Bomu langu hili hapa..
Ipo tangu zamani..
Sema ni ngumu.. Inafaa zaidi ktk mechi ngumu na zile.zenye washambuliaji butu
hiyo inaitwa 28+ yani unazuia magoli yasipatikane ndani ya dk 28 za kwanza mf goli lifungwe kuanzia dk 28 na kuendelea other wise umechanaaaaaaaaa
Daaaah kila siku timu moja tu, nikiweka kumi moja inanchania, nikiweka 5 bado moja inaharibu. Nikiweka mbili bado tu daaah
odds zake naona ni nzuri sana....inatkana wap
Weka moja kama nayo itachana
Naisi hata nayo itavurunda tu
Naisi hata nayo itavurunda tu
getafe
marselle
gent
terek grozn
vallencia
mzigo huapo matokeo nipeni nyinyi mi nshafanya yangu with confindance
ngoja tuone result
trust me mkombozi nimekuja iam messiah