Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

sportyhero ni casino jamii ya aviator. comment yako ya kwanza nilipoona kutrade nikajua ni forex. kumbe unamaanisha aviator!!.

nilijiungaga na magroup whatsapp ya kutoa free signals za aviator. magroup yenyewe yamefungwa comments watu msicomment. tutorials zikawa nyingi mara pink mara purple mara kitu gani sijui, nikaona ujinga huu tutorials nyingi halafu sioni muelekeo, nikaleft magroup yote.
Sawaa mkuu, inbox yangu ipo wazi. If your interested. Karibu tuongee.
Hapa Mimi sio mjuaji , Wala siwezi kubeza na kubishana na watu.
Ila sababu najua hapa naweza kupata ma risk taker.
I can share vile Mimi naona , ukiweza kuwa na laki moja mpaka laki na nusu.
Kamwe huwezi Rudi kwenye Mpira huku.

Uwe serious na kazi TU .




Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Eeeh
IMG_5934.jpg
 
Back
Top Bottom