Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mwamba Yuko anatu zoom tu,,,,,
Nadhani mwezi uliopita kama c huu alipita kutusalimu humu
 
Yupo kaka, kuna siku za karibuni kachangia kwenye huu uzi.
 
Usiende huko inbox, utapigwa tu/tapeliwa tu. Laminate hii sms yangu, ukitoa huko inbox uje kutupa mrejesho hapa (kama hutajali).
 
Ujinga ni WA kawati wa kwenda ....si kurudi.
 
mambo ya ligi za Italia hayo. mchezaji wa Juventus baada ya goli lake kukataliwa, akaamua asuse kabisa, kapata red, halafu dakika za mwanzo kabisa.
Hawa wahuni na mafia sana. Ligi yao imejifia kabisa, mafia gangs wa betting wamejiimalisha series A.
Isiiweke Series A au mechi yoyote ya ligi ya Italy kwenye mkeka wowote wa kimkakati
 
Kocha kamili wanacheza chini ya presha kubwa sana. Mechi tatu zijazo huenda Barcelona wakashinda mechi zao, ila baada ya hapo kuwa makini sana. Barcelona akicheza na timu yeyote yenye jina kubwa bora uipe over 2.5 goals
 

Attachments

  • IMG_20240128_115714_240.jpg
    119.9 KB · Views: 9
Hawa wahuni na mafia sana. Ligi yao imejifia kabisa, mafia gangs wa betting wamejiimalisha series A.
Isiiweke Series A au mechi yoyote ya ligi ya Italy kwenye mkeka wowote wa kimkakati
Kwa jinsi mpira wa sasa ulivyo ukijaa kwenye mfumo wa mwenzako either udroo au upigwe,,,,, kwani tulitarajia baselona angezingua?!

Juve ni wapambanaji sema kama uliangalia ile mechi empoli walikamia sana
 
Kwa jinsi mpira wa sasa ulivyo ukijaa kwenye mfumo wa mwenzako either udroo au upigwe,,,,, kwani tulitarajia baselona angezingua?!

Juve ni wapambanaji sema kama uliangalia ile mechi empoli walikamia sana
Kiujumla series A imeharibika kabisa, ni haitabiriki kabisa (except Napoli msimu uliopita). Ndiyo maana uefa na ueropa finals hazifiki kabisa. AC Milan na InterMilan walimalizia ngwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…