Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakuu nawakumbusha.

Maswali mengi ambayo watu wa ku-Bet huwa tunajiuliza ni

1. Kuna Website ambayo ina Tabiri Mechi zote kwa uhakika wa Asilimia 100%?

2. Je, Kuna App ambayo Inakupatia Utabiri wa Mechi kwa 100%?

3. Je haya Matangazo ya VIP BETTING TIPS, TELEGRAM, Whatsapp Ni Ya Kweli kwa Asilimia 100?

Ukweli ni kuwa HAKUNA. Betting ni all ABOUT PROBABILITY, TAKING CHANCES, TAKING RISK na Kufuatilia mienendo ya TIMU.

Katika Ulimwengu wa Kubet kwa sasa, Kuna Makundi 2. Kundi la Kwanza Wanao taka Kumpasua Kanji (Wengi wetu), Na Kundi La Pili ni Hawa Wanao taka KUTUPASUA SISI ambao Tunamsaka KANJI Kwa Udi na Uvumba. Ndio Wanajiita VIP BETTING TIPS, Apps na Websites Mbalimbali. Ni kama WAGANGA wa Kienyeji [emoji28]

Kama Mganga wa Kienyeji anaweza kukufanya wewe uwe BILLIONEA kwanini Asijifanyie Yeye aaache KAZI YA UGANGA WA JADI [emoji28], Kama Mtu anakutaka ULIPIE HELA KUKUPA ODDS za Uhakika, Kwanini Hiyo Nguvu anayo tumia kujitangaza asiitumie Katika Kubet kwa Kutumia hizo hizo ODDS anazo kupatia WEWE? Amkeni Hakuna Kitu kama Hicho. Tuache kupoteza HELA

USHAURI WANGU, KAMWE USIJIUNGE NA MAGROUP YANAYO UZA ODDS
 
Wakuu nawakumbusha.

Maswali mengi ambayo watu wa ku-Bet huwa tunajiuliza ni

1. Kuna Website ambayo ina Tabiri Mechi zote kwa uhakika wa Asilimia 100%?

2. Je, Kuna App ambayo Inakupatia Utabiri wa Mechi kwa 100%?

3. Je haya Matangazo ya VIP BETTING TIPS, TELEGRAM, Whatsapp Ni Ya Kweli kwa Asilimia 100?

Ukweli ni kuwa HAKUNA. Betting ni all ABOUT PROBABILITY, TAKING CHANCES, TAKING RISK na Kufuatilia mienendo ya TIMU.

Katika Ulimwengu wa Kubet kwa sasa, Kuna Makundi 2. Kundi la Kwanza Wanao taka Kumpasua Kanji (Wengi wetu), Na Kundi La Pili ni Hawa Wanao taka KUTUPASUA SISI ambao Tunamsaka KANJI Kwa Udi na Uvumba. Ndio Wanajiita VIP BETTING TIPS, Apps na Websites Mbalimbali. Ni kama WAGANGA wa Kienyeji [emoji28]

Kama Mganga wa Kienyeji anaweza kukufanya wewe uwe BILLIONEA kwanini Asijifanyie Yeye aaache KAZI YA UGANGA WA JADI [emoji28], Kama Mtu anakutaka ULIPIE HELA KUKUPA ODDS za Uhakika, Kwanini Hiyo Nguvu anayo tumia kujitangaza asiitumie Katika Kubet kwa Kutumia hizo hizo ODDS anazo kupatia WEWE? Amkeni Hakuna Kitu kama Hicho. Tuache kupoteza HELA

USHAURI WANGU, KAMWE USIJIUNGE NA MAGROUP YANAYO UZA ODDS

Naendelea.

Je Mechi FIXING NI REAL?

Nitakwambia NDIO, Mechi FIXING IS REAL. So ni Kwa Namna Gani Tunaweza Kuzijua hizi MECHI FIXING Ili Tuziepuke Mimi na Wewe?

Ukweli mchungu ni kwamba MIMI NA WEWE ni Watu WADOGO SANA kuzijua na kuzielewa FIXED MECHI, UNLESS TUNA MARAFIKI MABILLIONEA ambao wanaweza kutuambia kuwa Mechi hizi na hizi leo tume zi FIX (KIFUPI NI NETWORK NGUMU) Ambayo Mimi na wewe watu wa KAWAIDA hatuwezi kuelewa…. SO HIYO HATA USIHANGAIKE NAYO KWA NJIA YOYOTE ILE. Huwezi KAMWE Ku-access FIXED MATCHES.
 
Naendelea.

Je Mechi FIXING NI REAL?

Nitakwambia NDIO, Mechi FIXING IS REAL. So ni Kwa Namna Gani Tunaweza Kuzijua hizi MECHI FIXING Ili Tuziepuke Mimi na Wewe?

