Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kwa mfano nimeweka one cut kwenye system na stake nimeweka 2000.. ikasoma million 6, harafu katika list mechi nilizobet Ni moja tu nimelost Ina maanisha sitopata kiwango kilekile kilichokuwa kinasoma mwanzo million 6?! Je kama sio million 6 Ina maanisha wataka nusu ya M6 au watanipatia 2000 ?!
 
Hii imenitokea majuzi nikasema sito kuja kuweka one cut tena! Niliweka mkeka wa Jumamosi wa Odds 262 kwa buku mbili na mia tano ikasoma nitashinda 559,000 sasa mechi moja tu ikachana tena niliiwekea over 1.5 alafu wakafunga goli moja dakika ya saba hawakufunga tena nikategemea nitalipwa walau kiasi kidogo hata laki au 80k ila niliambulia 2,800
 
Weka flexbet ndo unalipwa kiwango walichosema ila One cut unaweza ambulia 200 mkeka wa kushinda milion 10.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…