Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Sijaweka code atii! Account yangu nimekuta imefungwa
Ila weka account unayotumia kama betpawa, betway, sportpesa wakiona wadau watakupa code
Naonaga madogo wanabet na wanapata Sema Kuna muda wanaliwaa
 
ni oddspedia, siyo oddspedding
 
Naonaga madogo wanabet na wanapata Sema Kuna muda wanaliwaa
Kuna kula na kuliwa na huwezi jua siku yako itakayokutoa kimasomaso. Kuna mikeka ya hela ndefu, Kati kwaajili ya kusogeza siku mbili tatu mbele ya laki tano mpaka moja na Kuna mikeka ya kukuzia mtaji ya 10k to 90k. Sasa wewe utajua unasukaga ya aina gani.
 
Daah nimempa Girona,liver na barca kwa 47k naona kama nimeweka peke yangu....hata Pdidy mzee wa ngumu katika tips zake sijaona akiwapa hao watu
 
Tunakumbushana tu

Kimbia Day worker uje kwenye KAMARI utazeeka mwili mpaka akili

Haya Mawakala wapi wazi

KAMARI sio ajira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…