Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Ila hii kazi ngumu aise, yani bayern mzee wa kona nyingi leo mpaka 1H eti kapiga kona moja tu aise dah
 
Kuna yule mwamba wakuitwa SALUM MAZWAZWA Mzee wa kuku akiwin anapost na paja la kuku 🤣🤣

Sijui Yuko wap Mzee wa live bet
 
sportyhero ni casino jamii ya aviator. comment yako ya kwanza nilipoona kutrade nikajua ni forex. kumbe unamaanisha aviator!!.

nilijiungaga na magroup whatsapp ya kutoa free signals za aviator. magroup yenyewe yamefungwa comments watu msicomment. tutorials zikawa nyingi mara pink mara purple mara kitu gani sijui, nikaona ujinga huu tutorials nyingi halafu sioni muelekeo, nikaleft magroup yote.
 
Mama alai. Nilimwekea Angola ashinde first half livebet nimeona amepata red card nikabet tena Namibia ashinde first half, nao wamezingua nimekuja kula mkeka wa kwanza ule wa pili nimeliwa.[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…