiyo kazi ya kupiga wamsri ambao pia ni viumbe.
Pia kupaka Damu ilikuwa ni unabii wa namna Yesu atakuja kumwaga damu yake kwa ajili ya ukombozi wa mwanadamu miaka maelfu baadae.
3. Mungu hakumuambia nabii Hosea azini bali alimuagiza aende kuoa mwanamke ambaye hatakuwa muaminifu kwake, ili ajifunze nini maana ya kusalitiwa na awafikishie ujumbe waisrael kwa uzito wake ( namna waisrael walikuwa wamemsaliti Mungu wao na kugeukia miungu mingine ni kama mwanamke aliyeolewa kumsaliti mume wake na kuanza kutembea na wanaume wengine).
NB. Mungu si kama mwanadamu bali Mungu alimuumba mwanadamu kwa mfano wake.
Hisia za binadamu za upendo, hasira, huzuni, huruma zimetokana naye kuwa mfano wa Mungu.
wewe unajib kwa matakwa ya nafsi yako, watu wanataka majibu ya hoja with evidence from the book sio maneno kutoka mdomon mwako.
Asante.
 
Allah huyo anauliza, kwani yeye hajui?
كالابل ران عال قلوبهم ماكانوا يكسبون

AKOME. Bali yamejenga kutu juu ya nyoyo zao Yale mambo waliyokuwa wanayafanya

##Moyo wako unakutu hats ueleweshe vipi Hugo elewa halafu Qur'an haitafsiriwi kiholela namnaa hiyo
 
Naku uliza hivi 👇

Allah huyo Hakujua kwamba duniani kuna watu wa lugha mbalimbali ashushe Quran hiyo kwa watu wote duniani wa lugha zote?

Kwani Duniani lugha ni kiarabu tu?

Allah huyo, Hakujua kwamba kuna wajerumani, waingereza, waswahili, wafaransa, wafilipino, wahindi n.k

Yani Allah huyo Aumbe watu wa lugha tofauti tofauti kisha ashushe neno lake kwa lugha moja tu?

Hivi huyo Allah ana jielewa kweli?
Swali lako wala halina maana
 
Mimi tangu niamze kusoma Biblia sehemu pekee ambayo Nimeona Mungu kajionesha sura yake ni KUTOKA 33:11

Wengine wote walikua wanasikia sauti ya MUNGU ila sio kumuona macho kwa macho

Sasa Mwenzangu ulie Soma bible ikasomeka niambie niwapi kati ya hao ulio wataja alimuona Mungu uso kwa uso

Kumbuka lakin yakobo alie mshika alikua ni malaika

Nikisema Biblia hamsomii mnaniona me mbaya

Aya nionyeshe

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yakobo anaambiwa umepiga na mungu na umeshinda, we unasemaje ni malaika? Musa alipanda mlimani pamoja na haruni na wazee 70 wakamuona.soma
KUTOKA 24:9-12
 
Kama binadamu hatuna mwanzo wala mwisho wanaokufa je?HUO SIO MWISHO?
Si mwisho wa kwamba Binadamu wengine hawa endelei kuwepo.

Kifo ni mwisho wa binadamu mmoja au kiumbe mmoja kuto endelea kuwepo.

Kwani mamilioni ya binadamu wangapi wamekufa lakini hadi leo idadi ya binadamu inazidi kuongezeka kwa kuzaliana?
 
كالابل ران عال قلوبهم ماكانوا يكسبون

AKOME. Bali yamejenga kutu juu ya nyoyo zao Yale mambo waliyokuwa wanayafanya

##Moyo wako unakutu hats ueleweshe vipi Hugo elewa halafu Qur'an haitafsiriwi kiholela namnaa hiyo
Another petty bloated entitled brat throwing tantrums.

Huna ulicho jibu zaidi ya kukopi na kupesti pumba zenu za Quran mlizo pumbazwa na kuaminishwa.
 
