massive win[emoji23][emoji23] cm ilipata shida ndo nmetoka kwa fundi imewaka naingia nakuta boooooooolm, 15 odds zilishinda[emoji4] hongera ka ulicheza15 odds[emoji120]View attachment 2904664
Edited56A443F sportbet new option lets try this.[emoji95][emoji95][emoji95]
Samahan hivi9B34D29 Sportbety.
Gori kuanzia moja mpaka tatu zikizidi tatu umechana mzeeSamahan hivi
unaposema 1-3 mfano 2nd Half mechi ya Psv Vs Dortmund unamaanisha nini?
Naomba nijifunze kidogo.
huu sio mtego kweli ? mbona kama inskua rahisi sana56A443F sportbet new option lets try this.[emoji95][emoji95][emoji95]
Sio wajinga kuweka hiyo option huwa inachana pia kwa yule mwenye tamaa ya maodds mengihuu sio mtego kweli ? mbona kama inskua rahisi sana
hIi ndio betting sasa. Odds chache stake kubwa. KudosLearn or hate! More than 400k✅😂😂View attachment 2905499
Shida mapichaaaa7.7 Odds, jaribu pia[emoji4]View attachment 2905842
Wachambuzi wengi ni Wajinga, ingekuwa Yanga ndo inalalamika , ungesikia Wana kikosi kipana ,ila kwa Simba wanaona kama anaonewaKuna muda unasikiliza kipindi cha michezo unaona wanapiga kelele tu!!
Ivi kuna waandishi kabisa wanadiriki kusema Simba imecheza michezo mingi inaenda kuwaathiri kwenye club bingwa!!
Wakati wengine tunatamani tufikie uwezo wa kucheza mechi kila baada ya siku tatu!!
Nchi imejaa wanafki sana hii