Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
jumla ya magoli ya Team A na Team B....yasizid mawili! mfano1-0, 0-0 au 0-1..hapo utakua umekula
Ahaha pole mkuu.. Kesho ilikua unaamka na passo asee
Mkuu unatumia kampuni gani hiyo?
Na vp kuhusu total over 1.5
Mkuu hii option total over 1.5 imetulia kweli. Unaweka wapi huo mkeka?
hiyo option nzuri kichizi tafuta mechi zako hata ishirini tupia mwekundu.
hiyo option nzuri kichizi tafuta mechi zako hata ishirini tupia mwekundu.
Na hizi GG na NG ndio nini?
Daah zote zimetick nimekosa goli moja tu kwenye game ya mancity
Nimekoma! Nimekoma! Nimekomaaaaaaa!
Yeah baaada ya kulia weee asubuhi nimepata 434,000
Asante Atletico,Chelsea,Kuban,DKyv,Toulouse,Roma,Besktas,lorinent az alkmaaar,bilbao.
Hongera mkuu, mie ntakufa na single bet au max 3 teams only,
N:B usitumie mtaji wote,no matter what linda mtaji
Asante mkuu.
Mimi leo sijaangalia account zangu nimepitia mkeka wa karatasi.
Leo naweka minne ya buku buku tu. Tuone itakuwaje
Leo ni hivi Barca,madrid, arsenal,totternham, parma, napoli,inter,milan,hull,bodeux
Asante mkuu.
Mimi leo sijaangalia account zangu nimepitia mkeka wa karatasi.
Leo naweka minne ya buku buku tu. Tuone itakuwaje
Leo ni hivi Barca,madrid, arsenal,totternham, parma, napoli,inter,milan,hull,bodeux
GG- timu zote zitafunga magoli e.g 1-1, 2-1 etc
NG-timu moja tu ndo itafunga goal(s), ingine itatoka na sifur