Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

One cut wanakulipa amount ndogo ukichana mechi moja na payout inapungua kidogo ..Mara nyingi unalipwa almost sawa na stake
Flexible unasema zikichana mechi 1, 2 or 3 n.k unalipwa kiasi fulani fixed..so ikiwa kwenye range hio hata ukishinda mechi zote... unalipwa kiasi ulichoflex
Kwa mfano nimeweka one cut kwenye system na stake nimeweka 2000.. ikasoma million 6, harafu katika list mechi nilizobet Ni moja tu nimelost Ina maanisha sitopata kiwango kilekile kilichokuwa kinasoma mwanzo million 6?! Je kama sio million 6 Ina maanisha wataka nusu ya M6 au watanipatia 2000 ?!
 
Eeeehh!!!... Ndiiiiioooo!!!

Utajua ... Hujui!

EE33C6
Funga Safety harness!... Usijedondoka!

Hakuna kuchimba chimba dawa hovyohovyo!.... Kulingana na baadhi ya markets nilizochagua..

Ukitaka Cashout(kuchimba dawa...Panda Basi ya nyuma!....Inayoitwa SimbaMpole123

Humu hatuchimbi chimbi dawa hovyo!!!

Today 22:45 hadi 24 January!
Screenshot_20240115-212224.png
 
Kwa mfano nimeweka one cut kwenye system na stake nimeweka 2000.. ikasoma million 6, harafu katika list mechi nilizobet Ni moja tu nimelost Ina maanisha sitopata kiwango kilekile kilichokuwa kinasoma mwanzo million 6?! Je kama sio million 6 Ina maanisha wataka nusu ya M6 au watanipatia 2000 ?!
Hii imenitokea majuzi nikasema sito kuja kuweka one cut tena! Niliweka mkeka wa Jumamosi wa Odds 262 kwa buku mbili na mia tano ikasoma nitashinda 559,000 sasa mechi moja tu ikachana tena niliiwekea over 1.5 alafu wakafunga goli moja dakika ya saba hawakufunga tena nikategemea nitalipwa walau kiasi kidogo hata laki au 80k ila niliambulia 2,800
 
Hii imenitokea majuzi nikasema sito kuja kuweka one cut tena! Niliweka mkeka wa Jumamosi wa Odds 262 kwa buku mbili na mia tano ikasoma nitashinda 559,000 sasa mechi moja tu ikachana tena niliiwekea over 1.5 alafu wakafunga goli moja dakika ya saba hawakufunga tena nikategemea nitalipwa walau kiasi kidogo hata laki au 80k ila niliambulia 2,800
Weka flexbet ndo unalipwa kiwango walichosema ila One cut unaweza ambulia 200 mkeka wa kushinda milion 10.
 
Back
Top Bottom