Hi9yo mechi yaweza kuwa draw.
Kuna hizi Under 21 Euro qualification zina magoli mengi sana hadi 8-1 timu zinatupia sana kule yaani mimi sasa ni mzee wa over 0.5
Mkuu over 0.5 inatofauti gani na GG?
Halafu hawa meridian wametuwekea lugha gani hii.? Mbona siielewielewi.? Au ni kwangu tuu.?
Mkuuu nimempa yule Lugano over 0.5
Mkuu mie nishakuwa refa siku hizi sitaki michezo mibaya. Nacheza na lazima mtaji nusu ubaki
kama kunamtu alikopy na kupest huu mkeka basi nayeye amekula mpunga wa bure burevip kuhusu huu mkeka
south Africa
Guinea
senegal
Mkuu over 0.5 inatofauti gani na GG?
wakuu, mkeka wangu umekaa njema kabisa, nilimpa Brazil win na kashinda kweli ila ticket bado inaonekana open na hakuna changes kua Brazil kashinda,
Hvi C.E.O kakimbilia wapi?? Inabidi tumchangue deputy, we need our whatsapp group
Deputy nipo hapa 😉
Ngoja na mimi nijifunze,