Dini ina upande mmoja wa kulazimisha kwamba ,amini mungu yupo na anatenda unless jehanamu inakuhusu. By creating this fear people become psychological submissive and ignore their intelligence. Kuhusu elimu ya kumwonyesha mtu kwamba hizo ni kamba, e.g bible contradication hiyo elimu haiwezi kumwingia cause mtu huyo anakuwa tayari ni mateka wa akili na hisia kwaio amepoteza concrete thinking kwenye eneo hilo.kuhusu kukatazwa kwamba itapaisha imuhimu sioni kwa sababu kuna mambo mengi yamekatazwa katika baadhi ya maeneo dunia hii na yamefanikiwa kwa asilimia kubwa, mfano madawa ya kulevya, pombe n. K, why not religion?
Shida yenu nyie watu nimoja

Inaonesha Biblia hamja soma kabisa
Kama mmesoma Basi juu juu tuuu na kwakutumia akilizenu huku mkiwa na nia yakuikosoa Biblia tuu

Kitu ulicho kiongea Ukikutana na Mkristo jina Ataamini atasema alaf kweli(Kuna mwalimu wetu ana penda Sana hiyo kauli yakoo)

Lakin huyo mwalim wa chuo hata Biblia hajawai kusoma
Na shida ya wakristo wengi saiv hawana mda wa kusoma Biblia ni mitandao tuu

Ila kitu msicho kujua ww na wengine mnao tumiaa hiyo. Statement ya kuogopa jehanam

Kuamini kwamba Mungu yupo tuu. Hakumaanishi kwamba mtu ataepukana na Jehanam

Kutenda MIUJIZA hakumaanishi kwamba mtuu ata epuka jehanam

Biblia ina sema sio kila aniitaye Bwana Bwana Ataurithi ufalme wa Mungu

Nahisi umeenielewa Tunapoongelea swala la Mungu yupo jehanam haiusikii

Kwakua ata anaye amini Mungu yupo anaweza kwenda jehanam

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Shida yenu nyie watu nimoja

Inaonesha Biblia hamja soma kabisa
Kama mmesoma Basi juu juu tuuu na kwakutumia akilizenu huku mkiwa na nia yakuikosoa Biblia tuu

Kitu ulicho kiongea Ukikutana na Mkristo jina Ataamini atasema alaf kweli(Kuna mwalimu wetu ana penda Sana hiyo kauli yakoo)

Lakin huyo mwalim wa chuo hata Biblia hajawai kusoma
Na shida ya wakristo wengi saiv hawana mda wa kusoma Biblia ni mitandao tuu

Ila kitu msicho kujua ww na wengine mnao tumiaa hiyo. Statement ya kuogopa jehanam

Kuamini kwamba Mungu yupo tuu. Hakumaanishi kwamba mtu ataepukana na Jehanam

Kutenda MIUJIZA hakumaanishi kwamba mtuu ata epuka jehanam

Biblia ina sema sio kila aniitaye Bwana Bwana Ataurithi ufalme wa Mungu

Nahisi umeenielewa Tunapoongelea swala la Mungu yupo jehanam haiusikii

Kwakua ata anaye amini Mungu yupo anaweza kwenda jehanam

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nimesoma kinagaubaga na kuichambua bible from genesis to revelation for many years,siwezipinga ambacho sikijui. Na kama mtu anaeamini anaenda motoni, kwaio wanaoenda mbinguni ni watu wa aina gani ili hali yesu mwenyewe alisisitiza imani hata kwa wanafunzi wake.
 
Hakuna maswali yasiyo hitaji majibu.

Allah huyo, Alishindwaje kuumba binadamu watakao mtii na kufuata neno lake siku zote?

Yeye si muweza wa yote?

Sasa kwa nini, Ashindwe kuumba Binadamu wenye kujua neno lake?
Surat Al Mulk (67)
تبر ك الذي بيده الملك وهو علي كل شيء قدير
(1) Ametukuka ambaye uko mkononi mwake ufalme na yeye juu ya kila kitu ni muweza

الذي خلق الموت والحيوة ليبلوكن أيكم أحسن عملا وهو العزيز الغفور
(2)Ambae ameumba mauti na uhai ili akujaribuni; ni yupi kati yenu mzuri zaidi wa vitendo. Na yeye in mwenye kushinda mwingi was kusamehe
 
Back
Top Bottom