Luigi Mangione
JF-Expert Member
- Jan 2, 2024
- 568
- 1,028
Edited yake ni π°Duh! Uhakika 100%!!!
Ipo hivyohivyo plane au inaanza na 1st/2nd half?Hivi hii opinion mpya ya GG/NG 2+ inamaanisha nn maafisa
PlaneIpo hivyohivyo plane au inaanza na 1st/2nd half?
GG ... Maana yake team zifunganeHivi hii opinion mpya ya GG/NG 2+ inamaanisha nn maafisa
Hata odds 1.09 bado zinachana ...betting iache iitwe betting...90% ni bahati tuHuyo sasa ni mjasiriamali wa betting kwa mfumo huu muhindi utampekeka puta sana...hapo unaweka timu 3 odd 0.8 unadeal na shoot on target na kona au yellow card bas
Nyota zimebuma kwa wakongo ...hii ndio betting hata uje na uchawi huwezi kula pesa za kanji kiboyaNigeria vs Angola
Ft 1-0 β β won
Wangap walifata mkeka huu na kudokoa baadh ya menchi mambo yalienda ivyo ππ½
Wafungane na kila timu irate goli kuanzia mbili yaan 3-2,4-3,7-2,4-2,2-2GG ... Maana yake team zifungane
NG ...maana yake wasifungene
Ukiongeza option YA 2+ maana yake
Mfano GG and 3 plus..wafungane Na magoli matatu virce versa
Ngoja wajuzi waje. Sijawaho icheza hiyo optionPlane
Shida ya hizi unakusanya mechi 12 ndiyo unapata odds 8. Bado hapo borrusia dortmund hajatoa 0:0.Leo naona over 0.5 zinalipa BP.
Pamoja na mahesabu mazuri pia. Kuna combination mfano 1st/2nd half GG/GG utaicheza miaka 100 kwa angalau mechi 5 na haitatoa kabisa.Hata odds 1.09 bado zinachana ...betting iache iitwe betting...90% ni bahati tu
Kwa option ipi?Fanya mechi za AFCON pia Bayern na Leverkusen