Mikasa/vituko vya lodge

Nilikuwa na kidem saint Agnec pale jimbon karibu na kwiro boys,,,,! Enzi hizo, kdg kaache shule ety tempo imeisha kanataka tuondoke wote [emoji2][emoji1][emoji1][emoji2]!

Tulikuwa tunaonana siku za j2 kanisan kanatoroka, sista wa zam alikuwa anawalinda balaa [emoji2][emoji1][emoji2]
 
Nakumbuka naenda Ulanga,2014,kufika Kilombero kivuko kimesombwa na maji[emoji23][emoji23]ile siku siji kuisahau. Kuvuka tukafanikiwa kuvuka,kufika upande wa pili ziko Noah ndo zinapeleka watu Ulanga na Mahenge,pale ndipo nliposhuhudia kile nlichokuwa nakisikia kuwa Noah imepata ajali watu 15 wamefariki. Ilikuwa safari kafiri. Nimefika Ulanga,muhudumu wa Guest hajui nini maana ya risiti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],akaniuliza au ni kile kitabu cha njano? Nkamwambia kalete nikione,kuleta nkamwambia hiki ndicho. Nkajiandika dau langu pale nkaondoka.
 
Umenikumbusha Mbali sana aiseee!!! Kipindi hiko niko kabichiiiii ndiokwanza nimemaliza olevo nilienda kumsalimia sista angu alikua anafanya kazi hapo NMB bank ile ya stand pale aisehh mahenge nilinenepaga balaaa!
Wachimba madini walikua wananitoleaje mimacho πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ mi ndiokwanzaaa hata sikuwa nahili wala lile kuhusu mambo ya kikubwa😁!
 
Hahahaaa... sasa mimi nilipata best kutoka kasita seminary nae alikua na kiboy kwiro! kwahio binti wakiruhusiwa out kidogo anajifanya anakuja kunisalimiaie rafiki yake huku wale wa kwiro nao wanakuja make kwiro walikua huru sana! So makutano ilikua kwa sista hapo huku sister nae kaenda kwa Mume wake Moro town basi ilikua vurugumechi!!😁😁!
Ujanaa jamani kushikana shikana mikono kukumbatiwa ile kwa woga mpaka muda wao wa Kurudi shule unafika lol!
 
Best Ungefungwa wewe lol ulimdatisha denti wawatu! 😁😁😁 Hako ka Dem kalikua hakaitwi Mage kweiπŸ˜‚?? Nilikua na best mwingine alikua anaitwa Magreth ye alikua anadoma st Agnes sema yeye alikua mtoto wa askari kwao walikua wanakaa kotas za maaskari ukute ni huyo😁😁😁😁!!!πŸ˜‚
 
Duhhhhhhh!!
hilo jina " London" limenikumbusha sehemu fulani hivi hahaa!
 
Sipati picha wachimba madini !!! Na jinsi ulivyo na Shep [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji41]
 
Dah long memory dear,! Thanks a lot!

Kasita seminary, shule ya regina mund VP ? Nlikuwa na kadem pale , mnaishia kuongea na kuchati tuuu hakuna kupata mtelezo, walikuwa wanabanwa balaaaa ,[emoji2][emoji1]
 
Sipati picha wachimba madini !!! Na jinsi ulivyo na Shep [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji41]
Weee best wengi wao wameunguaa!! Wanazuzua watu na pesa zao πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!!
Afu kipindi hiko nilikua hata sielewi vizuri Hayo mambo kizee kinakutokea hata hutilii maanani lol!
 
Dah long memory dear,! Thanks a lot!

Kasita seminary, shule ya regina mund VP ? Nlikuwa na kadem pale , mnaishia kuongea na kuchati tuuu hakuna kupata mtelezo, walikuwa wanabanwa balaaaa ,[emoji2][emoji1]
Ndio mapenzi ya kishuleshule enzi hizooik sio Vijana wa sikuhizi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!
 
Khaaaaaa[emoji16]

Ni maporini sana?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mlipata usingizi kweli??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli hii ndo Tanzania
 
Dah kuna gesti nililala Masumbwe mbele kidogo ya kahama hazina cilling board alafu kuta fupi jamaa chumba cha pili aliopoa limdada lina makalio alafujamaa kama njiti mungu sikulala jamaa alikuwa anapiga mzigo dada analia kwanguvu mpaka mashine inasimama niliteseka sana.Alisababisha nimtamani huyo dada asubuhi
 
Na wewe ukaamsha nae asubuh[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…