Mnaweza mkaunganisha na mechi za kesho wakuu kuna Bayern munich, PSG
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Meridian unalusanya timu 12 unaweka mia inakuja laki5 but bado unaliwa! Nokia83 nakopi mkeka wako kama ulivyo,@asram rahim_baharia rockcity nnative,nimeanza rasmi ma ceo
Nina mkeka wa timu kubwa kuanzia jana mpk j3 zote zikishinda nakula laki 5 nimeweka buku 3
Mkuu hebu uanike wote mi niukopi ka ulivyo
Kweli ebu tushushie huo mkeka, nimeshachoka kuumiza kichwa.Mkuu hebu uanike wote mi niukopi ka ulivyo
Nimeona ktk usajili pale wanahitaj taarifa za kadi.. Haiwezi athiri usalama wa akaunti yangu kweli?
Jamani tottenham keshachezea huko tayari
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
mi leo nimesikilzia tu, nasubiria kesho game zangu za france league 2, ligi inayofaa kwa 2+
Wadau kuna tabia moja inaendelea hapa sio nzuri, kwanini watu hawaaniki mikeka yao hapa ili tucopy?? Mnaweka mkishaumizwa hhahahahaha
Hahahaha nadhani wewe ndio huna tabia nzuri kutaka kukopy mikeka ya watu!
Hahaha mkuu mie legend ktk hii business, nataka kucheki tu je statistics zinaendana na wengine
Jamani tottenham keshachezea huko tayari
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums