Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
Wanikule???? [emoji1787]Weka leo sasa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
usiku wa leo ijumaaππWeekend ndo inaanza ila vilioo vyake si mchezooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kweli nabonyezabonyeza tu, kama hazikufai just ziignore tu. Ni rahisi tu.Mkuu username yako na code unazotuma ni vitu viwili tofauti[emoji23]
Hebu umiza kichwa mkuu usibonyeze bonyeze tu kwa kuangalia odds za bookies.
ile code uliyoituma asubuhi ...nimeichunguza mwanzo mpaka mwisho lakini mpaka sasa hivi ni game 3 zimetoa na moja inaenda kuchana mkekaNi kweli nabonyezabonyeza tu, kama hazikufai just ziignore tu. Ni rahisi tu.
sawa ππJF-expert member huwaga Wana midomo sana ππ anyway sisi senior tupo tunaangalia show show π
Ulikuwa U.S.A kwenye jiji la Manchester, π²π²π²kaka hivi zile bilions ulizosemaga mwaka jana ulikula kweli?? Mana mi nilikuwa u.s.a nimerud jana, kama shabik yako ningependa kujua hilo,, mana broo nakumbuka ulisema "nisipo kula bilions wiki ijayo sio mimi na sibet tena" sasa mwenzio baada ya kusema vile siku ya pili nikapigiwa simu ya kikazi huko, manchester kwahy naomb majibu
Nakazia! . Huyu bwanamdogo tangu awe na uhakika wa kula kwa shemeji yake analeta ujuaji na kutukana wakubwa zake.We kweli hamnazo,yaani akili zako kwenye Maisha umezi turn kwenye Ushirikina tuu? Au Utapeli mtandaoni,maana kila comments zako napost ni ushirikina tuuuu,sio akili hiyo,Fanyakazi,jitume sio hizo akili mgando
Hivi unaona kila anaebet ananjaa kama wewe?
Umejiunga JF 2021 which means bado Mwali,wenzio tumo humu JF kitammboo kwenye Majukwaa ya Biashara before hatujaingia kwenye Hii Forum na tulimiliki Smart phones na computers wewe ukiwa bado unavaa uniform
Watu Tuliishajipata kitamboo,tumejenga,Tunabiashara zetu na Watoto Wanasoma kwa viwango.
Tumejipanga kimaisha since betting platforms hazijasambaa.
Yaani wewe akili Yako umeiset humu ndio pa kutobolea Maisha,Angalia umri wako Dogo,acha ujuaji,jipange kabla maji ya Jioni hayajafika ukaanza kulaumu kila mtu
Huku watu Wana bet mpaka milioni kwa siku,na ikiliwa mtu wala hawazi maana watu Wana other sources of income
Yumo mtu anaitwa Matee humu yeye mkeka mmoja kutia laki mbili wala hawazi na siku anaweka mikeka zaidi ya mitatu na ikichanika ndio kwaanza kesho anatupia mwingine
Acha mipasho Njoo Chanika muda huu wa Off Day,au over weekend ila not from Monday
Shuka Kituo cha Magenge mwambie Boda akulete kwenye Bar ya IGP SIRO utanikuta,mita 400 mbele ya hiyo Bar
Tunaongeza miji naTunaandalia watoto Maisha yao
Fanyakazi kwa bidii, jipange,Acha Ushirikina au kutaka kutapeli watu kimtindo kwa Imani za Utapeli wa kishirikiana kupitia this Forum,hamna mazuzu humu
View attachment 2869518
yalishaundwa magroup watu tulishashirikiana sana kwa kila mbinu, lakini wapi!!, zinawin siku 2 mfululizo siku ya 3 chali. hapo ni odds 2 siyo 3. odds 3 parefu.Hapana kaka oddz 3.60 hapana nakataa kuna wahuni Wana fanya sana sema gamble's hatunaga ushirkiano
Mkuu naomba kuuliza stake ya 20.34 baadhi ya timu zikitoa wanaweza kukupa cash out?na je cash out ni kuanzia timu ngapi zikitoa?na maximum unaweza kupata cash out ya sh.ngapi kama timu baadhi zikitoa?Betpawa wahuni wameniruhusu cheza hiyo shilingi 20.34 mara moja tu, inakuja 97m. Narudia wananikatalia.
Unaweka 8000 unapata 5000 inapoteza 3000 uhu uhu uhu uhu uhuru na umoja waliotaka hapo ni wajinga tu walikatwa mikono yoteMatokeo 11-1-24
1. Cavs Winner (NBA)β
2.Thunder/Portland over 235 (NBA)βοΈ
3. Oilers/Redwings over 6.5 (NHL)βοΈ
4. Devils/Lightning over 6 (NHL)β οΈ
5. Kings/Panthers under 6.5 (NHL)β οΈ
6. Flames/Coyotes over 6 (NHL)β οΈ
7. Tulane/FAU over 161 (NCAAB)β οΈ
8. Illinois/Michigan St over 149 (NCAAB)βοΈ
WIN: Tsh. 5,000 (1.2 unit)
----------------------------------------
Bang! Cashout π€π°
Ushindi kama kawaida! Telegram BahatiBillionaireView attachment 2869699
Shida ni tunakosa experience tu michezo ipo ming ila ss n football na basketball tu ndio maanayalishaundwa magroup watu tulishashirikiana sana kwa kila mbinu, lakini wapi!!, zinawin siku 2 mfululizo siku ya 3 chali. hapo ni odds 2 siyo 3. odds 3 parefu.
kama rollover cheza siku 2 au 3, siyo masiku meeengii