Ukweli mchungu ni kwamba MIMI NA WEWE ni Watu WADOGO SANA kuzijua na kuzielewa FIXED MECHI, UNLESS TUNA MARAFIKI MABILLIONEA ambao wanaweza kutuambia kuwa Mechi hizi na hizi leo tume zi FIX (KIFUPI NI NETWORK NGUMU) Ambayo Mimi na wewe watu wa KAWAIDA hatuwezi kuelewa…. SO HIYO HATA USIHANGAIKE NAYO KWA NJIA YOYOTE ILE. Huwezi KAMWE Ku-access FIXED MATCHES.

KWA NAMNA GANI SASA UNAWEZA KUWA UNASHINDA KWENYE BETTING? Na KUPATA FAIDA?

Elewa Kwanza Kuwa, NI NGUMU KUTENGENEZA HELA KUPITIA BETTING. LAKINI INAWEZEKANA.

Kitu Kikubwa cha Kufanya ni, KUJIANDALIA MIPANGO MKAKATI YAKO AMBAYO UTAKUWA UNAITUMIA KUMLA KANJI…. Kama Vile Maximum nitabet timu 10, nita bet DIRECT WIN, nitabet Magoli tuu n.k Jiwekee Mipango yako mwenyewe. Hii Mipango Mkakati unaweza kuijaribu hata kwa MWEZI 1 Kuangalia kama Unashinda. Andika GAMES ZAKO CHINI NA UTABIRI WAKO, Usiweke Hela baadae kaangalie kama Ulishinda. Fanya hivyo mara kwa Mara hadi utakapo jiridhisha kuwa kwa sasa MIKAKATI YAKO INA ZAIDI YA ASILIMIA 80% Kumla KANJI
 
KWA NAMNA GANI SASA UNAWEZA KUWA UNASHINDA KWENYE BETTING? Na KUPATA FAIDA?

Elewa Kwanza Kuwa, NI NGUMU KUTENGENEZA HELA KUPITIA BETTING. LAKINI INAWEZEKANA.

Kitu Kikubwa cha Kufanya ni, KUJIANDALIA MIPANGO MKAKATI YAKO AMBAYO UTAKUWA UNAITUMIA KUMLA KANJI…. Kama Vile Maximum nitabet timu 10, nita bet DIRECT WIN, nitabet Magoli tuu n.k Jiwekee Mipango yako mwenyewe. Hii Mipango Mkakati unaweza kuijaribu hata kwa MWEZI 1 Kuangalia kama Unashinda. Andika GAMES ZAKO CHINI NA UTABIRI WAKO, Usiweke Hela baadae kaangalie kama Ulishinda. Fanya hivyo mara kwa Mara hadi utakapo jiridhisha kuwa kwa sasa MIKAKATI YAKO INA ZAIDI YA ASILIMIA 80% Kumla KANJI

Ukiwa una BET, Usijiwekee MATARAJIO MAKUBWA, WEKA HELA AMBAYO HATA UKILIWA HAUTAUMIA SANA.

Kwasasa Kama Unatafuta Idea na BETTING nitakushauri hizi WEBSITES NI BURE KABISA… CHAMBUA NA ONGEZA AKILI ZAKO

1. LEAGULANE . COM (Hawa Jamaa wanakupatia Analysis ya kukufanya uewelee kila Timu) Angalia Mfano huu kwa Game za Leo

BOTH TEAM TO SCORE (GG) Wamechagua Timu 3 tuu katika zote za Leo na Huu ndio Utabiri wao

IMG_6085.jpg


BETTING OF THE DAY

IMG_6086.jpg



ACCUMULATOR BET

IMG_6087.jpg


Hiyo ni Mifano, Ongeza na Akili zako.
 
Ukiwa una BET, Usijiwekee MATARAJIO MAKUBWA, WEKA HELA AMBAYO HATA UKILIWA HAUTAUMIA SANA.

Kwasasa Kama Unatafuta Idea na BETTING nitakushauri hizi WEBSITES NI BURE KABISA… CHAMBUA NA ONGEZA AKILI ZAKO

1. LEAGULANE . COM (Hawa Jamaa wanakupatia Analysis ya kukufanya uewelee kila Timu) Angalia Mfano huu kwa Game za Leo

BOTH TEAM TO SCORE (GG) Wamechagua Timu 3 tuu katika zote za Leo na Huu ndio Utabiri wao

View attachment 2896221

BETTING OF THE DAY

View attachment 2896227


ACCUMULATOR BET

View attachment 2896231

Hiyo ni Mifano, Ongeza na Akili zako.

Website ya PILI NI

2. WHOSCORED. COM Ni Bure Kaangalie kwa Umakini Uchambuzi wao na Fanya Selection za Kukusaidia.

Hizo Mbili zitakusaidieni kukupa Mwanga
 
Vipigo vikizidi

WATU WANAINGIZANA KING kwa kila style,Yaani usanii ktk jumba la wasaniii na kautapeli ka levels ya Nursery aisee Badoo sanaaa
 
[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️

Screenshot_20240206_202436_betPawa.jpeg
 
Back
Top Bottom