Inatokeaga sana hiyo, naamini hawa wa betting cku zote hawapati hasara..Wadau,yani hi ajax imepewa point chache af imepigwa
Bado kama wiki mbili hivii hatutasubiri sana...Mi toka nipigwe mechi ya argentina na swis sina hamu tena nasubiri ligi.
Hahahahaha! Hamna cha ulibigeti zaidi ya kufilisika. Kwa mpesa bofya *149*19# utakuwa unachagua option unazotaka.
ukipiga shilling ngapi unaacha?
Hahahahaha! Hamna cha ulibigeti zaidi ya kufilisika. Kwa mpesa bofya *149*19# utakuwa unachagua option unazotaka.
meridian,ladbrokers na Iplay8casino zinachezwaje jamani
meridian,ladbrokers na Iplay8casino zinachezwaje jamani
Meridian online unacheza google ''meridian online tanzania'' utapata maelezo ya ku-sign up yaani kufungua acount ya meridian.
Ladbrokes nomaaaa wako vizuri mpunga fasta hapohapo
vp kuhusu odd je wako juu?
Wazee wenzangu tunatupa karata wapi leo au tunapumzika...?
Mimi nimeweka sheria kwa siku sitabet zaidi ya 2000
Mimi nimeweka sheria kwa siku sitabet zaidi ya 2000
Mkuu Fanya kwa siku 5000,
Mkuu Fanya kwa siku 5000,
Nimeanza jilaumu kwanini sikuweka hela nyingi jana ili nile nyingi