yann wakuu nmekuja kugundua live in play basketbal zina odd kibaooo afu probability kubwa ni kushindaaa in meridianbet ,,,,,,,,,,,,m ndo naposhinda per day nasepa si chin ya 10000
Mm niliweka buku 2 nikaweka cap uruguay s.korea na Belgium vipI nmekula au...? Ebu nichekien matokeo
Ok sawa kaka c unajua mgeni kwenye ulimwengu wa mbet haya sasa mpunga nachukuaje xaxa
Ok mkuu, ila kuna kama watu 3 wameni-PM wanataka hvyo coz wanaogopa kuzungumzia mambo ya bettings hapa, wake zao wakiwaona humu itakua balaa !!! Hahahahahahaha
Hakuna office nzuri za meridian kama za shoppers plaza
Ngoja nikafanye assignment shoppers lazima kieleweke
Mkuu hebu weka timu 4 za uhakika zenye odd nzuri nijilipue boss na buku 20. Jana nimekosa milioni 3 werder bremen kaua mkeka. Nikaubet fasta kwa kuipa Brazil, Gabon, na Guinea. Nikapiga kilo 2 ya fasta.
Kuanzia na cameroon vipi anadhaminika.?
Hapa shoppers naona kuna watu wapo wanakufundisha kubet kabisa kwa wale wapyaaaa
Mkuu unanitamanisha nije hapo nionane na wadau. Ngoja nicheki ustaarabu, nikiweza nitimbe kuja kupoteza weekend.
Mpunga umeshaingia tayar