Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Kama ndio huo basi mi ni mteja wao mkubwa maana natoka town uhindini naenda kula Uyole na kurudi home, hii likizo yote ndipo ninapokula pale kwenye coaster zinazoenda Dar upande wa kushoto ukitokea town mbele ya bank ya NMB. Asante kwa huu uzi.....
Pale makasini au?
 
Asante mkuu
 
Hivi watu mmeumbwaje yaani utuadithie mwenyewe story yako sijui haafu utuombe pesa eeehh wewe ni mkubavu nini.......Fanya kazi Acha ujinga
 
Utakwama ww ambaye hutaki kuendana na utandawaz
Mim siwezi kwama maana na dili na Information technology, nasemea watu wengine maana ninafahamu sana juu ya watu na new technology. Nadhani umeelewa vyema au niongeze sauti?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DAAAAAAAAMN...!!
we jamaa ni kama bruno fernandes asee[emoji23][emoji23][emoji23]
Ah ah ah ah dah,
Iv kuna mtu kaweza kusoma hii assist bila kukatisha kwa kucheka [emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huyo Jamaa akili zake anazijua mwenyewe
 
Ila we mdada bhana😆😆😆
 
Wakuu huyu jamaa kasitisha kuposti humu inasemakana kuna mtu anakop na kupeleka kwenye magroup ya wasap

Hivyo kaamua asitishe pia inasemekana kakutana na yule jamaa wa gamboshi hivyo wanataka watoe kitabu kuhusu hii simulizi
Kasitisha huku au kule telegram??
Maana huku tumeshazoea alisitisha mna tu[emoji23][emoji23]
 
Hapa naona ameshakula ban labda aje kujipambanua na hizo id zake nyingine
Mbona mnamuandama Sana Kwan hicho kisa ni chenu si chake bhana, Kwan mnamsaidia kuandika au bando mtu ameamua kuacha bx achaneni naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…