Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Nani hapa Tanzania asiyewataka waarabu? Matajiri wote wakubwa Tanzania hii ni wahindi na waarabu!Ujinga mtupu, hapo lazima tupingane sana. Waarabu Tanzania hawatakiwi kabisa maana ni washenzi sana, wali wahasi babu zetu. Nyie wenyewe ukienda uarabuni ni nyani tu hata kama uvae hizo nguo zao utaendelea kubaki nyani na mtumwa. Ni sawa na hilo li balozi linalosisitiza utumwa kwa watanzania.
Dah!Kwa hiyo mkuu unasema kwamba kunakuogesha vibibi vya kizungu na Papuchi zao unasafi kabisa!?[emoji848][emoji848][emoji848]najua ninachoongea, hizo ndio kazi wanaofanya waafrika, tena wanaoishi legally, kama huna makaratasi hata hizo huzipati, mgeni huwezi kupata kazi ya maana ulaya kirahisi, wako lakini ni wachache sana, wengi wao wanaishia kuogesha vibibi vya kizungu na kuosha masufuria migahawani
unakuta mtu ana elezea kitu kiushabiki experience nacho hana afadhali umemwambia ukweli Uarabuni panachafuliwa sana sababu tu ya Uislam lakini hutasikia wakiongelea wanaokwenda Marekani na Wingereza wengine wanalala chini ya madaraja.Acha uongo, nimeishi Oman, usijidanganye, kwa taarifa yako mama yangu mkubwa ameolewa na mwarabu wa Oman, nina ndugu zangu ni waarabu, nimeishi nao nyumba moja,kwanza waarabu wanazaliana sana, na idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume, na waarabu wanawahi kuoa mapema sana, asilimia kubwa wengi wanaoa btn 16 and 20s years old, tena wakishaoa wanaendelea kuishi kwa wazazi wao, nawajua vizuri, unaposema wanawake hakuna unamaanianisha nini? sema malaya hakuna hapo nitakuelewa, kuna watanzania zaidi ya 12,000 wa kike wanaofanya kazi huko, niambie kati ya hao ni wangapi wamerushwa gorofani? ingawa ni kweli kuna wachache wenye tabia mbaya wanaweza kutembea na waajiri wao, na hapa tanzania wapo
na wewe Nyani wa Kigogo uondoke nchi hii hapa sio kwakoNani hapa Tanzania asiyewataka waarabu? Matajiri wote wakubwa Tanzania hii ni wahindi na waarabu!
Yaani wakupe wewe mbongo professional jobs waache wananchi waosio uarabuni tu, hata ulaya watanzania wanafanya kazi za ovyo ovyo kubeba maboksi, kuogesha vibibi vya kizungu, kuosha barsbara, kufanya usafi migahawani n.k. kupata kazi proffessional nje ni ngumu
Tunaenda kupindua meza, tunataka wakwere na wazaramo wawe matajiri.Nani hapa Tanzania asiyewataka waarabu? Matajiri wote wakubwa Tanzania hii ni wahindi na waarabu!
Hapo watajichanganya mpk walosoma. Kazi mbaya sio mchezo mwema. Kuna watu wamesoma na washasota kutafuta kazi miaka. Utamwambia nini!!!?😂😂😂saivi ni uarabuni tu lol
Haya kaweni mahausigel si hamkusoma?
Wengi wataenda wazanziberi🤣🤣
Tafuta hela uingie singapore shahara ndefuNatamani kujilipua, seriously kabisa
Nafkiri hii ndio inayosababisha chuki kwa waswahili. Kwa nini mwarabu ana hela kumshinda yeye.Nani hapa Tanzania asiyewataka waarabu? Matajiri wote wakubwa Tanzania hii ni wahindi na waarabu!
Hela ya kwenda singapore ndo nikaitafute huko uarabuniTafuta hela uingie singapore shahara ndefu
Aaah itafutie humu jeifuuHela ya kwenda singapore ndo nikaitafute huko uarabuni
Nani huyo anagawa mapesa?Aaah itafutie humu jeifuu
Serikali inatia aibu wakati mwingine.
Imejikita kuwasaidia madada wa Tanzania kuwa housegirls huko Uarabuni badala ya kuwasaidia diaspora ambao wanafanya kazi za maana na wenye uwezo wa kusaidia nchi kama sheria zikiwekwa sawa. Hatutaweza kuendelea kwa $300 kwa mwezi!
Na unyanyasaji na ubaguzi kwa ndugu zetu huko uarabuni badala yake tusaidie wasomi na wafanyabiashara wetu.
Nchi nyingine wanapeleka Manesi na wanalipwa $70,00-$100,000 kwa mwaka na madaktari wanaingiza zaidi ya $100,000 kwa mwaka na wasomi wengine mmablimbali mfano India inapeleka kwa mikataba wataalamu wa computer engineering. Sisi tunaenda ku sign mikataba ya mahaouse girl kwa $300 kwa mwezi? Kwanini kama ni marafiki zetu wasichukuwe wataalamu wengine?
Wito ni kwa serikali kuweka sheria rafiki kwa diaspora ili waweze kuchangia kama diaspora wengine mfano Kenya badala ya kujishusha na kutegemea wafanyakazi wa ndani!
Malinda kutatuliwa inahusika iwe kwa matajiri au maskini, walioenda huko wametujuzaMadalali wanatumia asilimia kubwa.
Mfano Nchi kama UAE ina Watu milioni 10 lakini raia kabisa wa UAE ni kama milioni 1 then kuna Expat wenye hela wachache, unapoenda kuajiriwa Nchi kama hizo una target hao raia na watu wenye hela, na huwezi kuajiriwa nao kama haupo official.
Hawa wanaoingia kwa Njia za Panya wanaishia kwa masikini wenzao wanaanza kuja kulalamika huku.
Yaani wakupe wewe mbongo professional jobs waache wananchi wao
Ulaya qna nchi nyingine unemployment rate iko juu pia.
Na shule za kata wamejengewa (sisi) Hakuna mtoto wa kiongozi anyesoma shule za kata.Viongozi wetu ni waoga sana wakiona tunataka kufanikiwa kwa maana tukifanikiwa itakua ngumu kututawala.
Ndio maana kazi nzuri zote wanawapa watoto na ndugu zao.
Sisi ndio kama hivi wanatutafutia uyaya.