Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Game Bado xna iyo acha pressureTuliompatia South Korea DIRECT WIN Tujiandae KISAIKOLOJIA
Wewe jamaa nahisi ni kizazi cha 1970 kurudi nyuma. Una hekima sana. Ajaribu kutukana kizazi cha 80 na kuendelea aone moto.Wewe ndugu nishakuzoea maneno yako makali, leo umeniamkia tena. Sijui ni hasira za mikeka ya jana kuchana ama laa.
Tuendelee shirikiana pambana na adui yetu, tuna adui mmoja tu. Tusipoteze focus.
Na wewe ndio maana kila siku unatukanwa. Overthinker wa mikeka?? Kweli naamini sasa anachosema... unamshobokea to the maximum acha akutukane tu.Mzoee huyu mmoja wa overthinkers kwenye huu uzi, all in all insights zake kwenye mechi zinasaidia wengi humu. Ukichukua maoni yake ukachanganya na maoni ya wengine humu unakuwa well informed kabla ya kufanya maamuzi.
Hata kama....hapaswi kutusi watu bwana, lkn pole Sana mkuuMzoee huyu mmoja wa overthinkers kwenye huu uzi, all in all insights zake kwenye mechi zinasaidia wengi humu. Ukichukua maoni yake ukachanganya na maoni ya wengine humu unakuwa well informed kabla ya kufanya maamuzi.
Wewe jamaa nahisi ni kizazi cha 1970 kurudi nyuma. Una hekima sana. Ajaribu kutukana kizazi cha 80 na kuendelea aone moto.
Mwaka wa tisa sasa toka 2016 nafuatilia huu uzi, livebets na matokeo ya mechi hususani mechi za wikendi za ligi kuu kubwa ulaya. Credits nazompa jitu bandia naamini anastahili (unless otherwise specified).Na wewe ndio maana kila siku unatukanwa. Overthinker wa mikeka?? Kweli naamini sasa anachosema... unamshobokea to the maximum acha akutukane tu.
Hatoboi, sana sana ataishia kutoa sareTuliompatia South Korea DIRECT WIN Tujiandae KISAIKOLOJIA
Usife moyo, yaweza toa.Southampton under 4.5 mmmmmh. Hapa kanji ananichekaaaa
Ulimpa option gani?South korea anatupeleka motoni
WinUlimpa option gani?
😀😀 3 -1 huko nilikesh out kitambo sanaUsife moyo, yaweza toa.
Unaweza kuta mechi inaisha 0:2 au 0:3/1:2. Utakula tu ndugu.
Duh! Ngumu kutoa
Hatari sana, bora ulijiongeza.😀😀 3 -1 huko nilikesh out kitambo sana
Wana channel yeyote ya Mawasiliano Whatsapp ama telegram!!?