Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Sawaa mkuu, inbox yangu ipo wazi. If your interested. Karibu tuongee.
Hapa Mimi sio mjuaji , Wala siwezi kubeza na kubishana na watu.
Ila sababu najua hapa naweza kupata ma risk taker.
I can share vile Mimi naona , ukiweza kuwa na laki moja mpaka laki na nusu.
Kamwe huwezi Rudi kwenye Mpira huku.

Uwe serious na kazi TU .




Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…