Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Igunga 2000s
Nilipata lodge moja mpya mpya hivi. Siku ya pili nikampa mistari muhudumu akanielewa ila akaniambia nihame lodge ili aje kulala kwa uhuru. Nikahama ila jioni nikaenda pale kwake kupata msosi.

Sasa pale alikaa na jamaa pembeni kila akihudumia anarudi pale. Nimamtext vipi akajibu jamaa anamsumbua sana na pia ni polisi .

Usiku akaja lodge kwangu nikala mzigo tukalala. Usiku saa 6 nasikia sauti kwenye korido kumbe askari wanakagua wageni. Demu akanitonya amesikia sauti ya yule jamaa anayemsumbua kwa hiyo nijiaandae kwa lolote. Ikafika zamu yangu jamaa wakakomaa sikuandika kwenye daftari halafu niliyelala naye aamke naye ahojiwe....Hakuna namna ikabidi aamke. Yule askari akamtambua yule demu, akaweka ngumu nikalale kituoni kwa kosa la kutoandika kwenye daftari la wageni. Wakanitoa nje demu akabaki ndani.

Nikaona nikileta masihara nitalala polisi.Nilikuwa nafahamiana na DC. Usiku ule nikampigia akaongea na askari wakaniacha. Yule askari akaniweka pembeni akaniuliza kama namkumbuka? Nikamjibu ndio. Akaniambia hongera,yaani yule demu nimemtongoza wiki nzima simpati leo wewe unakula kizembe tu.
Igunga wanapenda sana kukagua. Kwa mara ya kwanza kulala Igunga January 2020 walikuja kunikagua. Sikuwa na dem but walikomaa wakiamini na demu mpaka wakaingia ndani wakakuta hakuna kitu. Wakaomba kitambulisho nikawapa cha kazi hapo hapo wakaanza kuniita Boss.
 
Juzi tumesafiri watu sita kwenda huko Singida ndani ndani kuna sehemu inaitwa Londoni. Imefika muda wa kulaza ubavu tukaona tutafute guest house tutulie, ila ndio tukakutana na kituko hiki. Na kiukweli hatukuwa na namna ikabidi tulipe elfu 8 kwa kila chumba.

NB: Na kimasihara ikatokea na nikala kama kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2495618View attachment 2495620View attachment 2495622View attachment 2495623View attachment 2495624View attachment 2495625
[emoji1787][emoji1787]TUKISEMA SINGIDA NI KAMA SOMALIA
 
Juzi tumesafiri watu sita kwenda huko Singida ndani ndani kuna sehemu inaitwa Londoni. Imefika muda wa kulaza ubavu tukaona tutafute guest house tutulie, ila ndio tukakutana na kituko hiki. Na kiukweli hatukuwa na namna ikabidi tulipe elfu 8 kwa kila chumba.

NB: Na kimasihara ikatokea na nikala kama kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2495618View attachment 2495620View attachment 2495622View attachment 2495623View attachment 2495624View attachment 2495625
Umenikumbusha Mtera pale. Nilienda kufanya issue flani pale nililala ki guesthouse kidogo kama hicho japo kile kilikuwa kizuri kidogo ukilinganisha na hiki cha kwako.
Kimasihara kama kawa nilikamatia mgogo mmoja hivi.
 
Umenikumbusha Mtera pale. Nilienda kufanya issue flani pale nililala ki guesthouse kidogo kama hicho japo kile kilikuwa kizuri kidogo ukilinganisha na hiki cha kwako.
Kimasihara kama kawa nilikamatia mgogo mmoja hivi.
Haina kuremba mkuu, ukapata na la kuchangia kwa rikiboy
 
Juzi tumesafiri watu sita kwenda huko Singida ndani ndani kuna sehemu inaitwa Londoni. Imefika muda wa kulaza ubavu tukaona tutafute guest house tutulie, ila ndio tukakutana na kituko hiki. Na kiukweli hatukuwa na namna ikabidi tulipe elfu 8 kwa kila chumba.

NB: Na kimasihara ikatokea na nikala kama kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2495618View attachment 2495620View attachment 2495622View attachment 2495623View attachment 2495624View attachment 2495625
[emoji23][emoji23][emoji23]Niliwahi kwenda huko Londoni...nlilala hapo hapo ulipolala...ilifika saa 8 usiku Fisi kaanza kulia kwa Dirishani nlipolala! Asee asbh nlisepa chaap bila kuaga[emoji2772]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Niliwahi kwenda huko Londoni...nlilala hapo hapo ulipolala...asee ilifika saa 8 usiku Fisi kaanza kulia kwa Dirishani nlipolala! Asee asbh nlisepa chaap bila kuaga[emoji2772]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kule chui na Simba ni kawaida tu mkuu, bora Fisi.
 
Wanakera sana nawazoom tu, ujinga ujinga tu umewajaa, sisi tunataka vituki vya lodge wao wanaleta habari za mahenge sijui agness utumbo mtupu. Wapelekane PM huko kama hawana shuhuda wutulie. Wanaboa

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Huu uzi naupenda Sana ni mwendo wa kupeana makavu laivu,tokea mwanzo ilianzaga habari ya boda vs walimu, ikaja ya kushobokea mademu kwenye uzi,ikaja ya makulumilla Arusha hahahahaha,,,_______
 
Juzi tumesafiri watu sita kwenda huko Singida ndani ndani kuna sehemu inaitwa Londoni. Imefika muda wa kulaza ubavu tukaona tutafute guest house tutulie, ila ndio tukakutana na kituko hiki. Na kiukweli hatukuwa na namna ikabidi tulipe elfu 8 kwa kila chumba.

NB: Na kimasihara ikatokea na nikala kama kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2495618View attachment 2495620View attachment 2495622View attachment 2495623View attachment 2495624View attachment 2495625
ningelala kwenye gari tu. Chumba kama kaburi 😀 😀 😀
 
Miaka ya 2000 nikiwa zangu Morogoro, nilienda kulala kigest flani kipo ndani ndani mtaa wa mafisa. Nakumbuka hiyo siku nipo na bi mdada ndani askari wanapita kukagua maana kuna uharifu ulitokeaga, huku na kule kilichokuja kunisaidia niliandika taarifa za ukweli. Walioandika taarifa za uongo na ambao hawajaandika kabisa walisombwa na kutembezwa mtaani mchana kweupe ilikuwa noma sana.
 
Miaka ya 2000 nikiwa zangu Morogoro, nilienda kulala kigest flani kipo ndani ndani mtaa wa mafisa. Nakumbuka hiyo siku nipo na bi mdada ndani askari wanapita kukagua maana kuna uharifu ulitokeaga, huku na kule kilichokuja kunisaidia niliandika taarifa za ukweli. Walioandika taarifa za uongo na ambao hawajaandika kabisa walisombwa na kutembezwa mtaani mchana kweupe ilikuwa noma sana.
Polisi konyo[emoji2]
 
Back
Top Bottom